Kinachoendelea Ulaya baada ya mchezaji wa Mpira Kareem Benzema kuonesha kuwa anaisupport Palestina

Kinachoendelea Ulaya baada ya mchezaji wa Mpira Kareem Benzema kuonesha kuwa anaisupport Palestina

Hakuna mtu anaekasrika Mtu yoyote akipigana na yoyote. Ila watu wanakasirika raia wa sio na hatia kuuliwa. Juzi Hospitali, kabla ya hapo Hospitali nyengine, jana wamepiga Bakery, then baadae Apartment, Hadi Kituo Cha Un ambacho kilihifadhi wakimbizi kimepigwa, so far hakuna data zozote wamekufa Hamas wangapi, kuna uwezekano Hamas waliokufa hata 100 hawafiki, ila wanawake na watoto? Maelfu wamekufa, Inshort Majority ya waliokufa ni wanawake na watoto.

Mtu yoyote yule Awe Israel awe Hamas, Awe Usa, awe Babaako ama Babaangu ni Cowards na mpuuzi wa mwisho dunia hii kama njia yake ya kupigana vita ni kutarget wanawake na watoto, Mrembe utakavyomremba ila huo ndio ukweli.
Hao wanaokufa ndio Hamasi wenyewe sasa ndio maana makelele yamezidi kwa Wana jihad wenzao.
 
Hakuna mtu anaekasrika Mtu yoyote akipigana na yoyote. Ila watu wanakasirika raia wa sio na hatia kuuliwa. Juzi Hospitali, kabla ya hapo Hospitali nyengine, jana wamepiga Bakery, then baadae Apartment, Hadi Kituo Cha Un ambacho kilihifadhi wakimbizi kimepigwa, so far hakuna data zozote wamekufa Hamas wangapi, kuna uwezekano Hamas waliokufa hata 100 hawafiki, ila wanawake na watoto? Maelfu wamekufa, Inshort Majority ya waliokufa ni wanawake na watoto.

Mtu yoyote yule Awe Israel awe Hamas, Awe Usa, awe Babaako ama Babaangu ni Cowards na mpuuzi wa mwisho dunia hii kama njia yake ya kupigana vita ni kutarget wanawake na watoto, Mrembe utakavyomremba ila huo ndio ukweli.
Jeshi la HAMAS linakaa wapi?

Kwanini watu wanaruhusu HAMAS wapaki makombora yao kwenye huduma za watu na makazi ya watu???

Halafu hawataki kuvaa uniform, wakianza kupigwa wanakimbilia kwa raia?
 
Mambo mengine ni ya ajabu sana hivi hapa anasupport Palestine au unasuport Hamas maana kile kitendo cha Hamas kwenda kuua raia wasio na hatia tena bila kujali ni mtoto, mzee, mgonjwa, mkristo muislam au myahudi ule ni zaidi ya unyama na wanapaswa kuingia gharama kwa kile walichokifanya.

Hamas wasitumie raia wa palestine kama ngao ya kuficha uovu wao. Kwani Somalia wao mbona ni jamii moja na dini moja lakini bado wanachinjana? huyo Benzema mbona hakuwahi kukemea kundi la Al shabab? Tuache unafiki haya makundi ya namna hii sio ya kuyatetea, hata hayo makundi yakishika madaraka huwatesa raia wao kisha hao raia wanaanza kukimbia nchi zao na kwenda huko Ulaya mfano Talebani.
kwa maana hiyo walipokuwa wakiuwawa wapalestina kila kuchwapo ni sahihi sababu israil ni taifa lenu teule ama sio hivyo
 
NAOMBA KUJUZWA JE NI KWANINI WATU HAWAKEMEI KITENDO CHA HAMAS KUIVAMIA ISRAEL NA KUINGIA KWENYE FESTVAL NA KUUWA WATU MAMIA? KUVAMIWA ISRAEL KWANINI IONEKANE KAMA JAMBO JEMA TU?, DUNIA HAIPO SAWA KWA HILI.
Unafiki wa walimwengu. Ilipaswa waislamu kama wanavyokemea mashambulizi ya Israel ingeenda sanjari na kukemea kwanza Hamas kuua raia kwenye tamasha. Hamas ana makosa hivyohivyo Israel. Kukemea kusiwe na ubaguzi.
 
Jeshi la HAMAS linakaa wapi?

Kwanini watu wanaruhusu HAMAS wapaki makombora yao kwenye huduma za watu na makazi ya watu???

Halafu hawataki kuvaa uniform, wakianza kupigwa wanakimbilia kwa raia?
Palestine and Hamas are one!
 
Jeshi la HAMAS linakaa wapi?

Kwanini watu wanaruhusu HAMAS wapaki makombora yao kwenye huduma za watu na makazi ya watu???

