Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia homa kubwa ambayo ilitaka dunia kujifungia na kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2?maiti zimeonyeshwa chache na hata zengine zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa..na hata upande wa GAZA western media are top reporter kweny hii vita naumba nijibiwe swali dogo tu"ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi(kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?UONGO MWINGI WASEME TU,WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Umeandika utumbo
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia homa kubwa ambayo ilitaka dunia kujifungia na kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2?maiti zimeonyeshwa chache na hata zengine zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa..na hata upande wa GAZA western media are top reporter kweny hii vita naumba nijibiwe swali dogo tu"ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi(kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?UONGO MWINGI WASEME TU,WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Ukweli ni upi?
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia homa kubwa ambayo ilitaka dunia kujifungia na kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2?maiti zimeonyeshwa chache na hata zengine zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa..na hata upande wa GAZA western media are top reporter kweny hii vita naumba nijibiwe swali dogo tu"ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi(kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?UONGO MWINGI WASEME TU,WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
ungesema au kuweka wazi huo ukweli wa idadi ya vivyo ingesaidia sana kuweka kumbukumbu sawa.
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia homa kubwa ambayo ilitaka dunia kujifungia na kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Maiti zimeonyeshwa chache na hata zengine zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na hata upande wa GAZA western media are top reporter kweny hii vita naumba nijibiwe swali dogo tu"ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi(kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Sijaelewa, kwani wewe umeelewa ulicho post?
 
Kuna vita ya propaganda, hii ni moja ya vita ya kusambaza habari za uongo ili tu kugain kitu flani, Vita hii wapalestina wanaijua vizuri, Jiulize tu ni nani anahesabu idadi ya watu waliokufa? Na anatangaza kwa malengo gani? Sisemi watu hawafi, lakini hiyo idadi ni ya uongo.
 
naumba nijibiwe swali dogo tu"ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi(kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?
Wewe unaona wana akili?
Huwa hawajali matokeo
 
Back
Top Bottom