Asa mtu mko conversation ya 7 ila ni salamu tu, mambo, mzima, upo, nambie, shwari...yote ya nini.Kwa hiyo akiwa mchungu unajisemea moyoni...
Hili nalo nwandiko mwenyewe mbaya kama nini...linanitapisha
For what?Kwa uthibitisho zaidi
Dahhhhh.....Kuna ile mijamaa ya ku-screenshot.
Nashukuru Mungu...yalitaka kunitokea ila shetaki alipita kando.
Mwanaume umetunukiwa, unaona haitoshi bado unascreenshot maongezi.
Hahahaha dah tatizo wauza materials huwa hatuna hela.....sisi tunasubiri hisani tu. Twende pm !Tukamalizie ng'we pm.
Sema Pm kunakuwa kutamu kama jamaa unayechat nae anaingia kik ya kukupa pesa.
MuuzaMaterials twende babe wangu
Unawezasema kuhusu mpesa, tigo pesa au Lunch/dinner, viatu, mafuta.
Ukiona hayakufai unaongea hata Mv. Nyerere, Flyover, n.k.
Labda anaona aibu eti.Silaletewa malalamiko comrade, isipokua hata wewe ukifungua roho na ukachangamsha macho, ni rahisi sana kubaini haya niyanenayo hasa kwenye comments za wadada wengi wa humu jf.
Ebu rejea mtu anapo tafuta mchumba ama mahusiano mapya humu jf, kwanini wengi wanatumia ID mpya?
hapo kwenye "m" weka "wa" mkuuNgoja tuanze kuchimba mkuu mliosoma mnatuachia vumbii...
Kama ndo hivoHahahaha dah tatizo wauza materials huwa hatuna hela.....sisi tunasubiri hisani tu. Twende pm !
Asa mtu mko conversation ya 7 ila ni salamu tu, mambo, mzima, upo, nambie, shwari...yote ya nini.
Aende kwenye mada husika iliyomfanya anijie Pm
Umeona eeeDahhhhh.....
Pole sana mkuu, leo jf haifanani na imepoteza ladha yenye tulikua tukiipata mwaka mbili nyuma
Samahani mrembo.
Eeeh vipi mgogoro wa palestina na Israel hivi unajua ulipofikia?
Nakuja PM kwako leo. Ngoja nipitie cross cutting issues ili nikija tuwe na mambo ya kujadili
Kuna ile mijamaa ya ku-screenshot.
Nashukuru Mungu...yalitaka kunitokea ila shetaki alipita kando.
Mwanaume umetunukiwa, unaona haitoshi bado unascreenshot maongezi.
Basi aweke mada inayoendana na kichwa cha PmMada si salamu kujuliana hali.... ?
Eeenh anaomba picha akujue tu yaan yupo pm kwa ajili ya kuomba picha aone ulivyo na hizi sura za baba zetu akatutangaze
Dah....hamna shida. Huenda vitu vizuri ni kwa ajili ya wengine tu, sisi havituhusu. Maisha haya....dah!Kama ndo hivo
Nenda alone