Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Akili yako yote unawaza ngono tu. Pole sana.
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
 
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Na wewe uache tamaa, ukiona vipaja na vihipsi unaanza kuhangaika mara ooh wanajiuza, sasa unataka wafanye mazoezi huku wamevaa vitenge na hijabu au dela?
Ulichoandika ni ku ji express who you are!! Ni sawa na wale wa msikitini kuwatenga wanawake kwa sababu hawana uwezo(tatizo) wa kuvumilia kumuona mwanamke.
Akili kama hizo ungekuwa daktari mfanya operation kila mwanamke akija kwake ukiona uchi wake unamla...
 
"mikoa mikubwa especially Dar na Arusha"
Kama dar nayo ipo kwenye list ya mikoa mikubwa Tanzania
basi Tz nzima mikoa yote ni mikubwa
 
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Hebu waacheni hawa kina mama wafanye wapendalo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hizi joggingjogging huko wanalambana +kulana kweri kweri
Kama dem mke wako yuko lazima aliwe sanaa

Ova
 
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Weka picha mkuu kukazia hoja yako
 
Mimi ambaye ni bachelor huwa nafurahi sana kuwaona maeneo ya barabara ya Mbuyuni mpaka Africana pale,wapo weupe,wapo weusi,wenye chura na wasio na chura!

Raha sana,yaani we acha tu!!!
Ikifika mida ya jioni jioni kama saa kumi vile,mdogo mdogo naanza kusogea ili kujionea mavitu ya bure bure! 🙂
😀 😀 😀 😀
Hainaga cha ubachelor wala u married hiyo kitu!

Uchu ni uchu tu utakuchuruzika bila kupenda na bila kujali mlango uliotokea.

Utaishia kujiuliza na kujijibu mwenyewe..." yeh, hivi hilo lote ni lake!"...."Ila mwenyezi Mungu fundi".

Wanaume tuna shida nyie!

Halafu ulivyonasa kwa kushangalia hayo maumbo hadi kwa kuwekeza akili zako zote hapo, ukijifaragua kuangalia pembeni kuzugia, unakutana na macho ya mtu mwingine anakushangaa tena wewe unavyoshangaa!

Hadi aibu nakwambia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umalaya mtupu [emoji108]

Ladies kuvaa mavazi ya michezo yasiyo na staha ni “invitation to treat “

Ni kutega mingo za kupata madanga!

Kujiheshimu kutaanza na wewe mwenyewe jinsi unavyojiweka na mikao yako ndipo wengine tuta-respond accordingly.
 
Kuna mmoja anafanyia barabara ya changanyiken nyuma ya chuo kikuu aisee nilikua kwenye bodaboda tukapishana nae duh hilo shepu alafu ni mrembo pia niligeuza shingo kama dkk tatu hivi hadi tukataka kuangukia mtaroni
 
Kuna mmoja anafanyia barabara ya changanyiken nyuma ya chuo kikuu aisee nilikua kwenye bodaboda tukapishana nae duh hilo shepu alafu ni mrembo pia niligeuza shingo kama dkk tatu hivi hadi tukataka kuangukia mtaroni
Mida gani ufanya mazoezi
 
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Kwa nini sasa unaendaga kuwangalia badal aya kutulia home na demu wakoo
 
Back
Top Bottom