Kinachoendelea suala la tozo ya kodi ya pango kupitia LUKU za TANESCO si sawa

Kinachoendelea suala la tozo ya kodi ya pango kupitia LUKU za TANESCO si sawa

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Hili suala ambalo mnalifanya mwezi huu tunaomba Waziri Makamba tazama upya Kodi ya tozo ya jengo ilianza mwezi Julai mwaka 2021, ajabu kuna watu wameungiwa umeme mwezi Februari 2022, wengine mwezi March 2022 wananunua umeme wanapata unit ndogo wakihoji wanambiwa umekatwa tozo ya Kodi kuanzia Julai , 2021.

Huu si uhuni mnejuaje hii nyumba ilikuwepo tangu Julai 2021.
 
Naogopa kwa hiyo! Mfano mimi nikiingiza luku mwakani watakata kutokea mwaka gani hiyo Kodi ya pango?!
 
Hili suala ambalo mnalifanya mwezi huu tunaomba Waziri Makamba tazama upya Kodi ya tozo ya jengo ilianza mwezi Julai mwaka 2021, ajabu kuna watu wameungiwa umeme mwezi Februari 2022, wengine mwezi March 2022 wananunua umeme wanapata unit ndogo wakihoji wanambiwa umekatwa tozo ya Kodi kuanzia Julai , 2021.

Huu si uhuni mnejuaje hii nyumba ilikuwepo tangu Julai 2021.
Ufafanuzi

Tafadhali tambua kuwa mwenye jengo anapaswa kulipia kodi ya jengo husika kiasi cha 12000 kwa nyumba za kawaida na kiasi cha 60000 kwa nyumba za ghorofa, hivyo basi kinachomatwa ni kiasi kilichopo kisheria kwa nyumba iliyopa nchini ndani wa mwaka wa fedha husika.

Ahsante
 
Hili suala ambalo mnalifanya mwezi huu tunaomba Waziri Makamba tazama upya Kodi ya tozo ya jengo ilianza mwezi Julai mwaka 2021, ajabu kuna watu wameungiwa umeme mwezi Februari 2022, wengine mwezi March 2022 wananunua umeme wanapata unit ndogo wakihoji wanambiwa umekatwa tozo ya Kodi kuanzia Julai , 2021.

Huu si uhuni mnejuaje hii nyumba ilikuwepo tangu Julai 2021.
Inch ngumu Sana hii[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ufafanuzi

Tafadhali tambua kuwa mwenye jengo anapaswa kulipia kodi ya jengo husika kiasi cha 12000 kwa nyumba za kawaida na kiasi cha 60000 kwa nyumba za ghorofa, hivyo basi kinachomatwa ni kiasi kilichopo kisheria kwa nyumba iliyopa nchini ndani wa mwaka wa fedha husika.

Ahsante

Kwa hiyo tutakaounganishiwa umeme Jun 2022 tutalipa kodi ya pango tokea Jul 2021?

Huu si ndiyo uhuni kazini sasa?
 
Kwa hiyo tutakaounganishiwa umeme Jun 2022 tutalipa kodi ya pango tokea Jul 2021?

Huu si ndiyo uhuni kazini sasa?
Tunakujulisha kuwa Tsh 1000 unayokatwa kila mwezi ni kurahisisha maisha kwenye ulipaji kimsingi lengo ni kulipia 12000 kwa mwaka.
 
Tunakujulisha kuwa Tsh 1000 unayokatwa kila mwezi ni kurahisisha maisha kwenye ulipaji kimsingi lengo ni kulipia 12000 kwa mwaka.
Kinachohojiwa ni uhalali wa kodi 12,000/- kwa nyumba aliyoweza kuishi mtu kuanzia Jun 2022.

Hamuoni tatizo hapo?

Kwanini angalau isiwe 1,000/- kwa mwezi kuanzia nyumba ilipounganishwa?
 
Kinachohojiwa ni uhalali wa kodi 12,000/- kwa nyumba aliyoweza kuishi mtu kuanzia Jun 2022.

Hamuoni tatizo hapo?

Kwanini angalau isiwe 1,000/- kuanzia nyumba ilipounganishwa?
Tafadhali wasiliana na mamlaka ya mapato kwa maelezo zaidi
 
Tafadhali wasiliana na mamlaka ya mapato kwa maelezo zaidi

Thibitisha, nyumba ikiunganishwa Jun 30, 2022 ikalipa umeme 12,000/- itapata 0 units, ila ikiunganishwa Jul 1, 2022 itapata umeme wa units 11,000/-.
 
Back
Top Bottom