Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

Hii vita haikupangwa sema hamasi kaingia kwenye mtego na kajaa vizuri ndo maana kabla ya uvamizi kwenye tamasha la music kule jangwani Misri alimwonya israel kuhusu terror mobilization iliyokuwa inafanywa na viongozi wa hamasi israel akapotezea.mytake israel hakutegemea kama hamas attack ingekua kubwa hv

NB:Anayeamini hii ni propaganda ajaribu kuangalia live feed aljazeera ataelewa this war
 
FaizaFoxy, poleni sana. naona mmepewa masaa 24 muondoke ama la mbaki muwe chakula cha mamba. kwani hamas wamejificha wapi mbona siwaoni?
Hilo lisikipe wasiwasi kabisa, watu wameshijitolea mhanga siku nyingi sana.

Mimi nawashangaa nyinyi mnaohangaika. watu tunasherehekea leo kwa bmabiriani, wewe unasononeka.

Unafahamu maana ya :shaheed" katika Uislam? Kama haufahamu sitoweza kukusaidia zaidi kwani huwezi kufikiri kama tunavyofikiri sisi.
 
Hilo lisikipe wasiwasi kabisa, watu wameshijitolea mhanga siku nyingi sana.

Mimi nawashangaa nyinyi mnaohangaika. watu tunasherehekea leo kwa bmabiriani, wewe unasononeka.

Unafahamu maana ya :shaheed" katika Uislam? Kama haufahamu sitoweza kukusaidia zaidi kwani huwezi kufikiri kama tunavyofikiri sisi.

Shaheed huwa ina motive gani behind maana that beliave ni ngumu kwa mtu wa kawaida in good conscious kuamua
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Mwamba ushalewa chang'aa
 
Usingeenda mbali kujenga hoja yako. ngeingia kwenye point ungefahamika.

Umetueleza tatizo tumekuelewa, lakini hujatupa ufumbuzi wa tatizo unaoufikiria wewe kuwa ni muafaka.
point yangu kuna jambo linapangwa 1.kumekuwepo mfululuzo wa vita mfn wa RUSSIA-UKRAIN na hii GAZA WAR tofaut na kipind kile ambpo ukisikia vita ujue NATO kavamia magaidii wa libya,syria au iraq(akili inaandaliwa) 2,huenda wanataka kutwaa GAZA kwa kinguvu lkn lengo la tatu idadi inayotangazwa ni totally wrong.
 
Hii vita haikupangwa sema hamasi kaingia kwenye mtego na kajaa vizuri ndo maana kabla ya uvamizi kwenye tamasha la music kule jangwani Misri alimwonya israel kuhusu terror mobilization iliyokuwa inafanywa na viongozi wa hamasi israel akapotezea.mytake israel hakutegemea kama hamas attack ingekua kubwa hv

NB:Anayeamini hii ni propaganda ajaribu kuangalia live feed aljazeera ataelewa this war
Israel walijua Sema plan Yao ilikuwa ni takeover GAZA YOTE so ilikuwa lazima watafute reasons ili watu wasipige kelele so ndo maana wakaacha Hamas washambulie. Na ndio maana now wanaongeza propaganda kuwa wamechinja watoto[emoji23][emoji23]just kujiongezea legitimacy ya kuvamia. Ndo maana jana wamewaambia Un kuwa watu milioni 1 waondoke Gaza. Coz that was the plan all along.
Maana wanasifiwa na intelligence ya hali ya juu na kuwa Gaza iko 24/7 under surveillance kwa Anga Lao lote. So how come watu wanashuka na parachut kwenye Anga lako usione na wewe ndio unasifika na ujasusi na udukuzi etc.
 
Hilo lisikipe wasiwasi kabisa, watu wameshijitolea mhanga siku nyingi sana.

Mimi nawashangaa nyinyi mnaohangaika. watu tunasherehekea leo kwa bmabiriani, wewe unasononeka.

Unafahamu maana ya :shaheed" katika Uislam? Kama haufahamu sitoweza kukusaidia zaidi kwani huwezi kufikiri kama tunavyofikiri sisi.
ohh pole. najua haujui unachokiamini kama kinakupeleka motoni moja kwa moja. though tukiweka utani pembeni, binafsi nawaonea huruma sana watoto wa kipalestina na wanawake, wengi wamejaa vumbi la mabom, majerana, wengi wamepoteza familia nzima amebaki yeye tu na hajui kwa kwenda.

though kwa upande mwingine nimefurahi HAMAS hadi sasa wamefikia 2,000 na uvaa makobaz wao ule kumbe walikuwa hawana lolote.

kifuatacho sasaivi faiza, ni kuvunja al aqsa, kwasababu pale palikuwa na hekalu la suleiman, ili wajenge sinagogi la kiyahudi. sijui jumuiya ya kiislam itafanyaje kwenye hilo. leo nimeona wanaoingia al aqsa wanaruhusiwa na israel na wameruhusiwa watoto tu watu wazima marufuku.
 
