Kimetulamba kwenye written interview

Yani wametuletea ma volumetric analysis, ma elasticity,vernial calliper Yale ya O-level...yani .zile practical za form 4 ndo tumeletewa hamna swali Moja la afya πŸ₯Ίule Mtihani kwa mwanafunzi wa form 3&4 alokwiva vizuri anapata yote.
Hili ni tatizo, Tayari.
 
Hata hivyo una mme anakutosha, mshawishi mfungue maabara yenu.
 
Wamekuletea maswali ya O level ili wajue kama ulikuwa unapiga msuli kitanda au msuli mlowekoπŸ˜€πŸ˜€
 
We nae unakuwa huelewi ule usaili ulikuwa wa medical lab technician sio wa mwalimu Wa kemia /physics
Kumbuka kwanini nitolewe maswali nje ya taaluma yangu?.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ daaah haya sawa bhn, ila si utakuwa hujauacha salama πŸ™†πŸ™†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…