yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
- Thread starter
- #41
Mimi nilianza kufanya biashara sehemu moja sinza, nilikod frem elf 80. Mwisho nilishindwa kulipa kodi maana mauzo yalikuwa madogo sana. Ndo nikaamua kutafta sehemu yenye watu wengi.Hatutofautiani sana mimi frame niliopo zipo tatu ya kwanza duka la dawa ya pili duka la mabitaji ya nyumbani na latatu lakwangu mahitaji ya nyumbani bado eneo hili hili lina frame zakutosha yani mzunguko ni mdogo hapa inahitajika ubunifu wa hali ya juu nategemea kupitia huu uzi kuna vitu na ubunifu naeza pata, aksante.
Hapo ulipo kama hakuna genge unaeza ukadizaini kibanda hapo nje ukaeka na bidhaa za gengeni kama unaweza kuzipata kwa urahisi. Hii itawavutia wateja maana mtu atakuja kwako kununua mchele akijua kuwa na nyanya atapata hapo hapo.