Kinachoendelea suala la tozo ya kodi ya pango kupitia LUKU za TANESCO si sawa

Kinachoendelea suala la tozo ya kodi ya pango kupitia LUKU za TANESCO si sawa

Thibitisha nyumba ikiunganishwa Jun 30, 2022 ikalipa umeme 12,000/- itapata 0 units, ila ikiunganishwa Jul 1, 2022 itapata umeme wa units 11,000/-.
Hii kodi ni Tsh 12000 kwa mwaka kwa hiyo ni wajibu wetu kuilipa
 
Hii kodi ni Tsh 12000 kwa mwaka kwa hiyo ni wajibu wetu kuilipa

Naweza kupata jibu la wazi la ndiyo au hapana kwa swali hili?

Nyumba nikiunganishwa umeme Jun 30, 2022 nikalipa umeme 12,000/- nitapata 0 units, ila nikiunganishwa Jul 1, 2022 nitapata umeme wa units 11,000/-?
 
Naweza kupata jibu la wazi la ndiyo au hapana kwa swali hili?

Nyumba nikiunganishwa umeme Jun 30, 2022 nikalipa umeme 12,000/- nitapata 0 units, ila nikiunganishwa Jul 1, 2022 itapata umeme wa units 11,000/-?
Tunarudia maelezo haya unapaswa kuyapata kupitia TRA, TANESCO ni mkataji wa kodi na sio msimamizi au mwenyejukumu la kuelezea makato husika.
 
Tunarudia maelezo haya unapaswa kuyapata kupitia TRA, TANESCO ni mkataji wa kodi na sio msimamizi au mwenyejukumu la kuelezea makato husika.

Mimi ninauliza kiasi cha units za umeme nitakazopata. Kwani TRA anauza umeme?
 
Lipeni tu na hatimaye mmezoea, Mwiguru alisema "watazoea tu" hatimaye mtoa mada umefungiwa umeme ndiyo umekuja na bandiko la malalamiko ya kupigwa.

Tanesco kawajibu hapo vizuri sana ahahahaaa, vinginevyo nendeni TRA🤭!.
 
Hili suala ambalo mnalifanya mwezi huu tunaomba Waziri Makamba tazama upya Kodi ya tozo ya jengo ilianza mwezi Julai mwaka 2021, ajabu kuna watu wameungiwa umeme mwezi Februari 2022, wengine mwezi March 2022 wananunua umeme wanapata unit ndogo wakihoji wanambiwa umekatwa tozo ya Kodi kuanzia Julai , 2021.

Huu si uhuni mnejuaje hii nyumba ilikuwepo tangu Julai 2021.
Kuanzia tarehe 1 July 2021 kodi ya jengo inalipwa kupitia Tanesco. Ili usikatwe nenda kalipe kodi ya jengo ya July hadi ulipoungiwa umeme halafu uendelee kuanzia hapo, otherwise wako sawa. Unless, jengo lako halikuwepo wakati hiyo sheria inaanza.
 
Kuanzia tarehe 1 July 2021 kodi ya jengo inalipwa kupitia Tanesco. Ili usikatwe nenda kalipe kodi ya jengo ya July hadi ulipoungiwa umeme halafu uendelee kuanzia hapo, otherwise wako sawa. Unless, jengo lako halikuwepo wakati hiyo sheria inaanza.
Umeelezea vizuri sana

Ahsante
 
Ukununua umeme tunakupatia unit na makato yote tafadhali

Mbona vigumu kujibu maswali ya wazi hivyo ndugu?

1. Hivi kama nikiunganisha umeme Jun 30 2022 kisha nikanunua umeme wa 12,000/- nitapata units ngapi?

2. Je nikiunganishwa Jul 1, 2022 nikanunua umeme wa 12,000/- nitapata units ngapi?

Majibu ya wazi kwa #1 na #2 tafadhali.
 
Mbona vigumu kujibu maswali ya wazi hivyo ndugu?

1. Hivi kama nikiunganisha umeme Jun 30 2022 kisha nikanunua umeme wa 12,000/- nitapata units ngapi?

2. Je nikiunganishwa Jul 1, 2022 nikanunua umeme wa 12,000/- nitapata units ngapi?

Majibu ya wazi kwa #1 na #2 tafadhali.
Utapata unit za pesa uliyotoa kama utakuwa hauna makato mengine kama kodi ya majengo.
 
Kuanzia tarehe 1 July 2021 kodi ya jengo inalipwa kupitia Tanesco. Ili usikatwe nenda kalipe kodi ya jengo ya July hadi ulipoungiwa umeme halafu uendelee kuanzia hapo, otherwise wako sawa. Unless, jengo lako halikuwepo wakati hiyo sheria inaanza.

Huo usawa uko wapi ndugu. Kwa vile tu wewe haikuhusu?

Kwanini hiyo kodi isije per day? Au basi per month?

Kwani wizi ni nini?
 
Huo usawa uko wapi ndugu. Kwa vile tu wewe haikuhusu?

Kwanini hiyo kodi isije per day? Au basi per month?

Kwani wizi ni nini?
Kodi ni kiasi cha 12000 kwa mwaka unalipaje ndio utaratibu umerahishwa
 
Mbona vigumu kujibu maswali ya wazi hivyo ndugu?

1. Hivi kama nikiunganisha umeme Jun 30 2022 kisha nikanunua umeme wa 12,000/- nitapata units ngapi?

2. Je nikiunganishwa Jul 1, 2022 nikanunua umeme wa 12,000/- nitapata units ngapi?

Majibu ya wazi kwa #1 na #2 tafadhali.
Wewe ndo una kichwa kigumu. Nyie ndo wananchi wasumbufu mnaosumbua bila sababu za msingi.
 
Utapata unit za pesa uliyotoa kama utakuwa hauna makato mengine kama kodi ya majengo.

Si useme tu nikinunua Jun 30, 2022 nitapata 0 units?

Huu ni wizi wa wazi.

Ushauri wa bure angalau chukueni kwa mgawanyo per day au per month.

Vinginevyo ni ukibaka tu kama ule wa kuku.
 
Tafadhali wasiliana na mamlaka ya mapato kwa maelezo zaidi
Wacheni majibu ya juu na yenye kukwepa kuwajibika. Nyie ndiyo mnaotekeleza hiyo sheria. Je wakati mnamfungia umeme mteja hamchukui maelezo ya nyumba kama ni ya nani na imekuwa hapo tangu lini. Kivipi mtu alipe kodi ya jengo ambalo halikuwepo? Kama jengo lilikuwepo hapo ingeleta sense kidogo. Je kama sheria itakuwepo miaka 10 mbele ndio kusema anayejenga mwaka wa 9 adaiwe kodi ya nyumba ya miaka yote 10 nyuma? Is that logical? Unahitaji kumshauri mteja awasiliane na TRA hapo??

Infact, nyie ndio muwasiliane na TRA wawape majibu muwaambie wateja wenu maana wananchi wanajua pesa wanakatwa na Tanesco. Msifanye mazoea kwenye maisha ya watu.
 
Back
Top Bottom