πππ@steveMollel mavitu kama haya m naonagan watu wazito wanajua mengi so muda wa kua na ma account rumbesa hawana.Au kua makini na ID zako uwe na consistent kwenye Uzi mmoja.Dogo usijali. Sehemu ya nne inakuja. Muda siyo mrefu naipost. Kuwa mvumilivu tu.
Sauh'waah?
Ni kwao wana ndugu, hiyo Mueda yote zamani ilikuwa ni Tanganyika, jimbo lote la Cabo Delgado.Magaidi sio watu wazuri, huko Mueda watu wa Mtwara walikuwa wanaenda bila wasawasi kama nyumbani kwao ila kwa sasa ni ngumu.
Ondoa shaka worry not every littleshit will be alright. Niko hapa kwa ajili yenu. Nondo nitakazoendelea kushusha uspime another level yani ni nondo zilizosheheni madini yaliyojitosheleza. Kuhusu ile Id yangu nyingine ya malcolm lumumba nimeipumzisha kwa muda.πππ@steveMollel mavitu kama haya m naonagan watu wazito wanajua mengi so muda wa kua na ma account rumbesa hawana.Au kua makini na ID zako uwe na consistent kwenye Uzi mmoja.
Mi kuna mwamba I'd yake ni MALCOM LUMUMBA siku izi sioni post zake ila ni mmoja wa watu wanaoni inspire kupenda mambo ya intelligence.
Upe uzi wako uzito sio kwa Nia mbaya lakini.
Nimepoteza muda kusoma utumboπOndoa shaka worry not every littleshit will be alright. Niko hapa kwa ajili yenu. Nondo nitakazoendelea kushusha uspime another level yani ni nondo zilizosheheni madini yaliyojitosheleza. Kuhusu ile Id yangu nyingine ya malcolm lumumba nimeipumzisha kwa muda.
Sitawaangusha believe me.
MBRRRRRR
gammaparticles Chaliifrancisco miviga ephen_ Ncha Kali
Usimchukie aliyefanikiwa maana kamwe kumchukia kwake hakutakuwezesha wewe kufanikiwa. Sisi tumeshiriki vita vingi sana barani Afrika bila kuwa na malengo ya nini tunapata. Tumepoteza askari wetu wengu kwenye vita vya ukombozi kule South Afrika, Msumbiji, Namibia na Ushelisheli lakini leo hao watu hawana mpango na sisi. DRC Congo tumepeleka maskari wetu mara kibao na hata sasa wapo kule bila maslahi yoyote ya maana kwa nchi. Wenzentu wanafanya hizo mission kwa faida ya askari wao na nchi zao. Hata WEGNER ya Russia haijawahi kwenda mahali bure bure bila maslahi. Mwacheni Kagame atumie vizuri furza zilizopo katika tasnia ya ulinzi kwa faida ya nchi yake. Ikibidi alete vikosi vyake na huku Tanzania kuwadhibiti wezi wa mali za umma wanaolindwa na Chama tawala na Serikali yake.Kagame tunamchukulia poa sana.
CDF kwenye hotuba yake ilitakiwa Uhamiaji waanze msako na Ikulu ianze temesha watu
Unapenda sana fujo Mbwa weDogo usijali. Sehemu ya nne inakuja. Muda siyo mrefu naipost. Kuwa mvumilivu tu.
Sauh'waah?
Achana na hao Wajinga.πππHizi akili mnatoaga wapi na Rwanda aivamie Tanzania kwa nini? ndio maana CCM wanajipigia wanavyotaka
Kwahiyo mkuu, kweli kabisa nahitajika kutoa maelezo kwamba huyo bwana si mimi? [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]@steveMollel mavitu kama haya m naonagan watu wazito wanajua mengi so muda wa kua na ma account rumbesa hawana.Au kua makini na ID zako uwe na consistent kwenye Uzi mmoja.
Mi kuna mwamba I'd yake ni MALCOM LUMUMBA siku izi sioni post zake ila ni mmoja wa watu wanaoni inspire kupenda mambo ya intelligence.
Upe uzi wako uzito sio kwa Nia mbaya lakini.
Migogoro dhidi ya wananchi!? Wananchi Gani hao!? Hao hao wanaochinjwa na magaidi kwa kigezo cha dini!? Haiingii akilini , kuwachinja watu masikini kabisa ambao hawali hata chembe Moja ya keki ya Taifa. Haowanaofanya hivyo ni wendawazimu ambao dawa yao ni Risasi TU.Migogoro mingi ya kibinadamu iliyopo barani Afrika chanzo chake hasa ni kutokana na Serikali zilizopo kwenye hizi nchi zetu kushindwa kuongoza Watu (Wananchi) vizuri. Serikali zilizopo kwenye nchi zetu hizi nyingi sana kama siyo zote ni za Kidikteta, Wala haziwajibiki kwa Wananchi matokeo yake zinazalisha mivutano na Migogoro dhidi ya wananchi.
