Kinachoendelea Ulaya baada ya mchezaji wa Mpira Kareem Benzema kuonesha kuwa anaisupport Palestina

Kinachoendelea Ulaya baada ya mchezaji wa Mpira Kareem Benzema kuonesha kuwa anaisupport Palestina

Na hapo hatujaongelea ukwapuzi wa ardhi unaofanywa na walowezi wa Kizayuni miaka yote hii , hata UN land resolution ya miaka ile haitiliwi maanani na wazayuni ,wapumbavu wanatoka huko ulaya kwa kufadhiliwa na Israel wanakuja kuchoma mashamba na makazi ya wapalestina na kukalia kimabavu ,bado harrassment , mashambulizi yasiyoisha yanafanyika kwa wapalestina kila kukicha miaka yote hiyo .
Ni nani anayewatetea wapalestina ?
Kilichofanyika kwa wapalestina miaka 75 hii sasa tangia uvamizi wa wayahudi feki toka Ulaya kina kila sifa ya ethnic cleansing na genocide .
Ni nani wa kuvumilia ujinga na upuuzi kama huo ?
Hao wanaofanyiwa hayo mambo wakae tu wanaangalia ?
 
Yaani nyinyi watoto mlio patikania kwenye madanguro ya malaya wa bei rahisi mna matatizo sana.
We mpumbavu usidhani kila mtu uzao wa kishetani/kigaidi kama wewe ambae ukizaliwa na upungufu wa akili kenge wewe
 
Waislam na Waarabu ni watu wa ajabu, Wengi walienda Ulaya kama wakimbizi sababu walikoswa kuuwawa nchini kwao na hakuweza kujipigania, Mfano ni Syria.

Kwa nini wasirudi kuipigania Gaza
 
Waislam na Waarabu ni watu wa ajabu, Wengi walienda Ulaya kama wakimbizi sababu walikoswa kuuwawa nchini kwao na hakuweza kujipigania, Mfano ni Syria.

Kwa nini wasirudi kuipigania Gaza
Watakubali sasa. Hao watapiganja kwenye keyboard ku type basi. Kwanza ingekua mm ndio mkuu wa umoja wa ulata wakimbizi woote wakiarabu ningewarudisha kwa lazima kwao.
 
Waislam na Waarabu ni watu wa ajabu, Wengi walienda Ulaya kama wakimbizi sababu walikoswa kuuwawa nchini kwao na hakuweza kujipigania, Mfano ni Syria.

Kwa nini wasirudi kuipigania Gaza
Waislamu na waarabu au umekusudia waarabu?
 
Back
Top Bottom