Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Safi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Hapo sasa, jino kwa jino hiyoWakaka mazoezi yao kando ya barabara ni sawa gym zinakua zimejaa??
Na wewe uache tamaa, ukiona vipaja na vihipsi unaanza kuhangaika mara ooh wanajiuza, sasa unataka wafanye mazoezi huku wamevaa vitenge na hijabu au dela?Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Sasa hilo tatizo lake au la mwili wake?Kwer mkuuu nilisha wahi waona kama wawili hvi barabara ya UDSM kuelekea ARDHI wanayatikisa ma msambwanda balaaaa nguo imechora kila kituuuu
Hebu waacheni hawa kina mama wafanye wapendaloHii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Ndume hiyo kuwa makini...Kwan we hufanyag Mazoezi?
Hamjamuelewa mtoa mada.Wakaka hawaonekani huyu jamaa umaruhani wake tu.
Weka picha mkuu kukazia hoja yakoHii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Hainaga cha ubachelor wala u married hiyo kitu!Mimi ambaye ni bachelor huwa nafurahi sana kuwaona maeneo ya barabara ya Mbuyuni mpaka Africana pale,wapo weupe,wapo weusi,wenye chura na wasio na chura!
Raha sana,yaani we acha tu!!!
Ikifika mida ya jioni jioni kama saa kumi vile,mdogo mdogo naanza kusogea ili kujionea mavitu ya bure bure! 🙂
😀 😀 😀 😀
Hizi joggingjogging huko wanalambana +kulana kweri kweri
Kama dem mke wako yuko lazima aliwe sanaa
Ova
Tatizo wanayatikisa Sana mwanaume matamanio
Mida gani ufanya mazoeziKuna mmoja anafanyia barabara ya changanyiken nyuma ya chuo kikuu aisee nilikua kwenye bodaboda tukapishana nae duh hilo shepu alafu ni mrembo pia niligeuza shingo kama dkk tatu hivi hadi tukataka kuangukia mtaroni
Kwa nini sasa unaendaga kuwangalia badal aya kutulia home na demu wakooHii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)