Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
nani kasema al aqsa ipo gaza? ipo east jerusalem. and every soon west Jerusalem inayotawaliwa na wayahudi itaungana na kuwa mji wa mtu mmoja na east Jerusalem inayotawaliwa na wapalestina, Mungu alishakataza kugawanya mji wa Yerusalem.Kwa kukusaidia tu, Al Aqsa haiko Gaza , iko Jerusalem, na waislam wanaswali huku wanalindwa na askari wa Israel. kaa ukijua hilo
Hakikamwaka 1914-50 vita,1960-80 decolonilization,1980-90 reform,2000-10 terrorist agenda,2011-30 war,media,desease(mass killing nd threats) kuna jambo linapangwa..mmarekan alitaka kuanza vita ya kiuchum na mchina wakaamue waiache kwanz ila wakaleta propaganda y ugonjwa.
mweny akili hawez kosa hch k2AAcha assumption
Huko wanajitosheleza kabisa tena.Kuna jet ya kampuni inaelekea Gaza kesho, nikupe connection?
Kwani tunachagua upande hapa?Huwa sikuelewi upo upande upi
Kwani tunachagua upande hapa?
Gaza ishaenda hiyo akili kubwa imetumikaKinachofanywa ni propaganda natumai miaka 3 baadae ukwel utadhihirika" RAMADHANI MLA VICHWA VYA WATU" ndiyo stori hzo na huenda israel anatumia mbinu kutwaa GAZA yote.
MuslimWewe ni imani ipi?
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.
Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?
UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Kuna wakati tunakuwa wajinga sana.Kuna vita ya propaganda, hii ni moja ya vita ya kusambaza habari za uongo ili tu kugain kitu flani, Vita hii wapalestina wanaijua vizuri, Jiulize tu ni nani anahesabu idadi ya watu waliokufa? Na anatangaza kwa malengo gani? Sisemi watu hawafi, lakini hiyo idadi ni ya uongo.
Pigeni nyeto sanaaa.Ushauri wako ni upi?
umepotea kwel kwel mzee..upo?Pigeni nyeto sanaaa.
Muslim
Shetani Yuko wapi? Mbona hatumwoniNakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo na haujaua!laa hasha ila its determined effects was totally wrongly.
Imagine Ugonjwa huu uliuwa nchi za ulaya 2? Nakumbuka wakati ule maiti chache zilizokuwazikionyeshwa zilijipindua wkt wakichukuliwa/recodiwa na stori ya vita hii ya GAZA haina mashiko zaidi ya uvumi wa vyombo vya habari (western media) are top reporter kweny hii vita naomba nijibiwe swali dogo tu ikiwa wewe upo GAZA na unajua jeshi (kikundi) lako ni dhaifu hivi upo uwezekano wa kuchokoza vita na watu wako ukawaambia wabaki au wao wenyew kutokimbia muda wote huo?
UONGO MWINGI WASEME TU, WANATAKA KUITAWALA DUNIA ILI KUFIKIA MWISHO KWA KUMPA TAWALA SHETANI AONGOZE CHINI YA DOLA MOJA HZO SABABU NYENGINE NI KAMA SWALA LA NYONGEZA.
Maiti zisijigeuzegeuze.Ziombe msaada iwapo zinahisi joto.Ushauri wako ni upi?
😍😍hii kali!Maiti zisijigeuzegeuze.Ziombe msaada iwapo zinahisi joto.