Kama upo tabata sema upewe namba.
Na ndio ni gari canter yenye tank na pump.
Nipo tabata kimanga. Naomba namba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama upo tabata sema upewe namba.
Na ndio ni gari canter yenye tank na pump.
Walianza kwa kusema kutakuwa na mgao wa maji na wakatoa ratiba lakini maeneo mengi ambayo nina ndugu jamaa na marafiki hapa Dar sasa ni zaidi ya wiki mbili hakuna maji.
Ni vyema sasa serikali isitishe kulipa mishahara kwa wafanyakazi wa Dawasa kwasababu huwa wanalipwa kwa kutoa huduma ambayo sasa hivi haipo.
WKwa shekeli gani![]()
Kwa staili hii ya kuyashindwa Mambo madogo ya msingi na yenye umuhimu mikubwa,tutasubiri Sana,vinginevyo tutelekeze yote tufanye tuliloamuaTulieni tupo tunaangalia uwezekano na sisi kurusha satellite angani kama wenzetu
[emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]Nasikia kuna wengine mpaka walijaza maji midomoni ili kesho yake wayatumie kupiga mswaki
Kuna sehemu Dar mwezi mzima maji hayajatoka
Ametoa agizo visima 197 ambavyo havijatumika mda mrefu vifufuliwe
Unadhani ni waziri ameshindwa kazi? NO !!
Ni mfumo mzima ! Ndio maana Tz sasa imekuwa ni "HAKUNA KANTRE.." Yaani:- hakuna maji, hakuna umeme, hakuna dawa mahospitalini, hakuna vitabu mashuleni, hakuna madarasa ya kutosha, hakuna waalimu wa kutosha, hakuna mikopo ya wanachuo kwa wakati, hakuna tena wanaojali............
0712273984 Haji.Nipo tabata kimanga. Naomba namba
Sasa wazee mnaoga nini huko, na hili joto.Mtaani kwangu ni wiki ya 3 sasa maji hayajawahi kutoka..
Si mlifurahia Jiwe kututoka?Mtaani kwangu ni wiki ya 3 sasa maji hayajawahi kutoka..
DuhKwa mara ya kwanza naomba niseme wazi tena bila kificho DAWASA na maboss zao wooote walio juu yao hawajui kazi zao, wanachofanya sio kabisa yaan haituingii akilini kabisa
Kuoga sio kipaumbele kwa sasa.🤣Sasa wazee mnaoga nini huko, na hili joto.
Halafu ukichimba kisima wanakuletea tamko uache kuwapatia majirani huku wao uwezo wa kuleta maji hawana.Bora nlijichimbiaga kisima
Ova
Mkuu unakaa maeneo gani tuhamie huko?Nashangaa sana nikisikia shida ya Maji. Mimi nipo dar , Na mahali nakaa sijawahi kuona maji yakikatika