nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
Tangu lini binadamu akawa na firigisi?Hakikisha dada yako ana bima ya afya ya kueleweka,maana muda wowote bandana na firigisi zinaweza kuchanganyikana akahitaji operation ya emergency 😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini binadamu akawa na firigisi?Hakikisha dada yako ana bima ya afya ya kueleweka,maana muda wowote bandana na firigisi zinaweza kuchanganyikana akahitaji operation ya emergency 😁😁😁
Duuh,Ni wakurya,watu ambao hawajui kujizua juu ya hasira zao,kukutoa roho kwao ni ujasiri
Katubu dhambi ya uwongo.Kina Chacha ni wachagga wa machame
[emoji49][emoji48]Tangu lini binadamu akawa na firigisi?
Huyo anafanya mzaha tu, kuna Mtu asiyejua Chacha ni Mkurya, haya huyo dada ake hakumuuliza anayetaka kumuoa kabila gani, angalau angekuja kuuliza sifa za Wakurya kuliko kujifanya hajui kabila la mtu anayetaka kumuoa dada ake ila anajua jina tu,
Btw, Mkurya akiwa Msabato hua wastaarabu sana hawana yale matabia wanayosifika kwa huo mkoa wao, wala hawakeketi mabinti zao.
KARIBU MKOA WA MWANZAWakurya
Sasa unaingia mkoa wa Mara
Kule wanakotumia mapanga kaa Kwa tahadhari naeHabari zenu, husikeni na kichwa cha swali hapo juu,.
Niliwahi kumfatilia nikajua kazaliwa huko Dar maeneo ya Ukonga , ila sijawai kusikia kuna mzaramo anaitwa Chacha
Kuna kijana hapa naona yupo na mdogo wangu wa kike kwa takribani mwaka na nusu sasa, kapata kazi idara falni na anaonesha nia ya kuoa, nimeona nimpigie ka reseach ka mapema.
Jinsi alivyo ni mrefu, mchangamfu kimtindo, ni msabato.
Ni watu wa wapi ?
Ni kabila lipi ?
Stereo types zao nzuri na Mbaya?
Wacha kiherehere!! ...hamkomi tuuu?? kwani huyo mleta mada hakusoma makabila ya Tanzania drs la tatu?....km ni kweli basi ni kilaza!! weye unajipendekezaaaaaa kujibu kinacho eleweka!Kabila : Wakurya
Wenyeji(mkoa): Mara
Sifa nzuri: hawajui kutelekeza watoto (yan ukizaa nae alaf mkaachana atafanya juu chini achukue wa(m)toto wake ata kwa kumuiba)
Sifa mbaya: wanyanyasaji(uzushi tu hii ni tabia ya mtu sio kabila), nawapendI dharau.
Nahisi hizo zinatosha
Halafu weee!! dogo unawafanya hawana akili au!.......ukimkuta mjeda atakurusha kichura balaaaa.... kisa kwa nini umefuga ndevu ukapita eneo la geshi!!!
Nashangaa mpaka sasa hujapewa 'Likes' nyingi mno kwa huu Ukweli wako Kuntu uliouandika kutuhusu Sisi Watu wa Mkoa wa Mara ( Musoma )Kabila : Wakurya
Wenyeji(mkoa): Mara
Sifa nzuri: hawajui kutelekeza watoto (yan ukizaa nae alaf mkaachana atafanya juu chini achukue wa(m)toto wake ata kwa kumuiba)
Sifa mbaya: wanyanyasaji(uzushi tu hii ni tabia ya mtu sio kabila), nawapendI dharau.
Nahisi hizo zinatosha
Jana kwenye taarifa ya habari azam mkurya mmoja kampiga mke wake kamvunja mguu kisa hajalima akamaliza shamba.Hao ni wakurya wapole sana hawajui hata kumpiga mke
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hao ni waluhya toka Kenya, wanasifika kwa ustaraabu, wapole, hawana hasira, wanajua kuhandle wanawake vizuri, walinzi wazuri wa familia, siku wewe na mdogo mkimchokoza atawapa zawadi ya upendo, Karibu Sirari mura.
