Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa mbishi na mwenye dharau utapigwa tu. Huo sio unyanyasaji no kujitakiaKabila : Wakurya
Wenyeji(mkoa): Mara
Sifa nzuri: hawajui kutelekeza watoto (yan ukizaa nae alaf mkaachana atafanya juu chini achukue wa(m)toto wake ata kwa kumuiba)
Sifa mbaya: wanyanyasaji(uzushi tu hii ni tabia ya mtu sio kabila), nawapendI dharau.
Nahisi hizo zinatosha
Jamani mnanichanganya, ni Mluhya wa Kenya au Mkurya wa Mara
[emoji23] and vice versa is trueHao ni waluhya toka Kenya,wanasifika kwa ustaraabu, wapole, hawana hasira, wanajua kuhandle wanawake vizuri,walinzi wazuri wa familia, siku wewe na mdogo mkimchokoza atawapa zawadi ya upendo, Karibu Sirari mura.
Habari zenu, husikeni na kichwa cha swali hapo juu,.
Niliwahi kumfatilia nikajua kazaliwa huko Dar maeneo ya Ukonga , ila sijawai kusikia kuna mzaramo anaitwa Chacha
Kuna kijana hapa naona yupo na mdogo wangu wa kike kwa takribani mwaka na nusu sasa, kapata kazi idara falni na anaonesha nia ya kuoa, nimeona nimpigie ka reseach ka mapema.
Jinsi alivyo ni mrefu, mchangamfu kimtindo, ni msabato.
Ni watu wa wapi ?
Ni kabila lipi ?
Stereo types zao nzuri na Mba
Hawa nimekaa nao sana ni watu wavisasi sana na mahasira yasiyoisha tegemea kupata matatizo makubwa hapo ni watu katili sana na wanauwezo mkubwa sana kuficha uhalisia wao mpaka ukamwamini lakini utajutaUkiwa mbishi na mwenye dharau utapigwa tu. Huo sio unyanyasaji no kujitakia
Huyo anafanya mzaha tu, kuna Mtu asiyejua Chacha ni Mkurya, haya huyo dada ake hakumuuliza anayetaka kumuoa kabila gani, angalau angekuja kuuliza sifa za Wakurya kuliko kujifanya hajui kabila la mtu anayetaka kumuoa dada ake ila anajua jina tu,Kwanini usimuulize direct huyo shemeji yako mtarajiwa? unafanya reseach JF ambako hata hatumjui huyo mtu? kwani Wakurya wote wana tabia za kufanana? kila jamiii ina watu wazuri na watu wabaya,tabia ni ya mtu husika na sio ya kabila lote.
Mkuu hiyo dhana ya unyanyasaji ni kama umefunika jambo,Wakurya wana mfumo dume haswa,mwanamke hana sauti na mikono yao ni mepesi kupiga mtu. Hata kama haya mambo yapo mikoa mingine,lakini kwa wakurya naona kumezidi.Kabila : Wakurya
Wenyeji(mkoa): Mara
Sifa nzuri: hawajui kutelekeza watoto (yan ukizaa nae alaf mkaachana atafanya juu chini achukue wa(m)toto wake ata kwa kumuiba)
Sifa mbaya: wanyanyasaji(uzushi tu hii ni tabia ya mtu sio kabila), nawapendI dharau.
Nahisi hizo zinatosha
Hii hoja yako sijui kama ni kweli,Asilimia kubwa ya watu wa Mara ni wasabato alafu Catholic,haya makanisa mengine tunasali wageni tu.Huyo anafanya mzaha tu, kuna Mtu asiyejua Chacha ni Mkurya, haya huyo dada ake hakumuuliza anayetaka kumuoa kabila gani, angalau angekuja kuuliza sifa za Wakurya kuliko kujifanya hajui kabila la mtu anayetaka kumuoa dada ake ila anajua jina tu,
Btw, Mkurya akiwa Msabato hua wastaarabu sana hawana yale matabia wanayosifika kwa huo mkoa wao, wala hawakeketi mabinti zao.
Umekaa nao wapi?Hawa nimekaa nao sana ni watu wavisasi sana na mahasira yasiyoisha tegemea kupata matatizo makubwa hapo ni watu katili sana na wanauwezo mkubwa sana kuficha uhalisia wao mpaka ukamwamini lakini utajuta
Sasa kitu usicho kijua wanawake was kikurya wanapenda kupigwaMkuu hiyo dhana ya unyanyasaji ni kama umefunika jambo,Wakurya wana mfumo dume haswa,mwanamke hana sauti na mikono yao ni mepesi kupiga mtu. Hata kama haya mambo yapo mikoa mingine,lakini kwa wakurya naona kumezidi.
hawa kwa wizi ,Dhuluma ,Unyanganyi kila aina ya tabia mbaya ni yaoUmekaa nap wapi?
Narudia Tena mkurya hapendi dharau; ukiwa ni , TU mwenye dharau utamuona mkurya ni mtu kbaya sana maana huwa wanamalizana na wewe hapo hapo.
Visasi ni kawaida Yale mambo ya kwenye biblia ya akikupiga shavu hili mpe na upande mwingine hayapo.
Kwa wanaowajua wakurya vizuri lazima atakuambia hakuna kabi;a wakarimu kama wakurya na ni watu ambao hawana wivu wa kijinga.
Mkurya akikupa onyo tii; ukijifanya mbabe utaumia
Hivyo Kila kabila vipo. Hata kwenye familia yenuhawa kwa wizi ,Dhuluma ,Unyanganyi kila aina ya tabia mbaya ni yao
hao ni wa serengeti tarime sifa yaoHabari zenu, husikeni na kichwa cha swali hapo juu,.
Niliwahi kumfatilia nikajua kazaliwa huko Dar maeneo ya Ukonga , ila sijawai kusikia kuna mzaramo anaitwa Chacha
Kuna kijana hapa naona yupo na mdogo wangu wa kike kwa takribani mwaka na nusu sasa, kapata kazi idara falni na anaonesha nia ya kuoa, nimeona nimpigie ka reseach ka mapema.
Jinsi alivyo ni mrefu, mchangamfu kimtindo, ni msabato.
Ni watu wa wapi ?
Ni kabila lipi ?
Stereo types zao nzuri na Mbaya?