citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Tuwaache waparurane watatibiwa MnyamalaMnyukano wa kugombania madaraka ndani ya Chadema sasa umethibitika. Tayari Hilda Newton na Devotha Minja wameanza kukinyemelea kiti cha Halima Mdee Bawacha. Wanafanya kila mbinu kuhakikisha kwamba Mdee na wenzake hawarudi. Wanatumia nguvu kubwa kupamba na kundi la kina Mdee kuliko nguvu ambayo imewahi kutumika kupambana na chama tawala cha CCM...
Mzee Halima unahangaika sanaMnyukano wa kugombania madaraka ndani ya Chadema sasa umethibitika. Tayari Hilda Newton na Devotha Minja wameanza kukinyemelea kiti cha Halima Mdee Bawacha. Wanafanya kila mbinu kuhakikisha kwamba Mdee na wenzake hawarudi. Wanatumia nguvu kubwa kupamba na kundi la kina Mdee kuliko nguvu ambayo imewahi kutumika kupambana na chama tawala cha CCM...
Halima anazeekaje wakati bado bikira?
ZiliibiwaJomon! Huyo dada na guu lote hilo alikosaje ubunge? Ina maana wapiga kura hawakuliona?
Mama Amon tenaaaa.Haya mambo yatapita tu kama yalivyopita mengine.
Namfuatilia sana Hilda hasa Twitter na naona bado kidogo anahitaji kuwa focused na kuepuka mipasho.Uandishi wake wakati mwingine unanitia woga mpaka nahisi asije akawa afisa naniii.
Kwa Devotha Minja amekipigania sana chama chake lakini kama ningekuwa naingia kwenye vikao vyao kuna mama wa Serengeti naamini anaweza kuwaunganisha zaidi kuliko Minja (kelele za CDM na Ukaskazini zimekuwa nyingi na wakati mwingine tusizipuuze)
Hapo kweney mstari.... Ushahidi wowote tafadhali.
Atakuwa na hulka ya gerontophilia--the tendency of erotic love for elders.Kwanini ametafuta lizee na vijana tupo?
Acha kumponda Hilda huyo dada yupo juu.Afadhali ya Covid19.
Lakini hao kina Hilda na Devotha ambao ni covid19+ ni hatari zaidi
Baraza la mawaziri la Magufuli kuna waislamu watatu tu na hakuna Mzanzibar.Hili la ukaskazini ni hoja yenye angalizo muhimu.
Ukila pesa ya ccm ni lazima ufuate maelekezo unayopewa otherwise utaumia.Kwa hiyo sasa nyinyi ni nini hasa mnachotaka kutoka CDM,
-ubunge? (tayari mnao na mmeahidiwa kulindwa)
-Uanachama?, upi wakati mmekiuka kwa makusudi misimamo na falsafa za chama?
Hivi Mdee et al hawakulalamika kuibiwa kura na kukiri hadharani kwamba ule uchaguzi ni batili na haramu?
Hapo kwenye underline.... Makosa yale yale, chini ya vifungu vile vile, maana yake majibu yanapaswa kuwa ni yale yale, kutokana na mshauri yule yule. Kuna tatizo wapi? Hilda Newton anachofanya ni kuiambia dunia kwamba ana access na siri za chama, na kwamba hajali kuzivujisha mitandaoni. Huoni tatizo hapo?
Ndio maana mimi ninapendekeza hili jambo limalizwe mapema, watu wamefukuzwa imeeleweka.Ukila pesa ya ccm ni lazima ufuate maelekezo unayopewa otherwise utaumia...
Katika suala la sasa, sioni compliance failure unayojaribu kuiongelea kwa upande wa kina Mdee inaanzia kifungu gani cha kikanuni.Wote mnafundishwa na mwalimu mmoja(Mshauri) lakini kwenye kujibu swali kila mtu anatoa kulingana alivyoelewa majibu hayafanani hata iweje na ndio maana Balaza la mitihani wanaweza kugundua kina nani walioiba mitihani kwa sababu ya majibu kufanana!! Hata mshauri awe mmoja kujibu tuhuma majibu hayawezi kufanana mastari kwa mstari hadi nukta.
Ndio maana mimi ninapendekeza hili jambo limalizwe mapema, watu wamefukuzwa imeeleweka.
Haya mambo ya kusubiri maamuzi ya kamati ya rufaa kwa muda zaidi, ni kuendelea kuwapa uwanja kina Mama Amon kuvuruga chama kama wanavyoelekezwa na dola.
Umeyaona machozi yangu au unaota ndoto za mchana?Acha kulilia we limama fursa zipo tele huko ccm mnasubiri nini?
Happy new year Amon's mom!Umeyaona machozi yangu au unaota ndoto za mchana?
Nani kamtaja Mdee hapa? Laana ya usaliti imeshakutoa ufahamu.Mdee anazeekaje wakati bado bikira?
Kwenda kule!
You toooooo.........Happy new year Amon's mom!
Unamwongelea Hilda huyu hapa?Acha kumponda Hilda huyo dada yupo juu.
Na ndie anaefaa kuwa Mwenyekiti BAWACHA