NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Kuna umbwa moja imesema odinga kajificha.JanguKamaJangu umeshindwa kuweka updates za mada yako mkuu!.
Nilitegemea umeweka hata live link kutoka eneo la tukio mwishoe na wewe unasoma na unasikilizia tunaotoa comments.
https://www.facebook.com/
UPDATE:
Mzee bado ana dhamira hasa ya kufanya maandamano namuona yupo front line pamoja na njia zote kufungwa kuelekea Ilulu, anafanya mawasiliano na watu wake mpaka anapata njia mbadala.
Kuna sehemu unaona kabisa askali wanamuangalia na hawafanyi chochote but anaingia ndani ya gari ndipo wanapuliza moshi wa kuwasha macho 😂!.
Acha upuuzi wewe. Raila amekuwa akiandamana hata hapo kabla, hajaanza leo.Uhuru ndio mtoa pesa kufadhili kila linaloendelea
kweli mkuu amani muhimu zombi mwenzangu.Amani iliyopo ni kheri kubwa mno. Basi tu, baadhi yenu hamjui hili.
Tunamshukuru Allah kwa neema zake kwetu ikiwemo Amani.
Hebu usitie aibu bwana hao wa Chini ni JKT.Unalinganisha mapera na mafenesi [emoji3][emoji3]Kenyan soldiers
Tanzanian Soldiers
Heeheee. Sare gani mbovu hapo.
Kama clip unayo,iweke hapa.
Nitakunya kutoka chamanzi hadi magogoni..😜😜Eti nao waige😂🤣
Nipo live K24 😜😜Kama clip unayo,iweke hapa.
Zakayo shuka chini na ushuke na bei mchele,unga,Maharage,mafuta,gas,fees
Mkuu hongera Sana kwa hii" post" yako, nimeipenda Sana.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ukisema ivyo unakosea,serikali wanatakiwa wadhibiti bei kwenye biashara zoteEti wamebeba masufulia, mabakuki na vijiko Sasa sijui wale chakula alicholima nani 🤣🤣
Piga spana hao mda wa kuandamana wangeenda shamba..
Bado Tanzania Kuna wale wajinga utasikia mahindi bei Juu,kalime wewe uuze bei chini unataka nani akulimie upange bei
Soko ndio hupanga bei,zile bidhaa ambazo soko haliwezi kupanga ndio zinakuwa na regulators.Ukisema ivyo unakosea,serikali wanatakiwa wadhibiti bei kwenye biashara zote
Jikusanye na wazazi wako,ndugu,jamaa muingie barabaraniYani wenzetu unga umepanda kidogo tuu wameamua kuingia road wabongoo unga umedouble price..mchelee juu..mafuta juu yani labda kitu hakujapanda bei ni DHAMBI tu bongoo lakini sasa TUPO KAMA MAKONDOOO VILE. yani hii nchi ni tupate RAIS wa kutuonea huruma tu ilaa wananchi hakuna wakuongea kitu wala kunyanyua mdomoo hayupo achilia mbali kuingia road maana hiyo ndo HAITA KUJA KUTOKEA MILELE
Ukitafuta waandamanaji humo utakuta ni wale waliompigia kura railawewe umesikia kenya MKIKUYU NA MKAMBA unga wanauziwa bei tofauti??? kwamba ukienda sokoni kununua mchele unaulizwa kabila?? yani watu kama wew ndo wanadhirisha wabongo hatujitambui kabisaa.. UGUMU wa maisha hauchagui kabila wala dini.
kwani mimi sio mbongo mzee baba..Jikusanye na wazazi wako,ndugu,jamaa muingie barabarani
Mimi kila ukinya ntakua nakufuta na tishu mkuuNitakunya kutoka chamanzi hadi magogoni..😜😜