Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023
Sasa Kwa magu tulikosa nn,maindi bei ,mchele,na vitu vingi vilikuwa bei poa Sasa barabarani kufanya nn awo wakenya njaa imeingia tumboni vitu bei bola wafe barabarani Ili watu wawajibike wasife njaa
Kwa nini usitafute mwalimu akufundishe mambo ya silabi/mwandiko.Awe wa darasa la awali itakuwa safi sana.Shame dame!
 
Eti wamebeba masufulia, mabakuki na vijiko Sasa sijui wale chakula alicholima nani 🤣🤣

Piga spana hao mda wa kuandamana wangeenda shamba..

Bado Tanzania Kuna wale wajinga utasikia mahindi bei Juu,kalime wewe uuze bei chini unataka nani akulimie upange bei?
Waandamanaji hakuna mkulima hata mmoja, waweza kuta ni madaktari, nesi na wengineo, haiwezekani wote tukawa wakulima.Akili yako ina matatizo
 
Bora hata Kenya polisi wametoa sababu ya kwanini maandamano ni haramu. Tanzania polisi wanakuambia atakaye andamana atapigwa na kuchaakaa. Nchi ya hovyo kweli.
Walishaumwa na nyoka hao, machungu ya kutumia nguvu wanayajua sana.
 
Unaifahamu nguvu ya Raila Odinga kweli? William Ruto ndiyo ana uwezo wa kumuua? Kama alishindwa Daniel Arap Moi, basi futa kabisa kichwani mwako jambo hilo kutokea.

Huyo Raila, ndiyo alitaka kupindua serikali ya Daniel Arap Toroitich Mimi. Lakini jaribio lilishindwa. Huyu siyo mtu mzuri.
 
Sema awamu hiii nazani Raila ujanja ujanja wakee unatakuwa umefika mwisho
Kwa Ruto hapa ata gonga mwamba hichi ni chuma
Hakuna Rais alikuwa katili kama Mzee Moi,Ruto cha mtoto na bado alimshindwa Raila.If you can connect the logic utaelewa.Kenya inatafunwa na ukabila na hata Ruto analijua hilo na mwisho wa siku atabow down ili aweze kuongoza kwa amani kama Marais waliomtangulia.
 
Kwa nini usitafute mwalimu akufundishe mambo ya silabi/mwandiko.Awe wa darasa la awali itakuwa safi sana.Shame dame!
Wewe shusha hoja zako mambo ya mwingine anaandikaje hayana nafasi,mradi umemsoma na kumwelewa.Jadili mada mwache na makosa yake ya uandishi,hayapunguzi kitu katika kile alitaka kukiwasilisha.
 
Wewe shusha hoja zako mambo ya mwingine anaandikaje hayana nafasi,mradi umemsoma na kumwelewa.Jadili mada mwache na makosa yake ya uandishi,hayapunguzi kitu katika kile alitaka kukiwasilisha.
Sina kawaida ya kuvumilia ujinga.Haujaoga?Hakuna kula wala kulala.Oga kwanza.
 
Tazama.Hapa si sehemu ya kuandika utumbo-utumbo tu.Ni sehemu ya kusahihishana pia.Mfuatilie.Atabadilika.Refer😛didy.
Unajipa kazi isiyokuhusu bure.Maana hata wewe siyo mzuri ki uandishi ki hivyo kama wengi wetu tu hapa tulivyo.Unatolea mfano wa Pdiddy wakati tunaomfahamu kitambo tunajua huwa anafanya makusudi kuandika kwa style ile na huwa akiamua anaandika vizuri sana tu.Any way am out of this discussion.Acha nijielekeze kwenye mada husika.
 
Unajipa kazi isiyokuhusu bure.Maana hata wewe siyo mzuri ki uandishi ki hivyo kama wengi wetu tu hapa tulivyo.Unatolea mfano wa Pdiddy wakati tunaomfahamu kitambo tunajua huwa anafanya makusudi kuandika kwa style ile na huwa akiamua anaandika vizuri sana tu.Any way am out of this discussion.Acha nijielekeze kwenye mada husika.
Afadhali umehitimisha kwa kuanza kujitambua.
 
Back
Top Bottom