Kina "Chacha" ni watu wa wapi na ni kabila lipi?

Kina "Chacha" ni watu wa wapi na ni kabila lipi?

Wacha kiherehere!! ...hamkomi tuuu?? kwani huyo mleta mada hakusoma makabila ya Tanzania drs la tatu?....km ni kweli basi ni kilaza!! weye unajipendekezaaaaaa kujibu kinacho eleweka!

kwa taarifa yako kina chaha wapo mpaka south A. yoote km ilivo, Uganda ndo usiseme, Nsumbiji, zimbabwe, UK upoo ukoo maarufu wa Magreth chacha! kina Indira Ghati-India hukooo! kina Marwa wamejaa Middle EASt!

Wazaramo/wachaga/zanzibar/ wanyakyusa nk! weeengi walitamani mbegu za askari wakakamavu! wakapewa bureee! mpaka leo mikoa yao imeendelea mnoo!...hata Mama ana damu ya kikurya si unamuona alivo mkakamavu!
😂😂😂 Hasa hasa Zanzibar wamejaa Santa huko. Ila kweli mama anaonekana kuwa na damu ya kikurya vile😂
 
We jamaa mi naona unatafuta attention tu, huwezi kuwa serious ushidwe kujua kina Chacha ni watu wa wapi ama kabila gani.

Any way, hao raia asili yao ni mkoa wa Mara hasa wilaya ya Tarime. Kabila lao ni wakurya, hawa jamaa wanaaminika kwa ujasiri sana. Kuhusu zile tabia wanazo pakiziwa hiyo ni kutokana na mtu mwenyewe huwezi kumuukumu mtu kisa kabila lake. Kila mmoja ana tabia zake
Chief hapa umemaliza Uzi ufungwe sasa
 
Ukimkuta mjeda atakurusha kichura balaaaa.... kisa kwa nini umefuga ndevu ukapita eneo la geshi!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki hata kuwasikia wajedaa, nusu waniuee. Nlikua najuta kwenda kwa Mujibu wa Sheriaa.
 
Hakikisha dada yako ana bima ya afya ya kueleweka,maana muda wowote bandana na firigisi zinaweza kuchanganyikana akahitaji operation ya emergency [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boraa tahadhari awe nayo mapemaaa.
 
Nimekaa na wakurya kwa kiasi kikubwa ata baadhi ya marafiki zangu ni wakurya. Hizo tabia za ukorofi, kiburi nakadhalika ni uongo tu. Kila binadamu ana tabia zake, sikuwahi kuona hizo tabia kwa hao jamaa zangu.

Kitu pekee niliona ni wanaume wa kikurya wana mfumo dume yaani mwanamke hana sauti mbele ya mume wake. Na hii ndio asili yetu Waafrika, ata kwenye hilo sioni kuna ubaya wowote ule. Hizi ishu za 50/50 ni upuuzi kutoka huko kwa wazungu
Chief hapa umemaliza Uzi ufungwe sasa
 
Nimekaa na wakurya kwa kiasi kikubwa ata baadhi ya marafiki zangu ni wakurya. Hizo tabia za ukorofi, kiburi nakadhalika ni uongo tu. Kila binadamu ana tabia zake, sikuwahi kuona hizo tabia kwa hao jamaa zangu.

Kitu pekee niliona ni wanaume wa kikurya wana mfumo dume yaani mwanamke hana sauti mbele ya mume wake. Na hii ndio asili ya zetu, ata kwenye hilo sioni kuna ubaya wowote ule. Hizi ishu za 50/50 ni upuuzi kutoka huko kwa wazungu
Kwa akili za wanawake unavyozijua bila mfumo dume unadhani wanaenda.

Ikifanyika sensa ya makabila yanayoongoza Kwa taraka nafikiei wakurya watashika mkia
 
Mkurya akifunga ndoa na mwanamke kuachana ni ngumu sana yaani sana kwanza wanawake wa kikurya ni wavumilivu mno. Ata kama ikitokea wameachana kwa sababu za hapa na pale yule mwanamke hawezi kuolewa tena mpka arudishe mahali kwa yule alie muoa hapo ndio atakuwa free. Bila hivyo bado ata hesabika ni mke wa mtu ata kama haishi na mume wake. Kitu kingine wanajali sana watoto na huwezi chukua mtoto kwa mwanamume wa kikurya kirahisi rahisi tu labda umuibe ama umroge.

Mabinti wa makabila mengine usitarajie kuzaa na mwanamume wa kikurya alafu uchukue mtoto, hapo ndio utajua ukorofi wao.
Kwa akili za wanawake unavyozijua bila mfumo dume unadhani wanaenda.

Ikifanyika sensa ya makabila yanayoongoza Kwa taraka nafikiei wakurya watashika mkia
 
Mkurya akifunga ndoa na mwanamke kuachana ni ngumu sana yaani sana kwanza wanawake wa kikurya ni wavumilivu mno. Ata kama ikitokea wameachana kwa sababu za hapa na pale yule mwanamke hawezi kuolewa tena mpka arudishe mahali kwa yule alie muoa hapo ndio atakuwa free. Bila hivyo bado ata hesabika ni mke wa mtu ata kama haishi na mume wake. Kitu kingine wanajali sana watoto na huwezi chukua mtoto kwa mwanamume wa kikurya kirahisi rahisi tu labda umuibe ama umroge.

