Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Hapa ruto anakazi sana aisee,na hapo bado watazidi kuongezeka.
Siku bongo tukiweza hivi,hawa wanasiasa wetu watatuheshimu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ruto anakazi sana aisee,na hapo bado watazidi kuongezeka.
Bongo hivi hatuwezi kabisaa
JUmatatu ijayo polisi watakuwa na sababu ipi ya kuyazuia wakati kwao ni notice tu Ili kutoa ulinzi? Siku hiyo kutakuwa wabunge, ma seneta, ma governor na vigogo zaidi ndani ya nyumba.Hapa ruto anakazi sana aisee,na hapo bado watazidi kuongezeka.
Siku bongo tukiweza hivi,hawa wanasiasa wetu watatuheshimu sana.
Hatuwezi kufanya vitu ambavyo havina tija kwenye maisha yetu ya kila sikuBongo hivi hatuwezi kabisaa
Bongo itafika tu ngoja ifike mahali watu washindwe kununua basic needsHatuwezi kufanya vitu ambavyo havina tija kwenye maisha yetu ya kila siku
Ukifatiliaa Nia ya Raila Toka enzi za MOI mpaka uhuru utajuwa Raila shida yake ni kuwa sehemu ya serekali wakati wote HANDSHAKE akisha pata hicho ata wananchi wake anawatelekeza na maandamano yaoooBaada ya Ruto kupinga ushoga kwa kujifichia kwenye kivuli cha mahakamani huku akiwa tayari ashalamba pesa za mashoga, naona wamemuinulia Odinga, kwa kumuonyesha saver ya mchakato mzima wa wizi wa kura, mashoga wapo nyuma ya Odinga kuhakikisha Ruto anatoka madarakani Ili Odinga achukue waruhushu ushoga Kenya.
Odinga kula pesa zao ukishapata tu kiti jifichie kwenye mahakama kuukataa ushoga utaleta laana Kenya.
Wakenya akili hawanaUkifatiliaa Nia ya Raila Toka enzi za MOI mpaka uhuru utajuwa Raila shida yake ni kuwa sehemu ya serekali wakati wote HANDSHAKE akisha pata hicho ata wananchi wake anawatelekeza na maandamano yaooo
Sema awamu hiii nazani Raila ujanja ujanja wakee unatakuwa umefika mwishoWakenya akili hawana
Tuna akili na busara kuliko wakenya. Tunatambua wanasiasa ni walamba asali na wafanya biashara. Yanini tuchinjane kwa ajili ya ambitions zao?Kenya sio Tanzania, Tanzania haifanani na Kenya hata Nusu wale walishawahi kuchinjana wao kwa wao zilimwagika damu kikaeleweka Mambo haya haya ya uchaguzi, niambie lini Tanzania kilinuka tukachinjana wenyewe kwa wenyewe?
Hata Ufaransa wameandamana plus S Africa. Ulewa katiba ya sasa kwanza then na ile itakiwayo. Kenya walichinjana hata kabla ya katiba mpya. So kwao kuandamana na kudai haki ni hulka reagdless of the conatution at hand. Raila mwenyeww aliwekwa ndani na Moi. Alikatwa hadi kipande cha ulimi wakati wa dikteta huyo. Tofauti na sasa ni kwamba polisi wanatuliza badala ya kuua in the name of maalekezo kutoka juu. Isingekuwa katiba mpya Leo ungesikia watu wameuawa.Mimi sipingani na kuwepo kwa katiba mpya lkn wote tumejionea, swali langu ni kwamba kwa hiyo katiba mpya tunayoitaka ndo inawapa uhuru wakenya ya kuichafua hali ya hewa hivi?
Kinachofanyika Kenya siyo uhuru wa katiba mpya. Kinachofanyika kwa sasa inaweza kufanyika nchi yeyote. Hata Egypt walifanya bila katiba mpya.Mimi sipingani na kuwepo kwa katiba mpya lkn wote tumejionea, swali langu ni kwamba kwa hiyo katiba mpya tunayoitaka ndo inawapa uhuru wakenya ya kuichafua hali ya hewa hivi?
Yaani anafikir katiba mpya ndo imeleeta maandamano.😂😂😂Kinachofanyika Kenya siyo uhuru wa katiba mpya. Kinachofanyika kwa sasa inaweza kufanyika nchi yeyote. Hata Egypt walifanya bila katiba mpya.
Ivi umeona stand ya chato ilivyokuwa imechakaa kabla hata ya kutumika?Chato haiko Tanzania?!
Ulitaka ajenge Tanga
Mimi sipingani na kuwepo kwa katiba mpya lkn wote tumejionea, swali langu ni kwamba kwa hiyo katiba mpya tunayoitaka ndo inawapa uhuru wakenya ya kuichafua hali ya hewa hivi?
Asilimia 504 kwa 49 mbona kizunguzungu.Hata uwiano wa kura ni tofauti Ruto 504 % na Raila.49%
Magufuli 84% na Lisu 13%
Sasa Kwa magu tulikosa nn,maindi bei ,mchele,na vitu vingi vilikuwa bei poa Sasa barabarani kufanya nn awo wakenya njaa imeingia tumboni vitu bei bola wafe barabarani Ili watu wawajibike wasife njaaBarabarani nikafanye nini?!!
Wakati huo wewe ukiwa wapi?Chukua nafasi yao.Bongo hakuna wapinzani
Wapo kimya - wakilipiwa madeni na wengine wamekimbia
Hawaongei mahitaji ya wananchi , wanaongea mahitaji yao