Kinachofanyika kwenye kutekwa, kupotezwa au kuuawa bila kujulikana kwa watu popote ulimwenguni

Kinachofanyika kwenye kutekwa, kupotezwa au kuuawa bila kujulikana kwa watu popote ulimwenguni

Clandestine ni blanket term inayohusisha infiltration
 
Huku kwetu ni Amani ndio maana wanafanikiwa kupanga mashambulizi lkn kwenye vitendo wana angukia pua
 
Makampuni makubwa mengi yanaweza kuvunja uhusiano na Saudia
Kwa mfano dili la Richard Branson ameahirisha na Uber na wengi watafanya hivyo.

Lakini hayo ni makampuni tu kwa misimamo yao na kupinga udhalimu unaoendelea.

Lakini kama tunavyojua mataifa ya magharibi wana maslahi mapana na Saudia kwa hiyo hizi ni bla bla tu hawawezi kumfanya kitu

Angalia wanavyouwa Yemen lakini hawamfanyi kitu.

Haya yatapita na hakuna watakachomfanya believe me

Mda si mrefu kuna Canadians walikamatwa Saudia na Canada wakakasirika lakini saudia walichofanya walituma ndege na kurudisha wanafunzi wote waliokuwa wanasoma Canada na kufunga biashara na Canada

Europeans na USA hawawezi kumfanya kitu kwa kumuwekea vigezo vyovyote.

Huyu kijana crown Prince ni muuwaji na amefanya makusudi kutuma watu wammalize ubalozini
Pompei ameenda kunywa chai Saudia
Unafikiri atawafanya nini? Tusubiri tuone
Saudia nao zamu yao kuja kuvurugwa kiuchumi kama nchi nyingine za kiarabu yaja tu ipo siku yao sema wao wajanja hawaiingilii masilahi ya Marekani na ni watiifu kwa USA
 
Saudia nao zamu yao kuja kuvurugwa kiuchumi kama nchi nyingine za kiarabu yaja tu ipo siku yao sema wao wajanja hawaiingilii masilahi ya Marekani na ni watiifu kwa USA
Hao ni vibaraka hawaguswi na wanategemewa kwa uchumi wa mataifa makubwa
Inasemekana ndio wanaongoza kwa hela
Kwa hiyo watanunua chochote mzungu atakachotengeneza hata kama iwe bei mara tatu
Wanalindwa hao Royal family kwa thamani kubwa
 
Yes, inatakiwa tuangalie majirani tunashindana nao vipi
Je na hao tunaosema ni wawekezaji ushindani wao ukoje "maana pia inawezekana wanashindana wao kwa wao"
Pia unaweza kuta ni hujuma ili kuwatisha wawekezaji wasije kwetu waogope kuvamiwa na kutekwa

Ingekuwa ni vikosi vya waasi
Huwa wanaweza kuuwa raia makusudi ili serikali iwape wanachokitaka
Wanafanya kitu inaitwa surbortage, wakifanya hivyo then raia wanaanza kuichukia serikali yao, au wawekezaji wanaanza kuogopa kuwekeza

Kwamfano
Jimbo la Cambinda kule Angola waasi wa huko baada ya kuona eneo lao lina mafuta mengi, wakaanza kufanya hujuma mpaka wakawavamia wachezaji wa team ya Taifa ya Togo.

Hapo kwenye surbortage nadhani umemaanisha Sabotage!
 
Haya mambo nimeyajua sana kupitia movies na series

Some time undercover anaweza kutumwa kazi ili a-influence adui, halafu yeye ndio anakuwa influenced na adui, mwisho wa siku anaiba siri kwa waliomtuma halafu anapeleka kwa adui

Hatari sana haya mambo
Mkuu niwekee move hizo ni download,,
 
Hao ni vibaraka hawaguswi na wanategemewa kwa uchumi wa mataifa makubwa
Inasemekana ndio wanaongoza kwa hela
Kwa hiyo watanunua chochote mzungu atakachotengeneza hata kama iwe bei mara tatu
Wanalindwa hao Royal family kwa thamani kubwa
Ni kweli USA ina mlinda na ina soko kubwa lakini kuna siku watajisahau tu siunajua mataifa makubwa ni yakinyonyaji kazi yao kuharibu imagine Syria ilivokuwa vzuri na sasa imekuwa magofu matupu. Mabepari hawakuachi ustawi sana uwazidi lazima wakumalize tu. Time will tell na Saudia amekuwa akitumika kuzinyoosha nchi nyingine za kiaarabu akitumiwa na USA
 
Kuna kitu umechanganya kidogo. JWTZ ni army, hawako involved with direct action kama tiss.
Ila ndani ya JWTZ kuna kikosi cha military intelligence na hawa wanatumika sana sana kwenye ku spy adui nje ya mipaka au nyakati za vita.

Na place my bet in TISS. Ndani ya tiss kuna vikosi vya direct action. A.k.a direct action units.
Hawa wako responsible na utekaji, uuaji, sabotage. Na zile mission za hatari. members wanakuwa wamepitia mafunzo ya kikomando na wengi huchukuliwa kutokea jwtz.

My bet ni tiss.. Not MI

Nilikuwa narahisisha kuwaambia vile ili waelewe.
Mkuu nashukuru kwa kukazia elimu hii muhimu. Maana kila ukipita mtaani, vijiweni au mitandaoni jamaa wana hate serikali. Lakini nikagundua kuwa ni uelewa mdogo. Sasa hapa wataanza kuelewa kidogokidogo. Kumbuka ya Kibiti-Mkuranga wengi walikuwa wanashabikia ule uharifu.

Ahsante sana
 
Huu ni upotoshaji wa kijinga kabisa,na ni urongo,undefinedtofautisha mambo ya mafia na mambo mengine,undefinedngoja wakutrace kama hujaimba haleluya kwa huu upotoshaji
Mzee wa Kremlin mbna vitisho vingi kama S-300 kumbe michuma chuma tu ile kama mapima ya gongo
 
Je kwenye iyo group upande wa usalama wa taifa hua kunakuepo na kiongozi wa Msafara? Yani kama platoon kamanda kwenye vikosi vya kijeshi? Kama yupo hua anachukua hatua gani juu ya adhabu inayotelwa baada ya Operation Kufeli/kutofanikiwa kwa maslahi ya waty wake
 
Zaidi ya kingereza sijaona jipya uliloliandika hapo, hayo yote tumekua tukiyatizama kwenye movie kusoma story za spies hasa zile ambazo taasisi husika imeamua kuzitoa kwa jamii mfano operation ya kumuua ERNESTO CHE GUEVARA nk.

Kuna experience moja watumishi wa idara ya afya (manesi na madakitari) wamekua wakiisimulia sana kwamba MWANAMKE ANAKUA NA HAMU YA KUPATA MIMBA KIASI ANAATHIRIKA KISAIKOLOJIA KITENDO AMBACHO KINAMPELEKEA KUPATA KILA DALILI ZA MWANAMKE MJAMZITO Kama vile kutapika asubuhi, kupendelea chakula cha aina fulani kumchukia mtu, harufu na mengineyo, tatizo Ni kwamba akipimwa mkojo wanakuta HANA MIMBA.

Nadhani tumeelewana.
 
Back
Top Bottom