njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
-
- #21
Manara alitoa sababu kwamba yote aliyoyasema akiwa simba alikuwa kalewa akawaomba wana yanga msamaha wakakubali sasa na huyu ally kamwe aombe radhi kwa hii videoWalimkubali Manara waje kumkataa Ally Kamwe kama sio unafiki ni nini
Nimeshakujibu tayari! Cheo alichonacho huyo Ali Kamwe ni cha kuteuliwa! Hivyo mwishobwa siku atapimwa kwa output yake. Na siyo kwa sababu ya washauri alio kuwa nao.Weka maoni yako binafsi kama ya wana yanga waliochukizwa na kitendo cha kijana huyu kumkubali ADUI WA YANGA
msemaji wayanga aliandika barua kwa mmiliki wa EFM kutaka jemedari afukuzwe kazi, msemaji unajua ni afisa wa club au hulijui hilo?
Unajua kwamba unayemchukia kwa sasa anahusika ramsi kuanzia leo kumpa ushauri kijana wenu kuhusu kazi yake hapo utopoloni?
Unalazimisha tu vitu ambavyo havina kichwa, wala miguu! Na kwa bahati mbaya kwako, ni kwamba mashabiki wa Yanga ni waelewa sana! Hivyo wataishia tu kukupuuza.Manara alitoa sababu kwamba yote aliyoyasema akiwa simba alikuwa kalewa akawaomba wana yanga msamaha wakakubali sasa na huyu ally kamwe aombe radhi kwa hii video
hujajibu swali moja, wewe chuki zako kwa jemedari ulisubiri Hersi atoe tamko rasmi? sasa wanaomchukia Kazumari kama wewe wamechukizwa sana na hii video, heshimu uamuzi waoNimeshakujibu tayari! Cheo alichonacho huyo Ali Kamwe ni cha kuteuliwa! Hivyo mwishobwa siku atapimwa kwa output yake. Na siyo kwa sababu ya washauri alio kuwa nao.
Hata Haji Manara aliteuliwa kuwa msemaji wa Yanga kwa manufaa ya timu! Na siyo kwa sababu kwa sababu nyingine yoyote ile nje ya hii niliyo kutajia hapa.
Mnampa Bugatti mzigo mkubwa sana, kashawasaidia kuondoa virusi viitwavyo Nugaz na Bumbuli sasa yamekuja mengine ya Ally kamweUnalazimisha tu vitu ambavyo havina kichwa, wala miguu! Na kwa bahati mbaya kwako, ni kwamba mashabiki wa Yanga ni waelewa sana! Hivyo wataishia tu kukupuuza.
Bugatti ni mumeo?huna akili wewe , yaani unaishi na nyoka ndani ya nyumba huku unasingizia kwamba hakuna shida una nyuma nzuri?
Bugatti kafanya kazi nzito kuondoa virusi viitwavyo NUGAZ NA BUMBULI sasa mmmeletea tena kirusi kiitwacho KAMWE
Mnamchosha jenerali Bugatti
Manara unataka urais wa yanga kwa fitna na huna hela?Kila siku mkiambiwa kwamba Hersi ana maamuzi ya ki pwagu mnakasirika, hivi unadhani wana yanga ni wajingawajinga?
Jenerali Bugatti alikuwa sahihi sana kukataa kumpa mkono huyu kijana mnafiki kule zanzibar aliona mbali sana
Bugatti anaposema kwamba huyu ni mnafiki anaichukia yanga apingwe wewe ni nani ubishe?
Bugatti ka shawapoint wanayanga kwamba ALLY KAMWE, WILSON ORUMA, JEMEDARI SAID wako vitani dhidi ya Dar young africans inakuwaje tena katika mmojawapo aliye vitani na team mnampa cheo tena anakuwa boss wa de la boss Bugatti?
Kma siyo dharau ni nini? huyo kamwe ataweza kutoa ma slogan kama ya kwa mkapa hatoki mtu,iwe jua iwe mvua...ni mtanzania gani ana uwezo wa ku come up na ma ideas kama hayo zaidi ya Bugatti? Ally kamwe anaweza kujaza uwanja kweli?
