Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
NakaziaToka lini muislam akajali wenzie wa dini nyingine..? Usilam ni unyama na ugaidi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaToka lini muislam akajali wenzie wa dini nyingine..? Usilam ni unyama na ugaidi..
Hamas wanaenda kuua watoto majumbani na kwenye sherehe hakuna anayesema.kitu.Hakuna mtu anaekasrika Mtu yoyote akipigana na yoyote. Ila watu wanakasirika raia wa sio na hatia kuuliwa. Juzi Hospitali, kabla ya hapo Hospitali nyengine, jana wamepiga Bakery, then baadae Apartment, Hadi Kituo Cha Un ambacho kilihifadhi wakimbizi kimepigwa, so far hakuna data zozote wamekufa Hamas wangapi, kuna uwezekano Hamas waliokufa hata 100 hawafiki, ila wanawake na watoto? Maelfu wamekufa, Inshort Majority ya waliokufa ni wanawake na watoto.
Mtu yoyote yule Awe Israel awe Hamas, Awe Usa, awe Babaako ama Babaangu ni Cowards na mpuuzi wa mwisho dunia hii kama njia yake ya kupigana vita ni kutarget wanawake na watoto, Mrembe utakavyomremba ila huo ndio ukweli.
Halafu hao hao wanao msema Benzema wanahamasisha uhuru wa kuongea, hapo ndipo unaposhangaa.Kinachoendelea Ulaya baada ya mchezaji wa Mpira Kareem Benzema kuonesha kuwa anaisupport Palestina
— France officially accuses him of being member of the Muslim Brotherhood
— MP in France wants to revoke his citizenship
— A representative in France wants to withdraw his Golden Ball
Mkuu mbona watu kibao wanakemea. Au unamaanisha watu gani?NAOMBA KUJUZWA JE NI KWANINI WATU HAWAKEMEI KITENDO CHA HAMAS KUIVAMIA ISRAEL NA KUINGIA KWENYE FESTVAL NA KUUWA WATU MAMIA? KUVAMIWA ISRAEL KWANINI IONEKANE KAMA JAMBO JEMA TU?, DUNIA HAIPO SAWA KWA HILI.
🤣🤣Benzema ana mwonekano wa kigaidi
Mkuu mbona watu kibao wanakemea. Au unamaanisha watu gani?
wameuliwa bila sababu? foolHAMAS limeundwa na Israel Na Taliban limeundwa na USA.
Na Palestina wanauliwa with or Without Hamas, Western Bank kuna Hamas? Si Hamna kule? Wale si wana Amani? Mbona wanauliwa na Amani yao? For your Information toka hii vita ya Gaza Ianze wiki iliopita Tayari Wapalestina 54 wa Western Bank wamefariki na wengine zaidi ya 1000 wamejeruhiwa, kama Israel inapigana na Hamas why waue na Western Bank ambapo Hamna Hamas?
Unahitaji kuwa Binadamu tu kutambua huu ni uonevu
Kwa sababu wamefanya hivyo kwa sababu ya uonevu wa Israel.NAOMBA KUJUZWA JE NI KWANINI WATU HAWAKEMEI KITENDO CHA HAMAS KUIVAMIA ISRAEL NA KUINGIA KWENYE FESTVAL NA KUUWA WATU MAMIA? KUVAMIWA ISRAEL KWANINI IONEKANE KAMA JAMBO JEMA TU?, DUNIA HAIPO SAWA KWA HILI.
NAOMBA KUJUZWA JE NI KWANINI WATU HAWAKEMEI KITENDO CHA HAMAS KUIVAMIA ISRAEL NA KUINGIA KWENYE FESTVAL NA KUUWA WATU MAMIA? KUVAMIWA ISRAEL KWANINI IONEKANE KAMA JAMBO JEMA TU?, DUNIA HAIPO SAWA KWA HILI.
Hata mimi ndo swali najiuliza.NAOMBA KUJUZWA JE NI KWANINI WATU HAWAKEMEI KITENDO CHA HAMAS KUIVAMIA ISRAEL NA KUINGIA KWENYE FESTVAL NA KUUWA WATU MAMIA? KUVAMIWA ISRAEL KWANINI IONEKANE KAMA JAMBO JEMA TU?, DUNIA HAIPO SAWA KWA HILI.
Unaweza ukanipa Source yoyote Hamas karusha Makombora 10000?Hamas wanaenda kuua watoto majumbani na kwenye sherehe hakuna anayesema.kitu.
Halafu hao henchmen wako wanaenda kujificha katikati ya raia na kutusha makombora kwa afui yao, unataka kusema kuwa ni sahihi kuwagumia raia kama ngao?
Waambieni HAMAS waingie battlefield wasifichame kwenye majengo na makusanyiko ya raia.
Yale makombora zaidi ya 10,000 waliyoyarusha kuelekea Israel, waliepusha nyumba za raia wa Israel?
Mimi nasimama na Amani
kasome mambo ya rwanda jinsi anavyopata utajiri congo.Safi sana, hapa nakubaliana na wewe
Sasa kwanini Israel akipambana na kundi la HAMAS ambalo ni yeye mwenyewe kalianzisha unakasirika?
Na kwanini US akipambana na Taliban ambalo ni kundi mwenyewe kalianzisha wewe hutaki??
Hebu niambie wewe Western Bank wame fanya nini Vita hii? Jana Nimeandika wamefariki around 50 mpaka leo wameshafika 60 na kitu. Watoto wawili wameuliwa sababu walikua wanachoma matairi.wameuliwa bila sababu? fool
Ndiyo maana wanalilia watu wa jinsia zote wasukutuliwe na magunzi "huku"Wazungu wa siku hizi wajinga sana sio kama wale wa enzi za wakina Newton na Einstain.
Muislam ndugu yake MuislamKinachoendelea Ulaya baada ya mchezaji wa Mpira Kareem Benzema kuonesha kuwa anaisupport Palestina
— France officially accuses him of being member of the Muslim Brotherhood
— MP in France wants to revoke his citizenship
— A representative in France wants to withdraw his Golden Ball
Hao wazungu wa enzi hizo waliona kufanya biashara ya utumwa na kutawala mataifa mengine ni jambo la kifahari😂😂Wazungu wa siku hizi wajinga sana sio kama wale wa enzi za wakina Newton na Einstain.