Kapigwa vibaya halafu hamna gari hapo bora old model. Mie nilikanunua hako kagari nikakasukuma in two months
Hii ikifika tuu utakula pis zote za kijanja,hiyo gari maskini hawaijui kabsaaaFord Mustang yangu ipo baharini itaingia mwazo wa mwezi ujao. Ngoja nione kama yatatokea hayo.
Ahaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Kama tayari una flash yenye nyimbo 100 Safi sana, sasa nunua pia na air fresher kalii ya kuweka pale mbele [emoji12][emoji12][emoji12]
Za zamani 14m ? Yamepanda lini mkuu[emoji849][emoji28]unaota wewe. Labda umvue mtu hapa bongo. Maana IST zenyewe model ya zamani zinafika hadi 14m sahv
@Makiwendo nafuta undugu na wewe.Makiwendo ana Prado new model
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]@Makiwendo nafuta undugu na wewe.
Wameniacha peke yangu na Tz 11[emoji2297][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Hutaki tena ushost
Acha wivu mkuu
Haha pole shostWameniacha peke yangu na Tz 11[emoji2297]
Acha kabisa. Unapitwa kama umesimama na ukikichochea halafu upishane na basi utasema umepigwa na dhoruba.Na hamna kitu kinawaumiza madereva wa Passo na vitz jinsi watu wanawachapa mkiwa safarini
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
True. Kuown gari mapema inakuzoesha. Ila nchi zetu za kipato cha vitumbua huwa ni ngumu mzazi hata kukununulia baiskeli tu.To be honest I was wondering!, How that possible!?, ulipoandika hivi ndo nikaelewa kumbe, when you start driving at early age, huwezi kua hivyo bcoz owning a car inakua kitu cha kawaida sana, tho unakua happy ku own your dream car lakin not that much[emoji38]..... by the way I started driving at 15 years na nilikua naend popote napotaka, some of my friends walikua wanaenda secondary school na gari, so today..even if niki own Buggati I don't think nitakua hivyo, zaidi yakuwa proud of myself to own a such expensive car in the world. Sijui kwann Mimi huwa I get bored easily naweza furahia kitu kwa muda mchache sana after that naona kawaida ama nisione thamani yake tena [emoji45] so sad.
Subiri fever ya kumiliki gari ya kwanza then utupe mrejesho[emoji23][emoji23]
Ahsante kwakweli[emoji24]Haha pole shost
Witty!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makiwendo ana Prado new model
Mnaninunulia lini?Subiri fever ya kumiliki gari ya kwanza then utupe mrejesho[emoji23][emoji23]
Kwanza hutaki kuona ina Vumbi.. ha ha ha..Ni inaoshwa kila siku.[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah na asiifanye kuwa ndoto iwe ni deni. Yaani kutafuta pesa ya gari jivalishe akili ya mtu ambaye ana mke mjamzito halafu hana hata mia.Iko siku mkuu utanunua kikubwa ndoto iendelee kusimama.
@financial services umeona nilichokuwa nakwambia. Haya mojawapo huyu hapa. Unaona yeye ni pikipiki kubwaKama tu simu mpya ilikuwa inanipa wehu siku nikimiliki ndinga ntadata mara 4 yake
Ila ukweli Mie ni mtu ambaye sinaga mzuka na magari sema napenda mapikipiki yale makubwa nataman kweli kulimiliki
Ha ha ha ha chonga kibubu tuje kukuchangia.Hapo kwenye mbu nimecheka, ila furaha ya gari hata mbu sitowasikia[emoji23]
Kiukweli IST new model huwa naipendaga tu hata nikija kupata ndinga nyingine ila hiyo lazima nije kuijaribu.[emoji7]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wameniacha peke yangu na Tz 11[emoji2297]