Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Huyo member ni maoni yake binafsi sio msimamo wa chamaCHADEMA kinapigania Demokrasia na wéwe NI mwanachama ndîo maana ice amekushangaa kushabikia matendo ya wasouth àmbayo ni kinyume na Sheria kama mnavyofanyiwa ninyi CHADEMA.
Sasa wewe umeambiwa ukweli unatapatapa kwani umeonyesha rangi yako halisi
Huyo member ni maoni yake binafsi sio msimamo wa chama
Tusiwe tunatumia hisia na bali akili
Kuwa chadema au ccm hakumzuii mtu kutoa tamko lake binafsi
Chama kinataratibu za kutoa maoni yao juu ya jambo flani
Hakuna sehemu chadema wamemtuma kwanza anatumia jina bandia hajulikaniNi kwèli lakini maonî yake yanaweza Kutoa tafsiri potofu Kwa Watu kuhusu Chama chake.
Huyo mtanzania ni Mwizi, kaiba mkoba. Wenzake wanaomwambia akimbie mbona hawashambuliwi!? Kama unaelewa hata kidogo lugha inayozungumzwa hapo utagundua kuwa jamaa kaiba mkoba wa bidada mmoja.Nchini Afrika Kusini, mapema leo hii Polisi na Mamlaka zimefanya msako katika Kituo cha maduka cha "China Mall" jijini Johannesburg, Gauteng, ili kuwatafuta watu ambao huenda hawana vibali vya kisheria au wanaishi nchini kinyume cha sheria.
Msako huu uliofanywa na mamlaka za Afrika Kusini katika China Mall, jijini Johannesburg-Gauteng, umefichua takwimu za kutisha, ambapo karibu asilimia 90 ya wafanyakazi wamekutwa wakiwa ni wageni wasio na vibali vya kisheria.
Inasemekana kuwa wakati wa msako huo, wafanyakazi wengi walikimbia eneo hilo ili kuepuka kukamatwa, jambo ambalo linadhihirisha ukubwa wa tatizo la wahamiaji haramu nchini Afrika Kusini.
Video: Kituo cha China Mall cha Johannesburg kimevamiwa na Polisi na Mamlaka.
Instagram: @maphepha_ndaba
View attachment 3142491
Mtanzania akichezea kichapo kutoka kwa wasauzi, mwisho wa video Watanzania wakimwambia mwenzao akimbie
Instagram: @Geoff_lea
View attachment 3142492
Hao ni wabaguzi na wapu..umbavu tu, damu ya ubaguzi bado inatembea miilini mwao! hapa tanzania wamejaa wamalawi aka wanyasa, mbona wanaishi na hawajaathiri ajira za watanzaniaSiungi mkono kinachowatokea ndugu zetu hasa kupigwa, lakini iko wazi kuwa wimbi la wahamiaji haramu linatishia ukosekanaji wa fursa za kazi kwa wenyeji. Na kwakweli tatizo hili ni kubwa South Africa.
Nani kakudanganya hivyo chief? Uchawi una serikali moja tu dunia nzimaBad news uchawi wa bongo nje haufanyi kazi. Kule kuna mamlaka zingine
Sasa kama vyombo vya Usalama vinazembea wafanyaje? Wawachangie nauli afu wawaridishe kistaarabu?
Hamna alienidanganya, uchawi una rules na mipaka yake, lazima wa negotiate na wahusika kumdhuru wa upande huo, and it not easyNani kakudanganya hivyo chief? Uchawi una serikali moja tu dunia nzima
Hakuna sehemu chadema wamemtuma kwanza anatumia jina bandia hajulikani
Kuwa mwanachadema haina maana kila anachoongea kama maoni yake binafsi kinahusiana na chadema
Ni kweli kabisaNendeni na documents, yes hao jamaa wana thinking ya tofauti but doesnt mean watu wajae tu bila mpangilio
Hujui kuwa kahamia nccr mbeya.kashtuka mbowe amepata chawa mpya.Mkûu Watu wanakuamini kwamba umebeba Sera za CHADEMA na ulichoandika ni kinyume Kabisa
Upo Sahihi
CHADEMA ni Watu na mtoa Mada NI sehemu ya hao watu.
Demokrasia watu huwa wanaiongea lakini hawana uwezo wa kui-practice iwe opposition au ruling party
Demokrasia kwenye Uhamiaji haramu inawezekanaje, Kwanza Demokrasia ni nini ?Demokrasia watu huwa wanaiongea lakini hawana uwezo wa kui-practice iwe opposition au ruling party
Hawa wangeachwa watawalie na makaburu tuNchini Afrika Kusini, mapema leo hii Polisi na Mamlaka zimefanya msako katika Kituo cha maduka cha "China Mall" jijini Johannesburg, Gauteng, ili kuwatafuta watu ambao huenda hawana vibali vya kisheria au wanaishi nchini kinyume cha sheria.
Msako huu uliofanywa na mamlaka za Afrika Kusini katika China Mall, jijini Johannesburg-Gauteng, umefichua takwimu za kutisha, ambapo karibu asilimia 90 ya wafanyakazi wamekutwa wakiwa ni wageni wasio na vibali vya kisheria.
Inasemekana kuwa wakati wa msako huo, wafanyakazi wengi walikimbia eneo hilo ili kuepuka kukamatwa, jambo ambalo linadhihirisha ukubwa wa tatizo la wahamiaji haramu nchini Afrika Kusini.
Video: Kituo cha China Mall cha Johannesburg kimevamiwa na Polisi na Mamlaka.
Instagram: @maphepha_ndaba
View attachment 3142491
Mtanzania akichezea kichapo kutoka kwa wasauzi, mwisho wa video Watanzania wakimwambia mwenzao akimbie
Instagram: @Geoff_lea
View attachment 3142492
Wengi vibaka hapa tu nyumbani wanapiga watu ngeta huko ugenini vp.acha wapigwe kibali mtu hana anafanya nn huko zaidi ya udokozi na wiziQumamae zao hawa wasouth. Watanzania tusikubali. Nasisi tuanze kuwaua hawa mashoga wa South. Watoto wa kino anzeni na yule.msouth anaeishi hapo Mkwajuni.