HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Maandamano yao sio kuharibu mali, ni kutuma mesejiRuto mwenyewe ni mtoto wa Kihuni, wakianza kuharibu mali za watu atarudisha askari nyuma na kuachia wafuasi wake nao waingie mtaani kujilinda.
Hii mbona ngoma ni nyepesi mno?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app