Naam! Uzi mmoja wa akili sana. Naweza sema ni member wachache sana wenye kufuatilia taarifa za kimataifa kwa kina na kuzileta hapa jukwaani kwa kirefu na kwa lugha rafiki. Yaani hapa naona kama nasoma lile gazeti la The EastAfrican kwa jinsi lilivyosheheni makala.Huu uzi wa SteveMollel ni Kati ya nyuzi bora sana humu jf katika miaka ya hivi karibuni; ila naamini huyu mwamba yupo au ni mtaalamu wa maswala ya ulinzi na ujasusi.
Imagine ukusanyaji huu wa taarifa na picha halisi za matukio je ni uwezo wa mtu wa kawaida ambae sio TISS au MI ya TPDF?
Mimi hawa sitaacha kuwaita magaidi maana for whatever reasons, hamna validation ya hiki wanachokifanya cha kuua raia ikiwamo wanawake na watoto, tena kwa kukatakata na kuchinja!Migogoro dhidi ya wananchi!? Wananchi Gani hao!? Hao hao wanaochinjwa na magaidi kwa kigezo cha dini!? Haiingii akilini , kuwachinja watu masikini kabisa ambao hawali hata chembe Moja ya keki ya Taifa. Haowanaofanya hivyo ni wendawazimu ambao dawa yao ni Risasi TU.
Wewe ni miongoni mwa wanawake wanaopitia habari za maana. Unastahili pongezi.Baada ya kusoma nmegundua Mozambique hawawezi kusaidika mana hata wanajeshi wao hawana nidhamu na jeshi lao... ukisema uwafundishe halafu uwaachie bado tatizo liko palepale pengine hao hao wanajeshi ndo Al sunna wenyewe wanaowafundisha hao vijana wa mtaani vita kwa maslahi yao .... kuna ajenda wanayo wao wenyewe
Ndo mana hao Mercenaries wa Urusi waliishia kusema Mungu awasaidie sana maana wanaoumia ni wananchi hasa wazee/wanawake na watoto
Mana wanaume ukiona vipi unajiunga nao tu hamna namna
Ahsante sana, Jay Jay.Naam! Uzi mmoja wa akili sana. Naweza sema ni member wachache sana wenye kufuatilia taarifa za kimataifa kwa kina na kuzileta hapa jukwaani kwa kirefu na kwa lugha rafiki. Yaani hapa naona kama nasoma lile gazeti la The EastAfrican kwa jinsi lilivyosheheni makala.
Nmecheka baada ya kuwaza " paap magaidi hawa hapa!! Halafu sasa wametukusanya wanatupa somo mpaka sisi wagalatia halafu mtoa kisomo ana Ak47 mkanda uko full ππ hata ungekua ww hutokaa madrasa utulie kusikiliza Mawaidha unaanzaje kutokutulia???? We kuweza Mahi dear???Kwenye picha pale inayohusu winning hearts and mind strategy kuna jamaa hapo kashika msahafu af kiunoni anabunduki anatoa Mahubiri huku wananchi wakimsikiliza kwa makini.
Hapo inaonesha ilitumika dini kurainisha mioyo ya hao raia.
Km unavyojua wenzetu linapokuja suala la dini akili zao huwa wanaachana nazo.
Na ndio maana kuna mdau kasema tuwatoe tu Wanajeshi wetu waongeze nguvu mpakani wawe wakutosha ikibidi iwe makazi Rasmi.. Tuwaachie vuguvugu lao...Wewe ni miongoni mwa wanawake wanaopitia habari za maana. Unastahili pongezi.
Tukirudi kwenye ulichokisema, Msumbiji sio jeshi tu, hata viongozi hawana. Matatizo haya wameyatengeneza kwa mikono yao wenyewe.
Kama mimi tu huwa sielewi wanalishwa nini hadi kupigania wanachokipigania.Uwa sielewagi dhumuni la magaidi.
Mzee Trupatrupa wa Lumumba.Ondoa shaka worry not every littleshit will be alright. Niko hapa kwa ajili yenu. Nondo nitakazoendelea kushusha uspime another level yani ni nondo zilizosheheni madini yaliyojitosheleza. Kuhusu ile Id yangu nyingine ya malcolm lumumba nimeipumzisha kwa muda.
Sitawaangusha believe me.
MBRRRRRR
gammaparticles Chaliifrancisco miviga ephen_ Ncha Kali stow away
IMHO, mleta mada ameanzisha thread makusudi kujadili au kuangaza mienendo ya Rwanda na ndiyo maana ameanzia mbali tofauti na matukio ya Msumbiji pekee.Angalau wewe kidogo umejitahidi kuelezea ukweli kwa kiasi fulani, kwa bahati mbaya sana kwamba Watu wengi humu mitandaoni wamekuwa wakitoa Maoni yao kwa kuzingatia hisia zao tu bila ya kujikita kwenye ukweli kuhusu Mgogoro wenyewe.
Wanaropoka ropoka tu maneno yasiyokuwa na ukweli wala hakuna uhakika. Mgogoro huo unaihusu nchi ya Msumbiji ambayo Ina majeshi yake ya ulinzi, lakini katika hali ya kustaajabisha Jeshi linalojadiliwa sana na wachangiaji wengi zaidi ni lile kutoka nchini Rwanda (yaani Jeshi la Rwanda na Rais wa huko Paul Kagame), badala ya kulijadili Jeshi la nchi ya Msumbiji na Utawala wake uliopo huko Msumbiji. Very sad in deed.