Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

Maombi ya kazi umeshapeleka?
 
UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA Tume inatarajia kufanya uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa daftati la kudumu la wapiga kura tarehe 01 julai, 2024 mkoani kigoma na mgeni rasmi anatarajia kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, mhe. Kassim majaliwa majaliwa (MB).
 
Hivi inamaanisha hiyo julai 1 ndio tarehe ya zoezi kuanza uandikishaji nchi nzima au litaanzia Kigoma then mikoa mingine?
 
Ingia website ya tume walipost tareh y uzinduzi ila hawakusema majina yatatoka lini
Hiyo kilaa mtu anajua uzinduzi tar 1 July lakini kuhusu lini majina yanatoka hakuna anayejua ni tetesi tu kila mtu ni kama anakisia
 
Watendaji kata na wenyeviti wa Vijiji wameketi Leo kujadili majina ya waombaji, kigezo kikubwa ni kuwa wanachama wa CCM ndio wanaopewa kipaumbele zaidi, kama siyo mwanachama basi omba Sana Mungu kuweza kuvuka hicho kinyang'anyiro.
Huu ni uchochezi 😎
 

View: https://youtu.be/RYWaQUEDlyU
 
Watendaji kata na wenyeviti wa Vijiji wameketi Leo kujadili majina ya waombaji, kigezo kikubwa ni kuwa wanachama wa CCM ndio wanaopewa kipaumbele zaidi, kama siyo mwanachama basi omba Sana Mungu kuweza kuvuka hicho kinyang'anyiro.
Hii comment unaweza jua jamaa anatania lakini huu ndo ukweli 100% japo mchungu. Kubali kataa ndoi imeenda hiyooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…