Kina "Chacha" ni watu wa wapi na ni kabila lipi?

Kina "Chacha" ni watu wa wapi na ni kabila lipi?

Huyo anafanya mzaha tu, kuna Mtu asiyejua Chacha ni Mkurya, haya huyo dada ake hakumuuliza anayetaka kumuoa kabila gani, angalau angekuja kuuliza sifa za Wakurya kuliko kujifanya hajui kabila la mtu anayetaka kumuoa dada ake ila anajua jina tu,

Btw, Mkurya akiwa Msabato hua wastaarabu sana hawana yale matabia wanayosifika kwa huo mkoa wao, wala hawakeketi mabinti zao.
80% ya Wakurya ni Wasabato
 
Kabila: Wakurya
Wenyeji(mkoa): Mara
Sifa nzuri: Hawajui kutelekeza watoto (yaani ukizaa nae halafu mkaachana atafanya juu chini achukue wa(m)toto wake hata kwa kumuiba)
Sifa mbaya: Wanyanyasaji(uzushi tu hii ni tabia ya mtu sio kabila), hawapendI dharau.

Nahisi hizo zinatosha
Hata ukimzalia mtoto nje ni wake, yaani yeye kakuacha wewe make huko Ngoreme kaja zake Dar after 3 years akirudi akakuta mtoto ni wake.
Kibaya sana-watoa ving'amuzi.
 
Hawana heshima kwa wanawake, wao mwanamke ni chombo tu.Mila zao si njema sana kwa mwanamke asiyezijua.
 
Umekaa nao wapi?
Narudia Tena mkurya hapendi dharau; ukiwa ni , TU mwenye dharau utamuona mkurya ni mtu kbaya sana maana huwa wanamalizana na wewe hapo hapo.
Visasi ni kawaida Yale mambo ya kwenye biblia ya akikupiga shavu hili mpe na upande mwingine hayapo.

Kwa wanaowajua wakurya vizuri lazima atakuambia hakuna kabi;a wakarimu kama wakurya na ni watu ambao hawana wivu wa kijinga.

Mkurya akikupa onyo tii; ukijifanya mbabe utaumia
Hawana akili wote tungeogopa dharau kama wao nchi ingekalika hii.Hawana ustaarabu.
 
Chacha.. Wakurya kutoka tarime na maeneo jirani mkoani mara.

Ni ndugu zake akina heche, sirro, ryoba, wambura na msuguri.

Kazi yao serikalin ni majeshini, pia wez na majambazi.

Siku huyo dada yako akijichanganya atapokea kichapo cha mbwa koko.

Wanatahiriwa kwa kisu, mboo inakuwa na makovu mengi, so dada yako anasuguliwa vzr hivyo hatabanduka.

Maelezo ya zaidi anakuja bwana mdogo GENTAMYCINE mwenye kipaji kuliko wote, iq yake nene kuliko wote kusin mwa jangwa la sahara.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Watu wengi wanakujibu kimzaha hadi nashangaa!

Majina ya Chacha ni majina ya Kikurya, kwa Tanzania wanaishi Wilayani Tarime Mkoa wa Mara period

Musoma, Bunda, Tarime, Serengeti kote kuna wakurya! Ttz watu wamekariri kuwa Tarime tu ndo kuna wakurya! Wilaya yote ya Serengeti ni wakurya tupu!
 
Musoma, Bunda, Tarime, Serengeti kote kuna wakurya! Ttz watu wamekariri kuwa Tarime tu ndo kuna wakurya! Wilaya yote ya Serengeti ni wakurya tupu!
Ukianza kuzagaza namna hiyo sasa, mwisho utasema popote wanapatikana kwa sababu katiba yetu inaruhusu mtu yeyote kuishi popote.

Ukitaja Musoma, Wajita na wakwaya unawaweka wapi?
Ukitaja Serengeti, Wangurimi unawaweka wapi nk nk.

Ingawa kimuonekano watu wa Mara ni kama Wakurya flani hivi, wamegawanyika katika makabila madogo madogo ambayo hata tamaduni zake zimetofautiana.

Wilaya ya Tarime ndiyo Wilaya hasa kitovu cha Wakurya og.
 
Hata ukimzalia mtoto nje ni wake, yaani yeye kakuacha wewe make huko Ngoreme kaja zake Dar after 3 years akirudi akakuta mtoto ni wake.
Kibaya sana-watoa ving'amuzi.
Ndio maana halisi ya kutoa mahari yani anakumiliki wewe na vyote utakavyo/ ulivyo zaa pasipo kujarisha ni cha ndani au nje ya ndoa.
Hilo la ving'amuzi siku hizi halipo kwa asimilimia kubwa sana
 
Mkuu hiyo dhana ya unyanyasaji ni kama umefunika jambo,Wakurya wana mfumo dume haswa,mwanamke hana sauti na mikono yao ni mepesi kupiga mtu. Hata kama haya mambo yapo mikoa mingine,lakini kwa wakurya naona kumezidi.
MFumo dume upo kwa kila mwanaume wa kiafrika(asilimia kubwa jamii za wafugaji) sema siku hizi uzungu ndio umefanya wanaume wamekuwa mabinti(baadhi yao)
Swala la wao kuwa na mikono wepesi ya kupiga inaweza kuwa inachangiwa na wanawake wa jamii yao wenyewe, wanawake wengi wa kikurya walikuwa wanaamin mwanaume asipo kupiga hakupendi hii pia ilichangia waume zao kuwa na ukatili, pia na dharau kikurya hawezi kukupigia kabla nikakwambia nitakupiga au nitakukata.
 
Back
Top Bottom