Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

Kwa kukusaidia tu, Al Aqsa haiko Gaza , iko Jerusalem, na waislam wanaswali huku wanalindwa na askari wa Israel. kaa ukijua hilo
nani kasema al aqsa ipo gaza? ipo east jerusalem. and every soon west Jerusalem inayotawaliwa na wayahudi itaungana na kuwa mji wa mtu mmoja na east Jerusalem inayotawaliwa na wapalestina, Mungu alishakataza kugawanya mji wa Yerusalem.
 
mwaka 1914-50 vita,1960-80 decolonilization,1980-90 reform,2000-10 terrorist agenda,2011-30 war,media,desease(mass killing nd threats) kuna jambo linapangwa..mmarekan alitaka kuanza vita ya kiuchum na mchina wakaamue waiache kwanz ila wakaleta propaganda y ugonjwa.
Hakika
 
Kwa hiyo na Balozi wa Palestina nchini Tz naye anatumia takwimu za vyombo vya Magharibi kulialia?

Tupe wewe uliyeko Gaza idadi sahihi.
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.

Hata Hamas kuvamia Israel ni uongo?.
 
Kuna vita ya propaganda, hii ni moja ya vita ya kusambaza habari za uongo ili tu kugain kitu flani, Vita hii wapalestina wanaijua vizuri, Jiulize tu ni nani anahesabu idadi ya watu waliokufa? Na anatangaza kwa malengo gani? Sisemi watu hawafi, lakini hiyo idadi ni ya uongo.
Kuna wakati tunakuwa wajinga sana.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.

Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?

UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Shetani Yuko wapi? Mbona hatumwoni
 
Back
Top Bottom