Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

Kwa kukusaidia tu, Al Aqsa haiko Gaza , iko Jerusalem, na waislam wanaswali huku wanalindwa na askari wa Israel. kaa ukijua hilo
nani kasema al aqsa ipo gaza? ipo east jerusalem. and every soon west Jerusalem inayotawaliwa na wayahudi itaungana na kuwa mji wa mtu mmoja na east Jerusalem inayotawaliwa na wapalestina, Mungu alishakataza kugawanya mji wa Yerusalem.
 
Hakika
 
Kwa hiyo na Balozi wa Palestina nchini Tz naye anatumia takwimu za vyombo vya Magharibi kulialia?

Tupe wewe uliyeko Gaza idadi sahihi.
 

Hata Hamas kuvamia Israel ni uongo?.
 
Kuna wakati tunakuwa wajinga sana.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Shetani Yuko wapi? Mbona hatumwoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…