Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
80% ya Wakurya ni WasabatoHuyo anafanya mzaha tu, kuna Mtu asiyejua Chacha ni Mkurya, haya huyo dada ake hakumuuliza anayetaka kumuoa kabila gani, angalau angekuja kuuliza sifa za Wakurya kuliko kujifanya hajui kabila la mtu anayetaka kumuoa dada ake ila anajua jina tu,
Btw, Mkurya akiwa Msabato hua wastaarabu sana hawana yale matabia wanayosifika kwa huo mkoa wao, wala hawakeketi mabinti zao.
Hata ukimzalia mtoto nje ni wake, yaani yeye kakuacha wewe make huko Ngoreme kaja zake Dar after 3 years akirudi akakuta mtoto ni wake.Kabila: Wakurya
Wenyeji(mkoa): Mara
Sifa nzuri: Hawajui kutelekeza watoto (yaani ukizaa nae halafu mkaachana atafanya juu chini achukue wa(m)toto wake hata kwa kumuiba)
Sifa mbaya: Wanyanyasaji(uzushi tu hii ni tabia ya mtu sio kabila), hawapendI dharau.
Nahisi hizo zinatosha
Hawana akili wote tungeogopa dharau kama wao nchi ingekalika hii.Hawana ustaarabu.Umekaa nao wapi?
Narudia Tena mkurya hapendi dharau; ukiwa ni , TU mwenye dharau utamuona mkurya ni mtu kbaya sana maana huwa wanamalizana na wewe hapo hapo.
Visasi ni kawaida Yale mambo ya kwenye biblia ya akikupiga shavu hili mpe na upande mwingine hayapo.
Kwa wanaowajua wakurya vizuri lazima atakuambia hakuna kabi;a wakarimu kama wakurya na ni watu ambao hawana wivu wa kijinga.
Mkurya akikupa onyo tii; ukijifanya mbabe utaumia
Acha uongo mkuu, waroman ni wengi halafu walokole wanafuatia wasabato.80% ya Wakurya ni Wasabato
Mbuya molembe.Waluhya hao wanatahiriwa bila ganzi, ukisikia "ndakogeche" kama ameshikilia panga unampiga ngumi ya uso panga linadondoka chini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Chacha.. Wakurya kutoka tarime na maeneo jirani mkoani mara.
Ni ndugu zake akina heche, sirro, ryoba, wambura na msuguri.
Kazi yao serikalin ni majeshini, pia wez na majambazi.
Siku huyo dada yako akijichanganya atapokea kichapo cha mbwa koko.
Wanatahiriwa kwa kisu, mboo inakuwa na makovu mengi, so dada yako anasuguliwa vzr hivyo hatabanduka.
Maelezo ya zaidi anakuja bwana mdogo GENTAMYCINE mwenye kipaji kuliko wote, iq yake nene kuliko wote kusin mwa jangwa la sahara.
Akina nani sasa?Hawana akili wote tungeogopa dharau kama wao nchi ingekalika hii.Hawana ustaarabu.
Watu wengi wanakujibu kimzaha hadi nashangaa!
Majina ya Chacha ni majina ya Kikurya, kwa Tanzania wanaishi Wilayani Tarime Mkoa wa Mara period
Ukianza kuzagaza namna hiyo sasa, mwisho utasema popote wanapatikana kwa sababu katiba yetu inaruhusu mtu yeyote kuishi popote.Musoma, Bunda, Tarime, Serengeti kote kuna wakurya! Ttz watu wamekariri kuwa Tarime tu ndo kuna wakurya! Wilaya yote ya Serengeti ni wakurya tupu!
Ndio maana halisi ya kutoa mahari yani anakumiliki wewe na vyote utakavyo/ ulivyo zaa pasipo kujarisha ni cha ndani au nje ya ndoa.Hata ukimzalia mtoto nje ni wake, yaani yeye kakuacha wewe make huko Ngoreme kaja zake Dar after 3 years akirudi akakuta mtoto ni wake.
Kibaya sana-watoa ving'amuzi.
MFumo dume upo kwa kila mwanaume wa kiafrika(asilimia kubwa jamii za wafugaji) sema siku hizi uzungu ndio umefanya wanaume wamekuwa mabinti(baadhi yao)Mkuu hiyo dhana ya unyanyasaji ni kama umefunika jambo,Wakurya wana mfumo dume haswa,mwanamke hana sauti na mikono yao ni mepesi kupiga mtu. Hata kama haya mambo yapo mikoa mingine,lakini kwa wakurya naona kumezidi.