Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Tumekusikia kuwa hoja yako ni kwamba ile siyo vita bali ni SMO.

Swali langu ni moja tu. Nani tumwamini anayesema kweli kati yako na Putin?. Tarehe 09/05/2023 Putin kaitangazia dunia kuwa "It is the real war (True war).
 
Kwa hiyo hoja yako hapa ni kwamba
1. Russia hawezi kupigana na USA, Germany, Italy, UK, France and allies na akashinda vita.

2. WW3 haiwezi kutokea sababu Russia hawezi kuyapiga mataifa hayo makubwa kama tulivyoaminishwa kabla ya vita
 
Tumekusikia kuwa hoja yako ni kwamba ile siyo vita bali ni SMO.

Swali langu ni moja tu. Nani tumwamini anayesema kweli kati yako na Putin?. Tarehe 09/05/2023 Putin kaitangazia dunia kuwa "It is the real war (True war).
Ikianza vita kamili mtakuja hapa kulialia sijui war crimes NK!
 
Hoja yako imeeleweka kwamba,
1. Hakuna uwezekano wa kutokea WW3 sababu NATO amejiandaa vya kutosha kumkabili Russia.

2. Russia hawezi kuwa Super power sababu itapigwa na NATO na serikali ya Russia kudondoshwa.
 
Kwa hiyo hoja yako hapa ni kwamba
1. Russia hawezi kupigana na USA, Germany, Italy, UK, France and allies na akashinda vita.

2. WW3 haiwezi kutokea sababu Russia hawezi kuyapiga mataifa hayo makubwa kama tulivyoaminishwa kabla ya vita
Uzi ungeuedit na kudeclare wewe ni Pro west!Hoja za upande mmoja unaziunga mkono bila kuzichallange na za upande mwingine unakaza shingo!
Endeleeni kujifariji,Russia ni habari nyingine!
 
1. Umetoa malalamiko kuwa watu wengi hawajadili hoja badala yake wanapiga porojo tu. Hapo nakuunga mkono 100%. Lakini cha kushangaza na wewe umepiga porojo without laying any fact(s) with evidence.

2. Umesema kuwa mtoa mada (hoja) hajatoa hoja kama unavyotaka wewe na kwa mwelekeo unaotaka wewe
Wewe unashindwa nini kuanzisha mada unayotaka ijadiliwe mpaka ulalamike kiasi hicho?

3. Inaelekea context ya hoja hujaielewa ama umeamua tu kujitoa ufahamu. Kwa nini hujajibu swali lililoulizwa hata moja na ukafanya uchambuzi wako na ukaweka facts na ushahidi.

4. Ukweli ni kwamba hoja zimekulemea ndo maana umeishia kupiga porojo tu.

Hoja hujibiwa kwa hoja siyo porojo
 
Uzi ungeuedit na kudeclare wewe ni Pro west!Hoja za upande mmoja unaziunga mkono bila kuzichallange na za upande mwingine unakaza shingo!
Endeleeni kujifariji,Russia ni habari nyingine!
Wenzako walau wanajibu hoja/maswali. Wewe umejibu hoja ipi?
Kama unapiga porojo unataka tu note porojo.
 
Du mimi sileta hoja mpya na wala sikutaka kujibu hoja yeyote kwa sababu tayari mleta hoja amelemea upande mmoja kisha anataka leveled arguements, haiwezekani.

Mfano nimesema wengi ikiwa ni pamoja na mtoa hoja wanasema NATO ANS ALLIES wanaogopa kutoa silaha nzito. Hi hofu walionao ndio ukubwa wa Urusi.

Nikaweka hoja hakuna aliyesema utayari wa majeshi, ukubwa wa majeshi na vifaa vyao ili kusema Urusi imelemewa, sikuja kutoa facts nimetuhumu watoa hoja hawawek facts.

Pia intelijensia za NATO VS Russia zimelemea wapi?

Lakini kila vita ina objectives yake na ili iishe lazima hayoalengo yatimie au yatatimia kwa mazungumzo.

Pia niongeze gharama za vita zipoje kwa maana ya vifaa, rasilimali watu, fedha hali ipoje.

Mleta hoja alizungumzia uchumi lakini hakuna facts nani uchumi umepanda au umeshuka na projection zipo.

Hayo nimeyasema siku na lengo la kujibu bali kuwaambia wanaojibu pasipo facts ni sawa na kuimba singeli
 
Unastahili kupewa taji la propagandist ambaye hana uwezo wa kujenga hoja.
 
Mkuu, kama hufahamu kwanini Russia iliamua kuchukua Crimea na yaikalia hadi leo.

Pia kama hufahamu ni kwanini Russia imechukua kituo cha nyuklia cha Zaporizhzhia, basi hatuwezi kuwa "level" moja ya mjadahala.

Naona wajitahidi sana kusahihisha watu humu ndani lakini umekosa weledi wa kutambua chanzo cha mzozo wa Russia na Ukraine akitumiwa na nchi za NATO /US.
 
Kwa hiyo hoja yako hapa ni kwamba
1. Russia hawezi kupigana na USA, Germany, Italy, UK, France and allies na akashinda vita.

2. WW3 haiwezi kutokea sababu Russia hawezi kuyapiga mataifa hayo makubwa kama tulivyoaminishwa kabla ya vita
Shekh mpaka unaona vita inashika hatamu ujue ni mioyo ya watu imesharidhia kwa 100% kutetea taifa lao.

Russians wengi hawataki vita.

1. Hii vita ni matakwa ya Putin. Na ili tu ajione anairejesha USSR.

2. Russia kungekuwa na uhuru wa utawala, Putin angeshapingwa mno kuhusu maamuzi haya.

3. Russia kule kwake magenge ya upigaji ndo yanayokula nchi, ni zile familia za vibopa vya USSR vimejimilikisha nchi, hakuna uzalendo tena kama zamani ila vyombo vya habari vinampamba tu lakini uhalisia haupo.
 
Napata tabu kujua unajibu hoja au swali lipi. Maana umeupiga mwingi lakini haufiki golini. kwenye kujibu hoja unatakiwa hoja uifikishe kileleni ili ieleweke zaidi. Kwa hiyo hoja yako ni kwamba;

1. Russia hawezi kushinda vita sababu wananchi wake wanapinga/hawataki vita ni matakwa tu ya Putin. Unaweza ukatupa ushahidi au analytical facts kwenye hili.

2. Russia hawezi kushinda vita sababu wapiganaji (Troops) wake hawana motisha ya kupigana vita, ni utashi wa Putin na genge lake. Unaweza ukatupa ushahidi au analytical facts kwenye hili.
 
Hakuna proof yoyote sababu vyombo vyote vya habari Russia vimefungwa.
 
Hakuna proof yoyote sababu vyombo vyote vya habari Russia vimefungwa.
Ulijuaje sasa kuwa wananchi wa Russia hawataki vita. Kwa hiyo kumbe ni mtizamo na maoni yako tu
 
Inawezekana pia
 
Hata wewe mtoa mada umeileta kishabiki tatizo limeanzia hapo
 
Hata wewe mtoa mada umeileta kishabiki tatizo limeanzia hapo
1. Hebu tuonyeshe ni swali gani au hoja ipi iliyokaa kishabiki?

2. Kama hoja ni za kishabiki, ikiwa na maana zimekugusa upande wako, kwa nini hujatoa uchambuzi (analytical facts) ili kujibu kwa kutetea upande unaoona wewe haujasemewa. ? Hoja hujibiwa kwa hoja siyo porojo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…