Kinachoendelea hapa Dar es salaam sio mgao wa maji, ni kwamba Dawasa imeshakufa

Kinachoendelea hapa Dar es salaam sio mgao wa maji, ni kwamba Dawasa imeshakufa

Maji ambayo dawasa wanayapeleka mbweni, masaki, ikulu, oysterbay nk wanayatoa wapi?
Kuna visima vya kimbiji na Mpera. Pia kuna bwawa la Kidunda. Sijui kama vipo vingine!. Na hizi mifumo zinajitegemea yaani havipo kwenye grid ya usambazaji wa maji kutoka mto ruvu
 
TT amuonya GP
Amesema hakuna atakayejali mchakato, ikiwa yeye GP ataendelea kupoteza mechi zake.
"Kwa uzoefu wangu wa Chelsea, PSG, Dortmund na Mainz ni kwamba inachotakiwa ni matokeo. Unaweza ukavumiliwa kupoteza mechi kwa muda mfupi lakini sio muda mrefu vinginevyo hakuna mtu anayeamini juu ya mchakato tena."
TT Alidai
Changamoto ya ushindani katika timu kubwa za EPL ndizo hizo alisosema TT. Naamini Chelsea ikifika kwenye nafasi ya 10, uvumilivu utamuishia Boehly na mara tutashuhudia kibarua cha GP kikiota ndago mchana kweupe

GP ashukuru Kombe la Dunia na ligi ikirudi aweke mkakati kabambe wa kuhakikisha Chelsea inashinda mechi zake na kurudi top 4 au hata nafasi ya 5 hapo anaweza kusamehewa aendelee kuijenge timu. Nje na hapo hakutakuwa na uvumilivu na mimi namuunga mkono TT 100%
1668228484985.png
 
DAWASA ni waongo sana. Ilala wanasema kuna maji, Sharrif Shamba wiki ya tatu hakuna maji, maeneo mengine hapa Ilala mpaka buguruni hakuna maji wiki ya pili. Jana namuona Waziri akipiga kelele kumbe hakuna kitu, Luhemeja jana nimemuona TBC akiongea uongo pia kuhusu mgao wa maji.

Sijui kwa nini tuna Viongozi waongo na wababaishaji sana kwa matendo na maneo, Aweso ni Muongo na Luhemeja naye ni Muongo sana, mtu mzima yule anakuwa Muongo!!
 
TT amuonya GP
Amesema hakuna atakayejali mchakato, ikiwa yeye GP ataendelea kupoteza mechi zake.
"Kwa uzoefu wangu wa Chelsea, PSG, Dortmund na Mainz ni kwamba inachotakiwa ni matokeo. Unaweza ukavumiliwa kupoteza mechi kwa muda mfupi lakini sio muda mrefu vinginevyo hakuna mtu anayeamini juu ya mchakato tena."
TT Alidai
Changamoto ya ushindani katika timu kubwa za EPL ndizo hizo alisosema TT. Naamini Chelsea ikifika kwenye nafasi ya 10, uvumilivu utamuishia Boehly na mara tutashuhudia kibarua cha GP kikiota ndago mchana kweupe

GP ashukuru Kombe la Dunia na ligi ikirudi aweke mkakati kabambe wa kuhakikisha Chelsea inashinda mechi zake na kurudi top 4 au hata nafasi ya 5 hapo anaweza kusamehewa aendelee kuijenge timu. Nje na hapo hakutakuwa na uvumilivu na mimi namuunga mkono TT 100%
View attachment 2414073
Naona Chelsea yako imekufa na wewe hadi umechanganyikiwa.😂
 
DAWASA ni waongo sana. Ilala wanasema kuna maji, Sharrif Shamba wiki ya tatu hakuna maji, maeneo mengine hapa Ilala mpaka buguruni hakuna maji wiki ya pili. Jana namuona Waziri akipiga kelele kumbe hakuna kitu, Luhemeja jana nimemuona TBC akiongea uongo pia kuhusu mgao wa maji.

Sijui kwa nini tuna Viongozi waongo na wababaishaji sana kwa matendo na maneo, Aweso ni Muongo na Luhemeja naye ni Muongo sana, mtu mzima yule anakuwa Muongo!!
Hii imekuwa nchi ya kusadikika, kila kitu anakula mfalme na wasaidizi wake huku wakiwadanganya raia kwa matone kadhaa.
 
