Polisi wanakimbia aisee! Wafuasi wa Raila wanarusha mawe si kitoto. Kuna Polisi wameruka ukuta kuingia nyumba ya mtu kujinusuru na mawe! Hii inarushwa live K24!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Nimecheka sana mkuu, kuna polisi mmoja anambio balaaa...😜😜
Kuna mwingine alikua na kitambi kubwa akajikwaa akanguka acha vijana wamkule kichapo...🤣🤣
Mwingine alipiga mbio ndefu ndefu hadi suruali ikapasuka boksa inawa inaning'inia live...😂😂
 
duh aiseeee kuna nyumbu humu walikua wanasema katiba ya kenya ni pana wanaruhusiwa kuandamana bila bughudha yoyote
 
Hiki ukichoandika ndicho niliandika kwenye mada fulani kuwa mzee RAO hana njaa wala kutaka utajiri bali anataka kuzeeka akiwa high profile leader retired as alichokuwa anahitaji mzee wetu Lowasa!
Lowasa nyuma yake palikua na wafanyabiashara wa kihindi,kiajemi,kiarabu,tangu 1995,walitaka kuigeuza nchi yetu shamba la bibi,ndiyo maana lowasa akiutaka urais walau kwa miaka miwili,maana wafanyabiashara wakiitamani bandari
 
This is a wake up call for Rais Dkt Samia, maana watu wanalalamika maisha halafu wasaidizi wake wanawaambiwa watanzania wahamie burundi. Vijana wapo wengi sana wamechoka mno tena jinga kama Lema eti linasema boda boda laana wakati ndiyo inawakeep vijana busy. Yaani hawa wapinzani uchwara wanamsapoti rais Dkt Samia ili aendelee kufanya vitu vya ovyo ili waje waipindue serikali yake
,
 
Wakenya wamshukuru sana Raila.Kama Kenya leo walau wana uthubutu wa kuandamana kudai haki zao za msingi,kweli thanks to Raila.
Yes hata ukabila umewapelekea kenya kuwa kama hivi kudai haki zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…