Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Hadi amekuita shoga ni kaona sifa au tabia za ushoga ktk uandishi wako... Na kama ni kweli lazma ucharuke!
Hapana. Watu wanaitaga watu majina tu wakijisikia. Mi sikujui ila naweza nikakuita shoga na majina yote mabaya ila nakua nimejisikia kukuita tu hivyo ili nikudhalilishe. Utapinga ila kuna watu wanaenjoy Sana kudhalilisha wenzao. Yani bila sababu atakuandikia tu akuonyeshe wewe ni mbaya mchafu na usiestahili.
 
Hamna kitu humo, mbwembwe tu, hela ya lunch inakumezesha maneno yooote hayo na mzigo tunaslide inward, act like a hoochie, talk like a hoochie, damn straight you a hoochie..
Eti ya lunch.
Sikujui wala hunijui.
Hiyo pesa unipe nimekuomba.

Wewe ndo umeandika anaetaka pesa utafungua Id mpya.
Hahahahaha
Haloooooooo
Kwa pesa gani babu weeeeee
Mxiyuiiiii!!!!!

We una pesa au vichenchi?
Na wenye pesa wasemeje?
Hebu kung'uta pummbu zako mbele yangu ukalale.
Usinijazie nzi, aio msimu wa maembe huu
 
Halafu hii tabia yako ya kuattack wanawake naona unaipenda Sana kaka angu. Unapenda kuchukulia serious kila anachoandika MTU huku. Hata Mimi ulishaniattack. Tuheshimiane basi.
Unajisikia raha gani kumsema vibaya mwingine? Kisa sio Dada ako au ndugu yako wa kike? Mbona sisi tunawaheshimu huku? Hatuwezi anza tu kumpa MTU tuhuma kisa anachoandika.
Na nyie tuheshimuni hata kidogo hamtabanduka popote. Hii sehemu ya wastaarabu tuishi Kama tuliostaarabika sio Kama mateja mtaani wanaoshika watu makalio kisa MTU kavaa NGUO fupi. We ukiona MTU kaandika kitu hajakutukana wala hajakutaja jina sioni sababu ya kuanza kumuita majina. Watu wanafurahisha genge maisha yaende. Tusinyimane raha jamani. Mnataka tuwe tunaandika mistari ya bible chit chat Kama vitu vidogo Kama hivi mnaanza it's wengine Malaya kweli?
Kwani mkuu mnavyoandika hizo comment zenu huwa mnazisoma kabla hamjasend? Maana nyie ndo wepesi wa kututupia lawama na kusema wanaume wa JF wanaishi hivi na vile ila mkiitwa majina yenu mbalimbali mnasema tunawaattack si msome comment zenu kwanza muone mnaandika nini afu mmejibiwa vipi!
 
Wanawake hawaelewagi, huwa hawakumbuki herufi wanayoitoa ikishapita herufi ya pili, anakumbuka fullstop au enter au send ya mwisho
Kwahiyo MTU akiandika anavyoandika humu anakua amekukera wapi mpaka uanze kumuita majina mabaya? Yani sielewi MTU hajakuquote kaandika zake jukwaa lisonge unapoanza kumuattack na maneno ya shombo. Au mnataka JF wanaume peke enu Ndo Muwe mnachat mkianza kusema wanawake wa JF wabaya? Maana sisi tukiandika neno lolote mnaanza kutuita majina Kama yote vile. TUHESHIMIANE JAMANi.
MTU hajakukosea huna haja ya kumkera. Ubinadamu tu. Ungeambiwa wewe hayo maneno ungefurahi?
 
Mateso mwayataka nyie wenyewe.
Mje Pm mkiwa na sababu maalum.
Hatutaki salamu zenu zilizo ndefu kama mkojo wa mlevi.

Mwanaume rijali anakuja anakuuliza nataka nikutumie pesa ya lunch maana naona unachat sana jukwaani..nenda kale.
Mtu kama huyo hata ukimpa namba angalau wafarijika.
Asa wale wengine sasa.....loooollll!!!!!
Salamu kama tuko nursery school
Ishu imeanzia hapo [emoji115], na mimi nikaishia kusema hamna lolote ni HOOKER tuu, now you are crying cynically, so mlitegemea jibu gani kwa mfano labda, a praise?
 
Kwahiyo MTU akiandika anavyoandika humu anakua amekukera wapi mpaka uanze kumuita majina mabaya? Yani sielewi MTU hajakuquote kaandika zake jukwaa lisonge unapoanza kumuattack na maneno ya shombo. Au mnataka JF wanaume peke enu Ndo Muwe mnachat mkianza kusema wanawake wa JF wabaya? Maana sisi tukiandika neno lolote mnaanza kutuita majina Kama yote vile. TUHESHIMIANE JAMANi.
MTU hajakukosea huna haja ya kumkera. Ubinadamu tu. Ungeambiwa wewe hayo maneno ungefurahi?
Hilo shoga tu...linatafuta bwana usiku huu
 
Eti ya lunch.
Sikujui wala hunijui.
Hiyo pesa unipe nimekuomba.

Wewe ndo umeandika anaetaka pesa utafungua Id mpya.
Hahahahaha
Haloooooooo
Kwa pesa gani babu weeeeee
Mxiyuiiiii!!!!!