Rais wenu amesema hapo Dar mnapata maji kwa zaidi ya 90% na wahudhuriaji wa shuhuli wakashangilia kweri-kweri.

Anyway CCM inaongoza ng’ombe.
 
Labda mito yote imekauka, hivi kweli kuna mto unapeleka maji baharini na watu wanateseka maji?
Majuzi nimeona wamufufua/kuzibua visima 160 hapo Dar ambavyo I think viliziba na kutelekezwa.. Kwa kweli nilibaki mdomo wazi, unachimba visima kwa fedha nyingi za Umma halafu unavitelekeza?? Waziri daily anaruka ruka kila mahala badala ya kubaki Wizarani akiimarisha taasisi zake na kufuatilia key issues za maji.
 
Laki na 20??? Hayo maji yana bluetooth??? Tabata wanatuletea kwa 20,000 liter 2000.
Hiyo ni sawa na ndoo ya lita 20 kwa sh 200.. Inawezekana kweli kwa hiki kipindi cha shida ya maji? Of course hiyo bei ya 120,000 kwa lita 2000 (ndoo 100) ni kubwa mnooo maana ni sawa na ndoo moja kwa 1200/=
 
Hiyo ni sawa na ndoo ya lita 20 kwa sh 200.. Inawezekana kweli kwa hiki kipindi cha shida ya maji? Of course hiyo bei ya 120,000 kwa lita 2000 (ndoo 100) ni kubwa mnooo maana ni sawa na ndoo moja kwa 1200/=
Kuna ndugu yangu wananunua maji ubungo ndoo kati ya tsh 1000-1500
 
Unadhani ni waziri ameshindwa kazi? NO !!

Ni mfumo mzima ! Ndio maana Tz sasa imekuwa ni "HAKUNA KANTRE.." Yaani:- hakuna maji, hakuna umeme, hakuna dawa mahospitalini, hakuna vitabu mashuleni, hakuna madarasa ya kutosha, hakuna waalimu wa kutosha, hakuna mikopo ya wanachuo kwa wakati, hakuna tena wanaojali............

ila kuna pesa za kufanyia sherehe za sensa
 
Hii Nchi kama tinalaana hivi,tuna mito maziwa lukuki lakini eti tinashida ya maji.Ziwa Victoria la pili kuliko yote duniani ni KM 1100 hadi Dar lakini hatuna maji.
Hii Nchi inahitaji dikiteta zaidi ya Magufuli kuiongoza ina ujinga mwingi sana.

hata akija raisi kama Magufuli haisaidii atafanya yale yale tu, dawa ni kukitoa chama chote tuanze upya. haiwezekani miaka 61 ya uhuru bado hatuna maji + umeme wa uhakika. Its a shame!
 
Maeneo ya opposite na kanisa la gwajima kama unaelekea msewe. Kaniambia leo yalitoka asubuhi kwa muda kama wa saa moja kisha yakakatika ila angalau wamejaza matank.
Sio angalau
Sema wamejaza tank ..maana tusio na matanki tunataka mpk kufa
Kwanza mabomba line yetu hii hayatoki yanatoa upande mwingine wa mabondeni huko sasa hio kubeba maji kichwani ooooh unaweza kulia dear
 
Sio angalau
Sema wamejaza tank ..maana tusio na matanki tunataka mpk kufa
Kwanza mabomba line yetu hii hayatoki yanatoa upande mwingine wa mabondeni huko sasa hio kubeba maji kichwani ooooh unaweza kulia dear
Poleni sana, hope mvua zitanyesha ili maji yaje maana serikali inategemea kudra kujiendesha na kutoa huduma.
 
Walianza kwa kusema kutakuwa na mgao wa maji na wakatoa ratiba lakini maeneo mengi ambayo nina ndugu jamaa na marafiki hapa Dar sasa ni zaidi ya wiki mbili hakuna maji.

Ni vyema sasa serikali isitishe kulipa mishahara kwa wafanyakazi wa Dawasa kwasababu huwa wanalipwa kwa kutoa huduma ambayo sasa hivi haipo.
Hapo kwenye kusitishiwa mshahara kwasababu huduma wanayo takiwa kutoa haipo.
Kama vyeti feki wanalipwa unategemea Nini kwa hao.
Naona aibu sana kuwa mtanzania
 
Back
Top Bottom