Mbona huwa mnajilinganisha nao nidhaa zikipanda bei?

Huyo ndio jirani wa kuiga
 
Mleta mada hapo Malala alikuwa anapiga propaganda tu. Unajua Malala ni nani huko Kenya? Kwa wadhifa wake huo unategemea atayasifu maandamano??
 
Maandamano yalifanyika Nairobi yote sio Kibira tu,Kitale, Kisumu,Homa bay,Kisii na Kakamega kwa hiyo sio kweli kwamba walioshiriki ni waluo pekee yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…