Shika tu la Sakasaka Mao na hao Wengine achana nao na ikiwezekana Wapuuze pia.Countrywide anasema ni wachaga wa machame
Sakasaka Mao anasema ni wakurya
Molembe anasema ni waluhya
nishike wapi sasa ??
Na bado Usiku Kitandani alipigwa tena 'Kibaiolojia' na najua alisikia 'Utamu Kunoga ' sana tu kwani Tanzania nzima hakuna Wanaume wanaojua Kusugua vyema ( vizuri ) Mbunye za Wadada ( Wanawake ) na Wakafurahi na Kuridhika kama wa kutoka Mkoani Mara ( Musoma )Jana kwenye taarifa ya habari azam mkurya mmoja kampiga mke wake kamvunja mguu kisa hajalima akamaliza shamba.
Yaami ulivyochangia nikadhani umeolewa na mkurya. Story zingine za vijiweni muwe munaziacha huko huko.hao ni wa serengeti tarime sifa yao
sio wachoyo
sio wavivu
wanawivu sana tena wa kupindukia
hawako tayali kuona mke wao akiisimama na mwanaume hata kama walisoma wote au kwao 1
wanapika wake zao kama punda
kumtia kilema mke kwao si ajabu
kumpiga mke mbele ya watu kama sokoni stendi harusini kwao hilo sio tatizo hao jamaa mwanamke yeye aitikie ndio kila atakalo ambiwa na mumewe
akiwa mkuriya 1 anakuwa msitarabu sana mpole lakini wakiwa wengi kuanzia 2 na kuendelea tayali uanza tabia zao
akimuacha mwanamke mfano wawe dar mkuriya akichukua watoto akawapeleka kwao huko serengeti mama yao asitegemee kuwaona tena
mkuriya akiachana na mwanamke akaokewa pengine baadae lazima aende kumafanyia fujo hata kuiba watoto alio wazaa pale hata kwa mapanga
muriya akiwa anampiga mkewake achagua sehemu ya kumpiga au cha kumpigia fimbo jiwe panga nondo nk
pia akiwa anampiga mke wake hakuna anae weza kuamua ugomvi huo au kumkataza awe baba yake mama yake kaka yake jirani yake ukiingilia ugomvi huo umenunua uasama wa kudumu
ukienda serengeti tarime wanawke wengi wana ngeo wengine ni walemavu kwa sababu ya kipigo
mkuriya asome asomavio awe na pesa aishi na makabila tofaoti lakini awahachi tabia yao ya asili labda mkuriya alie zaliwa sehemu ambako hakuna wakuriya na akakulia huko pia mama awe kabila ingine
mfano kila utakae muona akiendesha baisikeli kapakia mayai dar nikuriya chunguza chini ya terei za mayai kuna sime hiyo sime sio pambo!!
wako kitunda muda mrefu wamezaliwa pale lakini tabia zao nizile zile za tarime na serengeti na bunchari
mimi binafsi mtoto wangu siwezi muozesha mkuriya labda aende yeye lakini nitamtadharisha achague kusuka au kunyoa
kama mdogo wako ana dharau mtahadharishe.Habari zenu, husikeni na kichwa cha swali hapo juu,.
Niliwahi kumfatilia nikajua kazaliwa huko Dar maeneo ya Ukonga ila sijawahi kusikia kuna mzaramo anaitwa Chacha.
Kuna kijana hapa naona yupo na mdogo wangu wa kike kwa takribani mwaka na nusu sasa, kapata kazi idara flani na anaonesha nia ya kuoa, nimeona nimpigie ka reseach ka mapema.
Jinsi alivyo ni mrefu, mchangamfu kimtindo, ni msabato.
Ni watu wa wapi?
Ni kabila lipi?
Stereo types zao nzuri na Mbaya?