Hii nchi ni ya ajabu Sana, wazee ambao kimsingi nyumba zao zilisamehewa Kodi, lakini kupitia hii Kodi wanalipa Kodi ya majengo. Wazee ambao hata kununua umeme pato Hilo hawana Ila serikali kupitia tanesco imeendelea kuwatoza Kodi, pasipo huruma huku wazee akuna Yusufu makamba wakiramba asali