Kinachoendelea hapa Dar es salaam sio mgao wa maji, ni kwamba Dawasa imeshakufa

Kinachoendelea hapa Dar es salaam sio mgao wa maji, ni kwamba Dawasa imeshakufa

Asante sana mkuu, serikali yetu lazima waamke sasa ili walete mitambo tutumie ya bahari maana hamna namna.
Mkuu sidhani kama tunahitaji maji ya chumvi. Tuna maji mengi ya mito yanapotelea bahari. Mimi nadhani tunatakiwa kuyavuna hayo maji. Tujenge mabwawa na mwisho wa siku yangetusaidia. Ila tatizo tumezoea quick fix zisizo na tija ktk kila jambo
 
Kwa mara ya kwanza naomba niseme wazi tena bila kificho DAWASA na maboss zao wooote walio juu yao hawajui kazi zao, wanachofanya sio kabisa yaan haituingii akilini kabisa
...Kweli Umechukia, Mkuu!![emoji848][emoji848]...
 
Mkuu sidhani kama tunahitaji maji ya chumvi. Tuna maji mengi ya mito yanapotelea bahari. Mimi nadhani tunatakiwa kuyavuna hayo maji. Tujenge mabwawa na mwisho wa siku yangetusaidia. Ila tatizo tumezoea quick fix zisizo na tija ktk kila jambo
Tatizo ni mipango
Kulikuwa na mradi.mkubwa wa upanuzi wa mitambo ya ruvu chini ,wala haijapita miaka mitano, ruvu tayari ina mtambo wa ruvu juu ambao unasupply maji kwa nija ya mlandizi ,
Hela iliyotumika bora hata ungejengwa mtambo wa maji rufiji, mto amqbo kwa sasa unamwaga tu maji baharini
 
Visima vya aina hii vilipigwa marufuku kwa kuwekewa tozo za kutosha , na mlipishaji ni huyo hyo dawasa
Kwanza kupata kibali pili kupata cheti cha ubora wa maji kote ni pesa inatembea na usumbufu mwingi
 
Afu kuna tetesi zilianza kipindi flani eti ukiwa na kisima binafsi...kuwasambazia na kuwauzia wapendwa wananchi lazima uwe na leseni toka mamlaka husika...

Labda ndio wameamua biashara ihamie kwenye utoaji wa leseni may be mamlaka husika haipati faida zaidi ya hasara tu.
Waturuhusu basi na kuwa na vyanzo binafsi vya umeme ili watuuzie leseni za usambazaji wa huduma.
Ni kweli.
 
Walianza kwa kusema kutakuwa na mgao wa maji na wakatoa ratiba lakini maeneo mengi ambayo nina ndugu jamaa na marafiki hapa Dar sasa ni zaidi ya wiki mbili hakuna maji.

Ni vyema sasa serikali isitishe kulipa mishahara kwa wafanyakazi wa Dawasa kwasababu huwa wanalipwa kwa kutoa huduma ambayo sasa hivi haipo.
Nchi inajiendea yenyewe wakati bi tozo anachanja mbuga majuu.
 
Hii inchi kwakweli kabisa hatuna wahandisi wa maji,wakakaa mezani na kutuletea solution lakudumu,yaani ikatokea leo hii Mwalimu Nyerere kufufuka basi atatushangaa sana yaani vyanzo alivyoviachaga kipindi chake Dar ikiwa na wakazi elfu 5 ndio tunavyovitumia atatushangaa sana kwakweli
 
Hii inchi kwakweli kabisa hatuna wahandisi wa maji,wakakaa mezani na kutuletea solution lakudumu,yaani ikatokea leo hii Mwalimu Nyerere kufufuka basi atatushangaa sana yaani vyanzo alivyoviachaga kipindi chake Dar ikiwa na wakazi elfu 5 ndio tunavyovitumia atatushangaa sana kwakweli
Kazi zinafanywa kwa mazoea.
 
Walianza kwa kusema kutakuwa na mgao wa maji na wakatoa ratiba lakini maeneo mengi ambayo nina ndugu jamaa na marafiki hapa Dar sasa ni zaidi ya wiki mbili hakuna maji.

Ni vyema sasa serikali isitishe kulipa mishahara kwa wafanyakazi wa Dawasa kwasababu huwa wanalipwa kwa kutoa huduma ambayo sasa hivi haipo.
Hivi unajua kuwa mto ruvu haina maji?
 
Aisee.. Kumbe mimi huku niliko Pugu tunapendelewa, maana wiki yote hii yakikatika ni masaa tu yanarudi
 
Awamu hii kila sehemu pameoza.maji yanapelekwa kwa viongozi tu lakini kwa wananchi wa kawaida yana zaidi ya wiki hawajayaona maji.
 
Aliyemteua ndo amfukuze , hata Mimi siwez kuachia ugali wakat walioko juu yangu ndo wabovu zaidi , waanze wao na Mimi nitafata , vinginevyo labda wanifukuze Kwa mamlaka waliyo nayo
Mlishaambiwa huyu msilitarajie 😇
 
Walianza kwa kusema kutakuwa na mgao wa maji na wakatoa ratiba lakini maeneo mengi ambayo nina ndugu jamaa na marafiki hapa Dar sasa ni zaidi ya wiki mbili hakuna maji.

Ni vyema sasa serikali isitishe kulipa mishahara kwa wafanyakazi wa Dawasa kwasababu huwa wanalipwa kwa kutoa huduma ambayo sasa hivi haipo.
Tatizo huyu mukulu wa DAWASSA hana lolote ....janja janja tu ! Ila uzuri ana tawi lake analoning'inia huko jumba jeupe
 
Back
Top Bottom