Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Nahisi hili tatizo la umeme kama lipo kimchongo mchongo tu. Hata ikitokea huo mtambo wa JNHPP ukiwashwa ukaanza kufanya kazi bado zitatafutwa sababu kadha wa kadha ili umeme ukatike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea kama FalaTatizo ni dili dili juz kati wazir flan hv kaongeza howo 100 kwenye kampun ya mzee wangu unazan hela wanatoa wapi kama sio hukohuko nimtaje nisimtaje mpaka hapa yeye kashanijua ngoja nikatafu madereva mana nimepewa tenda ya kusimamia oya vijana kama unajiona una lesen clas e na una uzoefu wa miaka miwili barabaran njoo pm nikupe chuma za kodi yenu yamaji iwepo kama unaona natania kaa hapo hapo kijiwen endeleen kusema tajir flan mchaw mbona kaongeza tena kumbe kodi zenu, ngoja niende zangu nikakague trailler hapa
Nchi hii imewahi kupitia migao ya umeme lakini huu mgao wa sasa kiboko.Muda mwingine mbeya uyole hapa inachukua 2days hakuna umeme
Wewe haujawahi kuwa na akili na ulizokuwa nazo ulikozipeleka hazitokaa zirudi.Tulieni mambo mazuri yanakuja mtafurahi wenyewe watanzania wenzangu. Serikali ipo kazini usiku na mchana kuhakikisha kuwa changamoto hii ya umeme wa mgao inafika kikomo na kuisha kabisa.
Naomba tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu maana tulikotoka ni mbali na sasa tupo karibu kufika nchi ya ahadi ,mahali ambapo umeme utapatikana na kuwaka muda wote bila kuzimwa wala kukatwa na mtu yeyote yule. Nawaombeni sanaa tena sanaa tuwe na subira Ndugu zangu Watanzania.
Wewe K jua kuanzia leo kuwa mimi sijawahi, sio na sitakaa niwe chawa. Mimi nimeamua tu kusapoti uongozi wa kidemokrasia wa Mama Samia. Nina kipato changu cha kunitosha bila kuwa chawa wa mtu. Isitoshe ningetaka kupita hiyo njia ya kufaidika kupitia wanasiasa nisingeshindwa kwasababu nina watu wengi mno huko. Comment yangu nimeiandika bila kuegemea upande wowote.Kwahiyo na wewe Chawa wa Mama nae unalalamika miaka 63 na tatu ya Uhuru nilikuwa naongelea CHADEMA kitakapochukua Madaraka.
BalaaNchi hii imewahi kupitia migao ya umeme lakini huu mgao wa sasa kiboko.
🚮Tulieni mambo mazuri yanakuja mtafurahi wenyewe watanzania wenzangu. Serikali ipo kazini usiku na mchana kuhakikisha kuwa changamoto hii ya umeme wa mgao inafika kikomo na kuisha kabisa.
Naomba tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu maana tulikotoka ni mbali na sasa tupo karibu kufika nchi ya ahadi ,mahali ambapo umeme utapatikana na kuwaka muda wote bila kuzimwa wala kukatwa na mtu yeyote yule. Nawaombeni sanaa tena sanaa tuwe na subira Ndugu zangu Watanzania.
MSEMAJI WA SERIKALI...Tulieni mambo mazuri yanakuja mtafurahi wenyewe watanzania wenzangu. Serikali ipo kazini usiku na mchana kuhakikisha kuwa changamoto hii ya umeme wa mgao inafika kikomo na kuisha kabisa.
Naomba tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu maana tulikotoka ni mbali na sasa tupo karibu kufika nchi ya ahadi ,mahali ambapo umeme utapatikana na kuwaka muda wote bila kuzimwa wala kukatwa na mtu yeyote yule. Nawaombeni sanaa tena sanaa tuwe na subira Ndugu zangu Watanzania.
Mbona Povu lote hilo?Wewe K jua kuanzia leo kuwa mimi sijawahi, sio na sitakaa niwe chawa. Mimi nimeamua tu kusapoti uongozi wa kidemokrasia wa Mama Samia. Nina kipato changu cha kunitosha bila kuwa chawa wa mtu. Isitoshe ningetaka kupita hiyo njia ya kufaidika kupitia wanasiasa nisingeshindwa kwasababu nina watu wengi mno huko. Comment yangu nimeiandika bila kuegemea upande wowote.
Kusema kwamba CHADEMA ndo kitakuja kurekebisha mambo ya umeme kikichukua madaraka ni upumbavu mwingine umeropoka. Kama wao walimweka mgombea urais mwenye kashfa kuhusu umeme unadhani walikuwa wana nia nzuri kuhusu hili tatizo? Kuna saa tuongee kizalendo sio kutegemea hawa wanasiasa.
Una roho ngumu sana !Tulieni mambo mazuri yanakuja mtafurahi wenyewe watanzania wenzangu. Serikali ipo kazini usiku na mchana kuhakikisha kuwa changamoto hii ya umeme wa mgao inafika kikomo na kuisha kabisa.
Naomba tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu maana tulikotoka ni mbali na sasa tupo karibu kufika nchi ya ahadi ,mahali ambapo umeme utapatikana na kuwaka muda wote bila kuzimwa wala kukatwa na mtu yeyote yule. Nawaombeni sanaa tena sanaa tuwe na subira Ndugu zangu Watanzania.
Tupeni kwanza dola ndio tuwaambie tutakachofanya 😆😆Nyie kama upinzani mna kipi mbadala mtafanya tukiwapa dola!!?
Sababu ziko wazi,demand is high vs supplyHaijulikani sababu hasa ya Shida ya umeme kuwa kubwa kiasi hiki , ila sasa ni dhahiri ni tatizo kubwa sana .
Dar es salaam ni kama raia wamezoea shida hiyo, huko Mbeya, wilaya ya Kyela kimsingi ni kama umeme haupo, tangu ulivyokatika saa 11 alfajiri, hadi muda huu haujarejeshwa.
Tukiwapa dola?....Nyie kama upinzani mna kipi mbadala mtafanya tukiwapa dola!!?
Tatizo la umeme sio la TANESCO ni la kisiasa zaidi.Tutaondoa Monopoly ya TANESCO tutaruhusu Makampuni yaje yawekeze kwenye Umeme.
GarbageTulieni mambo mazuri yanakuja mtafurahi wenyewe watanzania wenzangu. Serikali ipo kazini usiku na mchana kuhakikisha kuwa changamoto hii ya umeme wa mgao inafika kikomo na kuisha kabisa.
Naomba tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu maana tulikotoka ni mbali na sasa tupo karibu kufika nchi ya ahadi ,mahali ambapo umeme utapatikana na kuwaka muda wote bila kuzimwa wala kukatwa na mtu yeyote yule. Nawaombeni sanaa tena sanaa tuwe na subira Ndugu zangu Watanzania.