Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023
Mbona huwa mnajilinganisha nao nidhaa zikipanda bei?

Huyo ndio jirani wa kuiga
 
FrzmMW-WAAImO5x
 
Mleta mada hapo Malala alikuwa anapiga propaganda tu. Unajua Malala ni nani huko Kenya? Kwa wadhifa wake huo unategemea atayasifu maandamano??
 
Maandamano yalifanyika Nairobi yote sio Kibira tu,Kitale, Kisumu,Homa bay,Kisii na Kakamega kwa hiyo sio kweli kwamba walioshiriki ni waluo pekee yao.
 
Back
Top Bottom