DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Dogo mbishi Sana anakariri mambo hajui tunasubiri shule zifungwe ndo zoezi lianze maana tunatumia madarasa katika kuandikisha.Kazi ni mwezi wa sita dogo....majina tunatoa soon tutawatangazia
Wazee wa fact [emoji3][emoji3][emoji3]Dogo mbishi Sana anakariri mambo hajui tunasubiri shule zifungwe ndo zoezi lianze maana tunatumia madarasa katika kuandikisha.
Maombi ya kazi umeshapeleka?Mimi Nina PDF ya uchaguzi wa mwisho Yani mwaka 2019 imeelezea kuanzia cku majina ya waandishi wa wapiga kura yanavotoka, cku ya uwandikishaji pamoja na uchaguzi..
Uandikishaji mwaka 2019 ulifanyika mwezi wa kumi na uchaguzi ulifanyika mwezi wa 11
Training ilikua siku tatu na uandikishaji ulikua Ni siku saba
Usibishane na hako katoto, haelewi ratiba tayari imepangwa bado utekelezaji tuDogo mbishi Sana anakariri mambo hajui tunasubiri shule zifungwe ndo zoezi lianze maana tunatumia madarasa katika kuandikisha.
Sawa mkurugenzi mkuu wa tume ya Taifa ya UchaguziUsibishane na hako katoto, haelewi ratiba tayari imepangwa bado utekelezaji tu
UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA Tume inatarajia kufanya uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa daftati la kudumu la wapiga kura tarehe 01 julai, 2024 mkoani kigoma na mgeni rasmi anatarajia kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, mhe. Kassim majaliwa majaliwa (MB).Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza nafasi ya kazi ya muda mfupi kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa BVR ambapo tarehe ya mwisho ya kutumia maombi ilikuwa tarehe 27/04/2024.
Baada ya hapo kumekuwa na maswali mengi watu wakiulizana kwenye mitandao ya kijamii na maswali hayo ambayo watu wamekuwa wakijiuliza yamelenga zaidi juu ya:
1. Lini majibu ama orodha ya waliochaguliwa itatoka?
2. Lini usaili / interview itafanyika?
3. Lini semina itaanza na itafanyika kwa muda gani?
4. Lini kazi yenyewe itaanza na itachukua muda gani?
5. Taarifa juu ya yote hayo yanayojiri yatapatikana kwa njia gani?
Kwa mimi binafsi nadhani kwa mlioomba hizo nafasi muwe watulivu na kwa namna mlivyopokea hayo matangazo ya kazi ndivyo mtakavyojuzwa msije mkapotoshana. Vyanzo vya kuaminika kuna Tovuti ya tume husika, ofisi za kata, vijiji/ mitaa, mkurugenzi e.t.c.
N.B kwa yule atakayekuwa wa kwanza kupata taarifa yoyote sahihi na chanzo sahihi ajulishe wenzake kupitia Uzi huu ama kama una namba zake za simu mjulishe ili asije akapitwa na fursa.
Asanteni na karibuni.
Hivi inamaanisha hiyo julai 1 ndio tarehe ya zoezi kuanza uandikishaji nchi nzima au litaanzia Kigoma then mikoa mingine?UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA Tume inatarajia kufanya uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa daftati la kudumu la wapiga kura tarehe 01 julai, 2024 mkoani kigoma na mgeni rasmi anatarajia kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, mhe. Kassim majaliwa majaliwa (MB).
😀😀😀😀Sawa mkurugenzi mkuu wa tume ya Taifa ya Uchaguzi
Wala usjar mkuu,zoezi ni kuanzia julai 1, majina yatatoka kuanzia 15 june.Siku zinasogea
Umepata wapi hiyo au ndo makisio?Wala usjar mkuu,zoezi ni kuanzia julai 1, majina yatatoka kuanzia 15 june.
Wala usjar mkuu,zoezi ni kuanzia julai 1, majina yatatoka kuanzia
Naskia tareh 1 julai Zoezi Ni Kwa mkoa wa kigoma na mikoa ya Kanda ya ziwa pekeeWala usjar mkuu,zoezi ni kuanzia julai 1, majina yatatoka kuanzia 15 june.
Ingia website ya tume walipost tareh y uzinduzi ila hawakusema majina yatatoka liniUmepata wapi hiyo au ndo makisio?
Hiyo kilaa mtu anajua uzinduzi tar 1 July lakini kuhusu lini majina yanatoka hakuna anayejua ni tetesi tu kila mtu ni kama anakisiaIngia website ya tume walipost tareh y uzinduzi ila hawakusema majina yatatoka lini
Huu ni uchochezi 😎Watendaji kata na wenyeviti wa Vijiji wameketi Leo kujadili majina ya waombaji, kigezo kikubwa ni kuwa wanachama wa CCM ndio wanaopewa kipaumbele zaidi, kama siyo mwanachama basi omba Sana Mungu kuweza kuvuka hicho kinyang'anyiro.
KivipiHuu ni uchochezi 😎
Alikuwa anamjibu aliyesema kipaumbele ni kwa wanachama wa CCMKivipi
Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza nafasi ya kazi ya muda mfupi kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa BVR ambapo tarehe ya mwisho ya kutumia maombi ilikuwa tarehe 27/04/2024.
Baada ya hapo kumekuwa na maswali mengi watu wakiulizana kwenye mitandao ya kijamii na maswali hayo ambayo watu wamekuwa wakijiuliza yamelenga zaidi juu ya:
1. Lini majibu ama orodha ya waliochaguliwa itatoka?
2. Lini usaili / interview itafanyika?
3. Lini semina itaanza na itafanyika kwa muda gani?
4. Lini kazi yenyewe itaanza na itachukua muda gani?
5. Taarifa juu ya yote hayo yanayojiri yatapatikana kwa njia gani?
Kwa mimi binafsi nadhani kwa mlioomba hizo nafasi muwe watulivu na kwa namna mlivyopokea hayo matangazo ya kazi ndivyo mtakavyojuzwa msije mkapotoshana. Vyanzo vya kuaminika kuna Tovuti ya tume husika, ofisi za kata, vijiji/ mitaa, mkurugenzi e.t.c.
N.B kwa yule atakayekuwa wa kwanza kupata taarifa yoyote sahihi na chanzo sahihi ajulishe wenzake kupitia Uzi huu ama kama una namba zake za simu mjulishe ili asije akapitwa na fursa.
Asanteni na karibuni.
Hii comment unaweza jua jamaa anatania lakini huu ndo ukweli 100% japo mchungu. Kubali kataa ndoi imeenda hiyoooooWatendaji kata na wenyeviti wa Vijiji wameketi Leo kujadili majina ya waombaji, kigezo kikubwa ni kuwa wanachama wa CCM ndio wanaopewa kipaumbele zaidi, kama siyo mwanachama basi omba Sana Mungu kuweza kuvuka hicho kinyang'anyiro.