Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

Kuna vita ya propaganda, hii ni moja ya vita ya kusambaza habari za uongo ili tu kugain kitu flani, Vita hii wapalestina wanaijua vizuri, Jiulize tu ni nani anahesabu idadi ya watu waliokufa? Na anatangaza kwa malengo gani? Sisemi watu hawafi, lakini hiyo idadi ni ya uongo.
Ipi ni idadi ya ukweli?
Palestina wanatangaza watu wake waliouwawa, Israel inatangaza watu wake waliowawa, na mashirika ya misaada wanatangaza idadi ya pande zote.

Sasa muongo ni nani?
 
Kuna vita ya propaganda, hii ni moja ya vita ya kusambaza habari za uongo ili tu kugain kitu flani, Vita hii wapalestina wanaijua vizuri, Jiulize tu ni nani anahesabu idadi ya watu waliokufa? Na anatangaza kwa malengo gani? Sisemi watu hawafi, lakini hiyo idadi ni ya uongo.
mwaka 1914-50 vita,1960-80 decolonilization,1980-90 reform,2000-10 terrorist agenda,2011-30 war,media,desease(mass killing nd threats) kuna jambo linapangwa..mmarekan alitaka kuanza vita ya kiuchum na mchina wakaamue waiache kwanz ila wakaleta propaganda y ugonjwa.
 
Ipi ni idadi ya ukweli?
Palestina wanatangaza watu wake waliouwawa, Israel inatangaza watu wake waliowawa, na mashirika ya misaada wanatangaza idadi ya pande zote.

Sasa muongo ni nani?
vita vinaendelea wewe unatoa idadi y vifo vya taifa(kundi) lako huoni kuwa ni udhaifu huo?nakwambia tena hkna ukweli.
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
ninaamini wapalestina wamekufa zaidi ya hao walioorodheshwa.
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Aliyeelewa anifafanulie
 
Wakati bibi lenu (bibi la waislamu) humu jukwaani linajitapa huku na huko jinsi Hamas "inawanyoosha" Israel, wewe mvaa gauni unakuja na kusema ni propaganda na Israel inampango wa kuitwaa Gaza.

bikra 72 takbiiiiir !!
Kinachofanywa ni propaganda natumai miaka 3 baadae ukwel utadhihirika" RAMADHANI MLA VICHWA VYA WATU" ndiyo stori hzo na huenda israel anatumia mbinu kutwaa GAZA yote.bh
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Watu wa Gaza wakimbie waende wapi?

wanatokaje?
 
Watu wa Gaza wakimbie waende wapi?

wanatokaje?
kule chini Misri amefungua mlango wa kuingizia chakula tu ila hakuna pa kutokea. ila upande wa kusini mwa gaza ambako israel amesema waelekee, wanapakana na baba zao misri, wakimbilie misri tu au la wabake hapohapo wawe chakula cha mamba.
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Hii mihemko na ushabiki wa kidini ndio unakufanya ukurupuke uandike nini sasa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.

Propaganda ni nyingi mno,ila hamas hawata rudia tena huo upuuzi,magaidi wanadhani kutumia ugaidi ndio thawabu.
 
Kinachofanywa ni propaganda natumai miaka 3 baadae ukwel utadhihirika" RAMADHANI MLA VICHWA VYA WATU" ndiyo stori hzo na huenda israel anatumia mbinu kutwaa GAZA yote.

Hilo ndio lengo ila umechelewa sana kulifahamu,wakimalizana na gaza ni westbank waarabu lazima wateme bungo
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Mijengo inashiahwa huko balaa
 
Kinachofanywa ni propaganda natumai miaka 3 baadae ukwel utadhihirika" RAMADHANI MLA VICHWA VYA WATU" ndiyo stori hzo na huenda israel anatumia mbinu kutwaa GAZA yote.

Vita imepangwa ili kuitwaa Gaza...bila shaka hii ndio mantiki ya uzi wako
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.

Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Usingeenda mbali kujenga hoja yako. Ungeingia kwenye point ungefahamika tu.

Umetueleza tatizo tumekuelewa, lakini hujatupa ufumbuzi wa tatizo unaoufikiria wewe kuwa ni muafaka.
 
Screenshot_20231013_131033_Chrome.jpg
 
Usingeenda mbali kujenga hoja yako. ngeingia kwenye point ungefahamika.

Umetueleza tatizo tumekuelewa, lakini hujatupa ufumbuzi wa tatizo unaoufikiria wewe kuwa ni muafaka.
FaizaFoxy, poleni sana. naona mmepewa masaa 24 muondoke ama la mbaki muwe chakula cha mamba. kwani hamas wamejificha wapi mbona siwaoni?
 
Back
Top Bottom