Mabinti wa makabila mengine usitarajie kuzaa na mwanamume wa kikurya alafu uchukue mtoto, hapo ndio utajua ukorofi wao.
Wakiitwa watu wanaowafahamu wakurya siti ya mbele ni yako.

Kwa Faida ya single mother; mkiolewa na mkurya hata hao watoto wenu in mali take; kaeni mkijua hilo
 
Mkurya akiwa msabato anakuwa the best person zaid ya unavyodhan but usimfanyie dharau wakurya hatuwez kuvumilia dharau hata lwa bahat mbaya
 
Akina Chacha bwana wako design tofauti. Wako waliozaliwa masaki wakakulia Toronto au USA kisha wakarudi bongo. Hawa wana tatizo kabisa ila kwa wale waliokulia bush wakaletwa mjini na kisomo au ajira hao ndio wa kuogopwa 🤣🤣🤣!

1.Kwanza kabisa makazini ni much knows, nimefanya kampuni mbili tofauti na hao watu. Wana itikadi za majungu, unafiki na kujipendekeza sana ili wao ndio waonekane wenye ubora matokeo yake wanaishia kuwa vibaraka wa ngozi nyeupe.

2. Personality yao imeegama kwenye kufanikisha jambo kwa namna yeyote ile ila kwa kuwa wengi wanaamini katika mabavu huwa akili hawazitumii sana. Ukiwa mtu mwenye akili kuwazidi huwezi kutoboa maana mtakuwa mnashindana tu katika kila kitu. Ndio maana wamekuwa chaguo zuri kwa jeshi letu la polisi kule.

3. Wanapenda vyeo na recognition, hawa jamaa bwana hata ukimpa nafasi ya mwenyekiti wa wapangaji mtaani basi mtaifurahia show. Yani yupo radhi akwamishe jambo kwa sababu yeye hayupo tu ilihali linawezekana. Nje ya hapo ukifosi basi ujue umeanzisha mgogoro tayari na ataanza beef na wewe. Ni madikteta kwa asili.

3. Con & Selfish, usije ukafanya ishu ya hela na hawa jamaa ukategemea atakutoa. Ni matapeli wa maneno na hela ikiingia kwake kuikamata ni ishu. Labda utumie umafia.

4.Kwenye mahusiano jamaa ni ma monster, ni mfumo wa kibabe tu demu akijifanya chizi anarudi kwao na mguu moja na meno ishirini🤣🤣🤣🤣! Dharau mwiko na kwenye hili hawana utani.
 
Chacha.. Wakurya kutoka tarime na maeneo jirani mkoani mara.

Ni ndugu zake akina heche, sirro, ryoba, wambura na msuguri.

Kazi yao serikalin ni majeshini, pia wez na majambazi.

Siku huyo dada yako akijichanganya atapokea kichapo cha mbwa koko.

Wanatahiriwa kwa kisu, mboo inakuwa na makovu mengi, so dada yako anasuguliwa vzr hivyo hatabanduka.

Maelezo ya zaidi anakuja bwana mdogo GENTAMYCINE mwenye kipaji kuliko wote, iq yake nene kuliko wote kusin mwa jangwa la sahara.
Aya ya mwisho umeandika upumbavu mkubwa kumkozea adabu mleta Uzi braza wa watu mshenzi Sana wew

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hao ndugu nimekaa nao sana, kuna kipindi nilikuwa nafanya shughuli zako Kenya kwahiyo nilikuwa nakaa pale Tarime. Kwahiyo nimejua vingi kutoka kwao, hawa watu wana ushirikiano sana.

Pia wanaheshimu sana mila zao, ndio maana mpaka leo wanatekeleza mila yao ya kutahiri kwa kienyeji Dar es Salaam.
Wakiitwa watu wanaowafahamu wakurya siti ya mbele ni yako.

Kwa Faida ya single mother; mkiolewa na mkurya hata hao watoto wenu in mali take; kaeni mkijua hilo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki hata kuwasikia wajedaa, nusu waniuee. Nlikua najuta kwenda kwa Mujibu wa Sheriaa.
Ilikuwaje hebu lete kisa kbl ya mm kuletq cha kwangu....
 
Hao ndugu nimekaa nao sana, kuna kipindi nilikuwa nafanya shughuli zako Kenya kwahiyo nilikuwa nakaa pale Tarime. Kwahiyo nimejua vingi kutoka kwao, hawa watu wana ushirikiano sana.

Pia wanaheshimu sana mila zao, ndio maana mpaka leo wanatekeleza mila yao ya kutahiri kwa kienyeji Dar es Salaam.
Yaani mpaka uishi kwenye jamii Yao ndio utawaelewa vizuri. Hawa wanaosambaza majungu ni wale was kuokoteza maneno mitaani au unakuta amekutana na Moja akajumlisha wore.

Ukitaka kujua wakurya no wastarabu we mpigue mke wake; atakufuata kistaarabu na kukuonya uachane na mke wake; sasa wewe jifanye kudume uendelee utajua hujui. Huu ni ustarabu wa Hali ya juu.
 
Back
Top Bottom