Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Kwer mkuuu nilisha wahi waona kama wawili hvi barabara ya UDSM kuelekea ARDHI wanayatikisa ma msambwanda balaaaa nguo imechora kila kituuuu
Alafu ikawaje,ulitazama tu,au hapo hapo.lakini si kosa lako ni kosa LA fikra za mlengo wako.
 
Mazoezi hayo hayafai,wanauumiza Mwili kwa kuvuta hewa chafu ya exhaust.
Wengine wanakimbia kando ya barabara tena bila kuvaa reflector, sio madereva wote wanaona vizuri .na si taa za Magari yote ziko vizuri,zingine hazioni vizuri .Madereva wengine wamelewa,kiujumla hasara ni kubwa kuliko faida.Hiyo ni kwa wote ,pia wanaume.
Ni hatari Sana kukimbia kando ya barabara ambayo Haina njia ya watembea kwa miguu. Huku magari yakienda Kasi.
 
kuna mzee fulani alikuwa kwenye ndinga akamuona binti anapanda boda yule mzee aliifukuza ile boda mpaka mwisho akaenda kuomba namba
ufuska mwingine wa kina dada ni kupanda bodaboda alafu kiuno kipo wazi na hajavaa chupi,hii nimeona zaidi ya mara tatu
 
kuna mzee fulani alikuwa kwenye ndinga akamuona binti anapanda boda yule mzee aliifukuza ile boda mpaka mwisho akaenda kuomba namba
ufuska mwingine wa kina dada ni kupanda bodaboda alafu kiuno kipo wazi na hajavaa chupi,hii nimeona zaidi ya mara tatu
Umkute amevaa Shanga utafurahi zaidi
 
kuna mzee fulani alikuwa kwenye ndinga akamuona binti anapanda boda yule mzee aliifukuza ile boda mpaka mwisho akaenda kuomba namba
ufuska mwingine wa kina dada ni kupanda bodaboda alafu kiuno kipo wazi na hajavaa chupi,hii nimeona zaidi ya mara tatu
Ha ha ha
Biashara ubunifu!
 
Acheni akiba dada wafanye mazoezi.. Wapunguze miili na kuwa fit... Akina dada wanachangamoto nyingi Sana za Afya. ...
 
Back
Top Bottom