Kuna vitu viwili hapa kwanza tuwe na fact navyo.
1. Kodi ni mwaka ila inalipwa kwa mwezi kww ajili ya unafuu hivyo kama jengo lako limewekewa umeme mwezi Juni hiyo ni ndani ya mwaka wa utekelezaji hivyo unapaswa kulipa 12k yote.
Iliwekwa kwenye umeme kwasababu ya inelastic nature ya matumizi ya umeme.
Kama unafungiwa umeme mwezi July wa mwaka wa 2 wa utekelezaji, nitakuwa kuna kosa iwapo tu watakata kuanzia July ya mwaka uliopita lakini kama wataanzia pale (July) hiyo ni sawa kwasababu kodi ni ya MWAKA si mwezi. Lipeni kodi, hata sisi tunalipa huku.