Halafu hawataki kuvaa uniform, wakianza kupigwa wanakimbilia kwa raia?
Swali hili naliuza mara 100 na zaidi na wapenda amani wengine duniani, West Bank kuna Hamas? Na wao wanauliwa sababu gani?

Hii jana Western Bank mtoto mdogo huyo Kala sniper bila sababu yoyote


Kama tatizo ni Hamas tulitegemea western bank kusiwe na Casualties yoyote lakini nao wanauliwa kama Gaza.

Wakishamaliza wapalestina wote watafuatia Jordan, Wakimaliza hapo watasema Egpty ni yao walikua kabla ya pharaoh Wakimaliza hapo sasa muchukuliwe watu weusi Utumwani muwasaidie na Nyie mnaowaimbia mapambio sasa hivi maana kitabu Chao na Marabi wao wa naamini mtu mweusi anafaa tu kuwa mtumwa.
 
Safi sana, hapa nakubaliana na wewe

Sasa kwanini Israel akipambana na kundi la HAMAS ambalo ni yeye mwenyewe kalianzisha unakasirika?

Na kwanini US akipambana na Taliban ambalo ni kundi mwenyewe kalianzisha wewe hutaki??
Angekuwa anapambana na HAMAS isingekuwa shida, tatizo anatumia excuse ya kupambana na HAMAS ili kufanikisha ajenda yake pana zaidi ya kudemonise wapalestina, kuwatia kibano ili aendelee na mkakati wake wa kuwatimua ktk ile ardhi kwa kisingizio cha self defense
 
Angekuwa anapambana na HAMAS isingekuwa shida, tatizo anatumia excuse ya kupambana na HAMAS ili kufanikisha ajenda yake pana zaidi ya kudemonise wapalestina, kuwatia kibano ili aendelee na mkakati wake wa kuwatimua ktk ile ardhi kwa kisingizio cha self defense
Kuna busara kubwa TATU za msingi zitumike kwa kuanzia.

- Kwanza usijiingize kwenye vita ambayo huna uhakika wa kushinda.

- Wapalestina wajitenge na HAMAS, Kwasababu siyo kundi pekee linalotafuta haki ya wapalestina. Isipokuwa HAMAS ni kundi pekee linaloamini kwenye vita.

- HAMAS wawe na makao yao mbali na makazi ya watu, na makombora yao yawekwe kwenue maeneo yao siyo kwenye makazi ya watu, mashuleni au kwenye huduma za afya.
 
Kuna busara kubwa TATU za msingi zitumike kwa kuanzia.

- Kwanza usijiingize kwenye vita ambayo huna uhakika wa kushinda.

- Wapalestina wajitenge na HAMAS, Kwasababu siyo kundi pekee linalotafuta haki ya wapalestina. Isipokuwa HAMAS ni kundi pekee linaloamini kwenye vita.

- HAMAS wawe na makao yao mbali na makazi ya watu, na makombora yao yawekwe kwenue maeneo yao siyo kwenye makazi ya watu, mashuleni au kwenye huduma za afya.

Sasa usipopambana si ndo unamalizwa kabisa?

Kustruggle kujikomboa ni haki, mnyonge akifa wakati wa kutafuta kujikomboa, lawama haiwezi kwenda kwake, lawama inaenda kwa Muonevu anayemkandamiza mwenzie
 
Sasa usipopambana si ndo unamalizwa kabisa?

Kustruggle kujikomboa ni haki, mnyonge akifa wakati wa kutafuta kujikomboa, lawama haiwezi kwenda kwake, lawama inaenda kwa Muonevu anayemkandamiza mwenzie
Sasa Kama wamechagua vita, watajijua wenyewe.

Hata ukipigana na adui yako, huwezi kutegemea umpige yeye akae atulie tu.
 
Yaani israel ijiundie adui kisha ianze kupambana na adui aliyemtengeneza mwenyewe, how come, are you serious?
Inawezekana mkuu, unawajua mujahedeen wa afghanistan walivokuwa pete na kidole na us, unajua jinsi walivokuja kumgekua us na kumfanya vibaya.
 
Israel imekalia ardhi ya palestina kimabavu
Ndiyo sababu ya HAMAS kuvamia sherehee? Na inakupa uhalali wa wewe kwenda kuvamia anakalia Ardhi yako kimabavu? Wale waliokuwa kwenye sherehe walikuwa na kosa gani
 
Ndiyo sababu ya HAMAS kuvamia sherehee? Na inakupa uhalali wa wewe kwenda kuvamia anakalia Ardhi yako kimabavu? Wale waliokuwa kwenye sherehe walikuwa na kosa gani
Wewe mtu mtemi akikuonea huwa unafanyaje?
 
Back
Top Bottom