Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Hahahaaa wewe na photoshop zako hizo za wapi maana pm nnayo mimi we utafoji tu maandishi kwenye psdTulia.
Mie nakuja na yake nae aje na yangu.
Mie naweka ushahidi 100% kama ni malaya na anafata wanawake Pm wakati uwezo hana.
Screenshot mbona napewa tu.
Mie kama Mange...taarifa inanijia nikiwa sebuleni kwangu
Tulia ulambe dawaHahahaaa wewe na photoshop zako hizo za wapi maana pm nnayo mimi we utafoji tu maandishi kwenye psd
All you can do is Edit, whatever you do itakufurahisha wewe na nafsi yako, as long as sijawahi kufanya hizo mambo am cool, it doesnt matter to me what you say or do [emoji16][emoji16][emoji16]Tulia ulambe dawa
Nataka nionyeshe mie na wewe nani anajiuza
Yah, still waiting [emoji848]Basi utulie upewe kazi. Kumbe ni pimp muda wote ulishindwa nini kusema unazunguka. Subiri Malaya unaowataka waje uwauze watakufuata inbox.
HahahahahhaAll you can do is Edit, whatever you do itakufurahisha wewe na nafsi yako, as long as sijawahi kufanya hizo mambo am cool, it doesnt matter to me what you say or do [emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe kaka unapenda Sana mabishano na wanawake. Leo Ndo nimekujua vizuri. Una maneno mabaya Sana na unapenda kuyatumia kwa wanawake tu sijui walikukosea nini. Nikwambie unachokifanya sio sifa. Unavyoita watu majina sio sifa. Kuwa Kama wanaume wenzio humu. Hata yule aliekua anaandika rubbish kwenye comments za watu hakua anatarget wanawake kama wewe. unakera na unakwaza. MTU hajaquote haina haja ya kumquote na maneno ya hovyo.
Sijawah kubishana na mwanamke PM, wala sitakuja kubishana pm, edit hata mi nazijua so najua kuzitengeneza sio kaziKwanini MTU anaepitiliza mpaka kwako usimface? Kwa maana MTU hata akindika huku anajiuza sioni ni mpaka UPI aliopitiliza hadi ukukere wewe mkuu. Hii tabia ya kitu afande Mzigua uende ukamtukane nacho Shunie sio kizuri. MTU akipitiliza kwako deal nae sio kuhusisha watu wengine wasiokuwepo. Nimeona screen shot juu mwanamke tena anabishana na wewe na nahisi ulimuita Malaya Kama kawaida yako. Hivi unajisikiaje yani
Brother tulia potezea tu. Haina haja ya maneno mengi.All you can do is Edit, whatever you do itakufurahisha wewe na nafsi yako, as long as sijawahi kufanya hizo mambo am cool, it doesnt matter to me what you say or do [emoji16][emoji16][emoji16]
Kumbe na wewe mhanga eeh. Tumepata mwalimu wa Nidhamu JF hatimaeni kweli 100% kuna mahali alinichomekea kitu hata sijamkosea….achana nae mwaya..wengine hawakufunzwa upendo nyumbani kwao au sijui ni mtoto wa mtaani mwe!
Sijihami hoochie, hizo zako edit hadi uridhike maana kihalisia hazipo, ila kwakuwa wewe ni hoochie na inakufanya ulale fresh usiku we do your best workHahahahahha
Halooooo mbona unajihami?
Nimfurahishe mtu for what, kwa kaffir kama wewe....big NO!!!!
Ushapewa yako makavu, huna jipya kaka shoga.Sijihami hoochie, hizo zako edit hadi uridhike maana kihalisia hazipo, ila kwakuwa wewe ni hoochie na inakufanya ulale fresh usiku we do your best work
Tatizo mmezidi kuwakashfu wanaume, dont act high and mighty, JF ni free stateni kweli 100% kuna mahali alinichomekea kitu hata sijamkosea….achana nae mwaya..wengine hawakufunzwa upendo nyumbani kwao au sijui ni mtoto wa mtaani mwe!
Mwalimu wa nidhamu atakuwa yeye?Kumbe na wewe mhanga eeh. Tumepata mwalimu wa Nidhamu JF hatimae
Mi nagonga lager tu hapa, its part of entertainment, mkilala mkiamka mtasahau yoteUshapewa yako makavu, huna jipya kaka shoga.
Huna jipya hata kidogo.
Maadam sijakuuzia wewe, basi kwangu ni raha tu.
Afu wewe naona una dalili za ushoga si bure.
Dume zima mpaka mida hii hujalala eti unabishana na watoto wa kike.
UNA MAPUNGUFU SHOGAAAAA
Tatizo mmezidi kuwakashfu wanaume, dont act high and mighty, JF ni free state
Ukiona hivo ujue ana chembechembe za udada duuuna ishu na wanawake kama unavyotaka kutunyoosha ,jinyooshe kwanza wewe,jiulize kwa nini uko peke yako na sio wanaume wenzako kujibishana na wadada humu...JIKAGUE kwanini wewe na huna support ya wanaume wenzio..?
Mwanaume mzima eti umekalisha govi lako unabishana na mwanamke, serious?Mi nagonga lager tu hapa, its part of entertainment, mkilala mkiamka mtasahau yote
Mchukueni mwenzenu mpalekeni jandoni akatahiriwe mara ya pili.Brother tulia potezea tu. Haina haja ya maneno mengi.
Amaaa. Kumbe wewe Ndo uko kwenye kampeni ya kukashifu kila mwanamke unaejisikia kumkashifu? Unalipa kisasi maana yake? Sasa mbona mambo ya kitoto hayo? Hao wanaokashifiwa hawana vidole vya kuandika? Halafu sisi hatuwaitagi majina ya ajabu mbona wewe kaka kiranja mkuu wa wanaume wanaokashifu wanawake unaita watu mpaka wanajiuza kisa kulipiza kisasi tu? Ndo maana nilikwambia unachukulia maisha serious. Siwez mwambia Hazard mbaya halafu wewe ukaenda lipiza kisasi kwa Rebeca kisa Mimi. Unafeli hapo. Fanya yako bwana huku kila MTU anajitegemea. Usitake kutukana watu kisa wamesemwa vibaya wanaume wenzio ambao wanaweza kujisemea. Mimi hata sikumbuki kukashifu MTU ila ulinijia na maneno mabaya hadi nikashangaa yametokea wapiTatizo mmezidi kuwakashfu wanaume, dont act high and mighty, JF ni free state