Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #101
Sijaelewa hii inahusiana na mada?Hivi key performance indicators za wizara ya afya zipoje? Wangetoa taarifa Kwa kutumia KPI ingekuwa poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa hii inahusiana na mada?Hivi key performance indicators za wizara ya afya zipoje? Wangetoa taarifa Kwa kutumia KPI ingekuwa poa
Mkuu sidhani kama tunahitaji maji ya chumvi. Tuna maji mengi ya mito yanapotelea bahari. Mimi nadhani tunatakiwa kuyavuna hayo maji. Tujenge mabwawa na mwisho wa siku yangetusaidia. Ila tatizo tumezoea quick fix zisizo na tija ktk kila jamboAsante sana mkuu, serikali yetu lazima waamke sasa ili walete mitambo tutumie ya bahari maana hamna namna.
Asilimia.kubwa ya maji.mjini ni kwa ajili ya kuondoa taka, kuoga kufua na usafi jumla .Mkuu usalama wa maji ya visima vifupi ni kwa maji ya vijijini tu, lakini kwa mjini maji ya visima vifupi ni maji taka.
...Kweli Umechukia, Mkuu!![emoji848][emoji848]...Kwa mara ya kwanza naomba niseme wazi tena bila kificho DAWASA na maboss zao wooote walio juu yao hawajui kazi zao, wanachofanya sio kabisa yaan haituingii akilini kabisa
Tatizo ni mipangoMkuu sidhani kama tunahitaji maji ya chumvi. Tuna maji mengi ya mito yanapotelea bahari. Mimi nadhani tunatakiwa kuyavuna hayo maji. Tujenge mabwawa na mwisho wa siku yangetusaidia. Ila tatizo tumezoea quick fix zisizo na tija ktk kila jambo
Kwanza kupata kibali pili kupata cheti cha ubora wa maji kote ni pesa inatembea na usumbufu mwingiVisima vya aina hii vilipigwa marufuku kwa kuwekewa tozo za kutosha , na mlipishaji ni huyo hyo dawasa
Ni kweli.Afu kuna tetesi zilianza kipindi flani eti ukiwa na kisima binafsi...kuwasambazia na kuwauzia wapendwa wananchi lazima uwe na leseni toka mamlaka husika...
Labda ndio wameamua biashara ihamie kwenye utoaji wa leseni may be mamlaka husika haipati faida zaidi ya hasara tu.
Waturuhusu basi na kuwa na vyanzo binafsi vya umeme ili watuuzie leseni za usambazaji wa huduma.
Nchi inajiendea yenyewe wakati bi tozo anachanja mbuga majuu.Walianza kwa kusema kutakuwa na mgao wa maji na wakatoa ratiba lakini maeneo mengi ambayo nina ndugu jamaa na marafiki hapa Dar sasa ni zaidi ya wiki mbili hakuna maji.
Ni vyema sasa serikali isitishe kulipa mishahara kwa wafanyakazi wa Dawasa kwasababu huwa wanalipwa kwa kutoa huduma ambayo sasa hivi haipo.
Kazi zinafanywa kwa mazoea.Hii inchi kwakweli kabisa hatuna wahandisi wa maji,wakakaa mezani na kutuletea solution lakudumu,yaani ikatokea leo hii Mwalimu Nyerere kufufuka basi atatushangaa sana yaani vyanzo alivyoviachaga kipindi chake Dar ikiwa na wakazi elfu 5 ndio tunavyovitumia atatushangaa sana kwakweli
Hivi unajua kuwa mto ruvu haina maji?Walianza kwa kusema kutakuwa na mgao wa maji na wakatoa ratiba lakini maeneo mengi ambayo nina ndugu jamaa na marafiki hapa Dar sasa ni zaidi ya wiki mbili hakuna maji.
Ni vyema sasa serikali isitishe kulipa mishahara kwa wafanyakazi wa Dawasa kwasababu huwa wanalipwa kwa kutoa huduma ambayo sasa hivi haipo.
Maji ambayo dawasa wanayapeleka mbweni, masaki, ikulu, oysterbay nk wanayatoa wapi?Hivi unajua kuwa mto ruvu haina maji?
Huko labda maji hayatokei ruvu.Aisee.. Kumbe mimi huku niliko Pugu tunapendelewa, maana wiki yote hii yakikatika ni masaa tu yanarudi
Yuko saitiHivi Juma 'Awesu' yupo? Simsikii kabisa au ameshatumbuliwa?
Mlishaambiwa huyu msilitarajie 😇Aliyemteua ndo amfukuze , hata Mimi siwez kuachia ugali wakat walioko juu yangu ndo wabovu zaidi , waanze wao na Mimi nitafata , vinginevyo labda wanifukuze Kwa mamlaka waliyo nayo
Tatizo huyu mukulu wa DAWASSA hana lolote ....janja janja tu ! Ila uzuri ana tawi lake analoning'inia huko jumba jeupeWalianza kwa kusema kutakuwa na mgao wa maji na wakatoa ratiba lakini maeneo mengi ambayo nina ndugu jamaa na marafiki hapa Dar sasa ni zaidi ya wiki mbili hakuna maji.
Ni vyema sasa serikali isitishe kulipa mishahara kwa wafanyakazi wa Dawasa kwasababu huwa wanalipwa kwa kutoa huduma ambayo sasa hivi haipo.