zamani IPI?Ukitegwa, wewe unategua. Usikubali kunaswa na hiyo mitego. Zamani, yale tuliyokuwa tunayaona faraghani kwa wanawake, siku hizi yanaonekana hadharani. Hawajali wala hawaoni aibu. Hiki ndiyo kizazi tulichonacho sasa. Mungu atuhurumie
HahahahaTangu covid ianze bar zimekauka, madanga yamepotea, ufuska umehamia kwenye mazoezi, na hii nnaiona pia arusha along the new bypass, kuanzia ngaramtoni mpaka usa.. ni full mitego, wadada wengi wanafanya mazoezi kibiashara zaidi
Hahahaha, ila Mkuu mm binafsi napenda mdada ,aseme bana nitafutie kiasi kadhaa tupige game ,sio kutegana tegana kingeseUkitegwa, wewe unategua. Usikubali kunaswa na hiyo mitego. Zamani, yale tuliyokuwa tunayaona faraghani kwa wanawake, siku hizi yanaonekana hadharani. Hawajali wala hawaoni aibu. Hiki ndiyo kizazi tulichonacho sasa. Mungu atuhurumie
Basi jion kama mbugani mule80% hao ni malaya kama malaya wengine tu.Wako hapo kunasa mawindo.
NB
Am not judging
Mnavaa zinabana mnoShega tu mbona.
Mi sio mdada.Mnavaa zinabana mno
Nilipitaga pale Mlimani City siku moja kulikuwa na foleni,nikaamua nitembee kwa miguu mpaka Ubungo.Aisee yani pale kweli wapo kazini,unakuta mzigo huo umewamba kwenye tight,huku kwa mbele mpaka michoro ya K aka Camel toe inaoneka.
Yaani kile kipande kutembea tu nahisi nilitumia zaidi ya lisaa.