We una pesa au vichenchi?
Na wenye pesa wasemeje?
Hebu kung'uta pummbu zako mbele yangu ukalale.
Usinijazie nzi, aio msimu wa maembe huu
Potezea Madame B , wewe ndiye unajijua kuliko mtu yeyote...
 
Ishu imeanzia hapo [emoji115], na mimi nikaishia kusema hamna lolote ni HOOKER tuu, now you are crying cynically, so mlitegemea jibu gani kwa mfano labda, a praise?
Mkuu nnadhani sababu ya kutoelewana umeiweka wazi, tusiende mbali kwa imaginations.Tuendelee peacefully wakuu, hakuna haja ya kuendelea kuvutana...
 
Kwahiyo MTU akiandika anavyoandika humu anakua amekukera wapi mpaka uanze kumuita majina mabaya? Yani sielewi MTU hajakuquote kaandika zake jukwaa lisonge unapoanza kumuattack na maneno ya shombo. Au mnataka JF wanaume peke enu Ndo Muwe mnachat mkianza kusema wanawake wa JF wabaya? Maana sisi tukiandika neno lolote mnaanza kutuita majina Kama yote vile. TUHESHIMIANE JAMANi.
MTU hajakukosea huna haja ya kumkera. Ubinadamu tu. Ungeambiwa wewe hayo maneno ungefurahi?
Kuquote ni kureply a comment, unapoandika comment tegemea utaquotiwa tu miss, its in the application parameters.
 
Kwani mkuu mnavyoandika hizo comment zenu huwa mnazisoma kabla hamjasend? Maana nyie ndo wepesi wa kututupia lawama na kusema wanaume wa JF wanaishi hivi na vile ila mkiitwa majina yenu mbalimbali mnasema tunawaattack si msome comment zenu kwanza muone mnaandika nini afu mmejibiwa vipi!
Tunaandika kwa umoja hatuendi kumuattack MTU Kama vile kuna ugomvi. Unaweza ukasema wanawake wa JF wezi ila itajulikana sio wote. Lakini unaponifuata Mimi direct na ukaniita mwizi unakua umenijengea picha gani? Na sijawahi kukuibia kisa tu nimeongelea wizi. Mi sidhani Kama huku kuna wahuni wanaosubiri MTU aandike kitu waanze kukibebea bango. Muache MTU aandike au hata afanye. Hamna MTU mwenye usafi wa kuanzia kumuita mwingine majina. Sio poa yani. Kama Una utu utaelewa unachokifanya sio kizuri. Ila Kama unapenda kukera wengine ni sawa maana Ndo kinachokufurahisha
 
Ishu imeanzia hapo [emoji115], na mimi nikaishia kusema hamna lolote ni HOOKER tuu, now you are crying cynically, so mlitegemea jibu gani kwa mfano labda, a praise?
Nami nakuuliza, ukichukulia serious yote yanayosemwa humu Jf tangu inaanza mpaka leo, tungebaki member wangapi humu?
Hizo ulizoleta ni Shobo dundo.
Kushoboka shoboka bila kuwa na ushahidi ndiko kumekuponza.

Kwanza tangu niingie humu Jf 2012 I'd yako ndo kwanza naiona leo.
Afu unakuja kuniattack bila kuwa na uhakika.

MTAOLEWA
 
Mapovu mengi leo, au PM haijaleta kodi km siku zingine, labda mwisho wa mwezi
Kumbe we ndo shoga maana nimejiongelesha tu.
Hheheheheheheh
Watu weweeeeeeee

Wema Sepetu njoo chukua shoga yako mwingine huku
 
Kuquote ni kureply a comment, unapoandika comment tegemea utaquotiwa tu miss, its in the application parameters.
Basi ukuquote kwa adabu Kama unamquote MTU mzima mwenzio. Usiuote MTU Kama unataka ugombane nae. Kuwa tu na ubinadamu. Msipende kukera wenzenu kisa moyo yenu inawatuma hivyo. Haya ni maisha huwezi jua kesho unaemtukana atakufaa kwenye nini. Tusijisahau Sana kisa tuko kwenye simu zetu basi tuone wengine hawana thamani kisa wameandika hivi.
 
Nami nakuuliza, ukichukulia serious yote yanayosemwa humu Jf tangu inaanza mpaka leo, tungebaki member wangapi humu?
Hizo ulizoleta ni Shobo dundo.
Kushoboka shoboka bila kuwa na ushahidi ndiko kumekuponza.

Kwanza tangu niingie humu Jf 2012 I'd yako ndo kwanza naiona leo.
Afu unakuja kuniattack bila kuwa na uhakika.

MTAOLEWA
It doesnt matter, we uza tu mambo yako hamna wa kukudai kodi, its urs anyway
 
It doesnt matter, we uza tu mambo yako hamna wa kukudai kodi, its urs anyway
Okay...sasa kama nauza wewe unakereka nini?
Unataka au unaomba nyongeza?
Mtakuja kutiwa madole ya matako bila sababu **** wewe.

Lami na vumbi vyote vyangu, eheewe....niambie.
Nimepora sehemu au unanidai niambie nikulipe....
Mxiyuuuuuuuuuu!!!!!!
Chefuuuuuuuuu
20181001_044528.jpg
 
Back
Top Bottom