Dereva wangu anajiuguza kiuno sasahivi, ...😀😀 hizo gari za manual zinatesa sanaKabisa. Manual ni technology ya kizamani na gari za sasa za auto zinazidi kuboreshwa Kuna AT, AMT, IMT, CVT, DCT.
Sasa ya nini kujitesa na kuendesha gari hadi miguu inauma. Ndo maana madereva wa zamani viuno ilikuwa shida maana wanakaza tako safari nzima.
Huhuuhuuu..visaloon cars hapana asee havina mzuxUnawasha AC halafu unasima. Ila liwe gar sasa sio passo au vits [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila passo. Dah nilikuwa nasemwa kama siendeshi gari..... Watu walikuwa wanaona kama naendesha lunchbox
Kuja kuipata hiyo parking sasaHaahaa we kiboko....si uingie uhuru pale kwenye makapeti buku 2 siku nzima, parking kama loote
🤣🤣🤣🤣🤣 mimi huwa sisumbuki naacha mkuki mall...askari nampoza na buku nachukua boda nazama kariakoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ni bora niende nikapaki upanga kuliko kwenda nayo karikoo kugombania parking [emoji2405] za kubanana Mixer kugusana ni dakika tano. Naenda paki gari upanga nachukua pikipiki buku mbili nakuja kariakoo....
Hapana mkuu...pale parking ni la kutosha, hata uje mida mibayaKuja kuipata hiyo parking sasa
IST mil 19.4? umepigwa parefu sana ww19.4 mil
Uhuru ipi hiyoHapana mkuu...pale parking ni la kutosha, hata uje mida mibaya
Hata ukitaka kivulini unaoneshwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kile kisehemu huwa kinaonekana sana. Halafu mtu akiparazisha limguu lake pale unatamani umpe neno zito kumwambia kakuumiza hisia.huu uzi leo ndo nimeamini kumbe sio wote JF wana magari😛😛😛. Nyuzi nyingi za magari kila mtu anatoa user experience yaani wachangiaji wote wana magari, kumbe sio bhana.
Mi huwa mtu akiingia na matope au vumbi pale kwenye kikanyagio mlangoni huwa nachukia sana, sasa wakiingia madogo wakachafua nawaangalia🙄🙄 halafu naishia tu kusema hii ni gari ya familia na hawa ndo wenyewe haswa napiga moyo konde nawasha gari nasepa nao.
IST mil 19.4? umepigwa parefu sana ww
Yes mkuu, humo ndanPale pembeni ya shule ya mkapa.....?!
Ni mkapa mkuu sorryUhuru ipi hiyo
Nimeshangaa sana[emoji848]IST mil 19.4? umepigwa parefu sana ww
Apo sawa nimekusomaNi mkapa mkuu sorry
Unajua watu hawajui kuwa mzungu alishakaa akatathimini mapungufu ya manual ndipo akaona kipengele cha manual clutch kitolewe na hilo jukumu lifanywe na computer automatically.Dereva wangu anajiuguza kiuno sasahivi, ...😀😀 hizo gari za manual zinatesa sana
Kutoka Japan hadi mkononi kwako ni 11-12 haizidi hapoHuwa inakua tsh ngapi??
Noma sana!...ila gari ni gari inategemea pia interest ya mtuBaby walker
Utafikiri umekwanguliwa wewe mwiliniScratches ndogo tu inakunyima usingizi unaumwa kabisa.. [emoji3]