Israel walijua Sema plan Yao ilikuwa ni takeover GAZA YOTE so ilikuwa lazima watafute reasons ili watu wasipige kelele so ndo maana wakaacha Hamas washambulie. Na ndio maana now wanaongeza propaganda kuwa wamechinja watoto[emoji23][emoji23]just kujiongezea legitimacy ya kuvamia. Ndo maana jana wamewaambia Un kuwa watu milioni 1 waondoke Gaza. Coz that was the plan all along.
Maana wanasifiwa na intelligence ya hali ya juu na kuwa Gaza iko 24/7 under surveillance kwa Anga Lao lote. So how come watu wanashuka na parachut kwenye Anga lako usione na wewe ndio unasifika na ujasusi na udukuzi etc.

Naunga mkono na mguu hoja
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Hujatumia ubongo kuandika
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Aiseee…. 😂😂😂😂😂
 
Hilo lisikipe wasiwasi kabisa, watu wameshijitolea mhanga siku nyingi sana.

Mimi nawashangaa nyinyi mnaohangaika. watu tunasherehekea leo kwa bmabiriani, wewe unasononeka.

Unafahamu maana ya :shaheed" katika Uislam? Kama haufahamu sitoweza kukusaidia zaidi kwani huwezi kufikiri kama tunavyofikiri sisi.
Kuna jet ya kampuni inaelekea Gaza kesho, nikupe connection?
 
Israel walijua Sema plan Yao ilikuwa ni takeover GAZA YOTE so ilikuwa lazima watafute reasons ili watu wasipige kelele so ndo maana wakaacha Hamas washambulie. Na ndio maana now wanaongeza propaganda kuwa wamechinja watoto[emoji23][emoji23]just kujiongezea legitimacy ya kuvamia. Ndo maana jana wamewaambia Un kuwa watu milioni 1 waondoke Gaza. Coz that was the plan all along.
Maana wanasifiwa na intelligence ya hali ya juu na kuwa Gaza iko 24/7 under surveillance kwa Anga Lao lote. So how come watu wanashuka na parachut kwenye Anga lako usione na wewe ndio unasifika na ujasusi na udukuzi etc.
Gaza wako milioni 2 Waondondoke waende wapi?
 
Hujatumia ubongo kuandika
recent generation has collapse coz we live as if robbot some niggers press buttan the rest dance..kizazi cha analogia kimeandaliwa kupokea na syo kuchambua..natumai media miaka ya baadae zitakuwa muhmil wa 4 wa nch
 
Kwamba idadi ya vifo vya Israel ni kubwa kuliko ya Palestine .. 😁
may be idad ya israel ni ndogo kupitz ila wao na media zao wamelikuza jambo..ili kutengez sympath na attention.
 
mwaka 1914-50 vita,1960-80 decolonilization,1980-90 reform,2000-10 terrorist agenda,2011-30 war,media,desease(mass killing nd threats) kuna jambo linapangwa..mmarekan alitaka kuanza vita ya kiuchum na mchina wakaamue waiache kwanz ila wakaleta propaganda y ugonjwa.
AAcha assumption
 
ohh pole. najua haujui unachokiamini kama kinakupeleka motoni moja kwa moja. though tukiweka utani pembeni, binafsi nawaonea huruma sana watoto wa kipalestina na wanawake, wengi wamejaa vumbi la mabom, majerana, wengi wamepoteza familia nzima amebaki yeye tu na hajui kwa kwenda.

though kwa upande mwingine nimefurahi HAMAS hadi sasa wamefikia 2,000 na uvaa makobaz wao ule kumbe walikuwa hawana lolote.

kifuatacho sasaivi faiza, ni kuvunja al aqsa, kwasababu pale palikuwa na hekalu la suleiman, ili wajenge sinagogi la kiyahudi. sijui jumuiya ya kiislam itafanyaje kwenye hilo. leo nimeona wanaoingia al aqsa wanaruhusiwa na israel na wameruhusiwa watoto tu watu wazima marufuku.
Kwa kukusaidia tu, Al Aqsa haiko Gaza , iko Jerusalem, na waislam wanaswali huku wanalindwa na askari wa Israel. kaa ukijua hilo
 
Back
Top Bottom