SueIsmael
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 932
- 1,282
Kuna wanaopokea mshahara kwaajili ya hili. Ya nini tuwafanyie kazi yao?Duuuh. Kuna sehemu niliwahi pita miaka hiyo, kuoga ni majagi mawili tu.
Malalamiko yasiwe mengi sana toeni mawazo hao wahusika wachukue hatua gani ili tatizo la maji liishe Kwa miaka mingi baadae.