Sasa angalia hii video jinsi Ally kamwe anavyomkubali adui namba moja wa wanayanga aitwaye jemedari said
kama hamtaiona hatari ambayo yanga imejiweka basi akili zenu ni sifuri kabisa, ndiyo maana wafuasi wa jemedari Bugatti wana machungu yasiyosimulika mioyoni mwao
View attachment 2370935
View attachment 2370935
Leo niko na Bi Mkubwa, kesho kutwa ndio zamu yako!Matusi ya nini sasa?mbona huko utopoloni tusi lenu ni mambo ya kuzibua mtaro tu? au ndo effects za waarabu na wasomali, yaani mnawaza mambo ya kikabwili tu 24/7
Onaa hili pungazee sijui na wewe uko kwenye list ya vidosho vya mzee tozi?Bugatti ni mumeo?
Mbona unakasirika kirahisi akitakwa?
Wakati anaitukana Yanga ulikua bado hujafika mjini? Au smartphone zilikua hazijafika kijijini kwenu Namtumbo?
Sisi tunaangalia mafanikio ya team. Mambo binafsi ya watu hayatuhusu.
Ulishaacha shobokea waarabu na wasmali? Maana hata watopwinyo wenzako wanajua wewe siyo riziki ila mikwara mingi kama felix kanyaboyaLeo niko na Bi Mkubwa, kesho kutwa ndio zamu yako!
Kama Yanga wanapokea walevi wanaolewa miaka 20 mfululizo basi wamuelewe na huyu aliyelewa misimu miwili tuManara alitoa sababu kwamba yote aliyoyasema akiwa simba alikuwa kalewa akawaomba wana yanga msamaha wakakubali sasa na huyu ally kamwe aombe radhi kwa hii video
Propanda za kipumbavuJipige kifuani sema wewe ni nyumbu grade A, hivikuna TOPOLO linalomchukia jemedari said kama wewe hapa JF, uliandikiwa barua na uongozi uwe unamchukia jemedari tena unatumiaga maneno ya Jenerali Bugatti kwamba jemederi hajui english anavaa kanzu chafu,leo wewe wa kumtetea jemedari?
Wakati jemdari Bugatti (MSEMAJI WA YANGA)akiandika malalamiko yake kwa mmmiliki wa EFM majay kuhusu Jemedari said kutumia redio kuishambulia yanga na kutaka aismamishwe kazi, HERSI ALILIPINGA HILO? hapana ni kwa sababu malalamiko yalitolewa na ofisa wa yanga
SO SIT BACK CHILL AND RELAX, YULE MVAA KANZU CHAFU NA ASIYEJUA ENGLISH NDIYE MSHAURI WA KIJANA WENU
Mkuu ulishaacha u kachu? KabwilismMashog.a wakatazwe kuanzisha uzi humu
Umeona eee dogo anafanya upumbavu sana kumkubali adui wa yangaPropanda za kipumbavu
Tafta kazi ufanye kijanaKila siku mkiambiwa kwamba Hersi ana maamuzi ya ki pwagu mnakasirika, hivi unadhani wana yanga ni wajingawajinga?
Jenerali Bugatti alikuwa sahihi sana kukataa kumpa mkono huyu kijana mnafiki kule zanzibar aliona mbali sana
Bugatti anaposema kwamba huyu ni mnafiki anaichukia yanga apingwe wewe ni nani ubishe?
Bugatti ka shawapoint wanayanga kwamba ALLY KAMWE, WILSON ORUMA, JEMEDARI SAID wako vitani dhidi ya Dar young africans inakuwaje tena katika mmojawapo aliye vitani na team mnampa cheo tena anakuwa boss wa de la boss Bugatti?
Kma siyo dharau ni nini? huyo kamwe ataweza kutoa ma slogan kama ya kwa mkapa hatoki mtu,iwe jua iwe mvua...ni mtanzania gani ana uwezo wa ku come up na ma ideas kama hayo zaidi ya Bugatti? Ally kamwe anaweza kujaza uwanja kweli?
Sasa angalia hii video jinsi Ally kamwe anavyomkubali adui namba moja wa wanayanga aitwaye jemedari said
kama hamtaiona hatari ambayo yanga imejiweka basi akili zenu ni sifuri kabisa, ndiyo maana wafuasi wa jemedari Bugatti wana machungu yasiyosimulika mioyoni mwao
View attachment 2370935
View attachment 2370935