Mkuu, Sio vema tuwaache wamezwe mdomoni mwa simba, hata kama kuna mahali wanamakosa, tuendelee kuwatetea mkuuHao watu wa chini unaowasema ndio chanzo cha Serikali kutowajibika kwa wananchi. Hawa ndiyo wanakuwa watu wa kwanza kuunga mkono Serikali kwa kila kiti, hata inapowaonea watu...
Unategemea hilo bunge ambalo 'halikuchaguliwa' na wananchi lifanye kazi hiyo!!Mimi kwa mtazamo wangu wale watu ambao wanaona hii issue ni ngumu kwao warudi tu kwenye Yale maisha ya zamani kabla issue ya simu ama miamala kuja. Maana sidhani Kama Kuna ulazima wa kutumia simu kwenye Jambo lolote.
Ambao hawataki wafungie simu zao makabatini na wenye kutaka wakubaliane na hali halisi. Muhimu hapa ni hii Kodi tunayokatwa itumike Kama ilivyokusudiwa. Bunge na mamlaka husika ziifuatilie kwa ukaribu Sana. Sio tukatwe kodi halafu ziishie kufaidisha watu binafsi kwa kuzidokoa.
Sijui ni kivipi mtu anapofika kwenye level fulani ya maisha hutaka kuilazimisha akili yake kuwa na wengine wote wako kama yeye
Badala ya kurudisha akili zake kule alikotoka ili ayapime maisha aliyopitia na hatimaye aone pia wale ambao bado wako huko wanapitia ugumu uleule aliowahi kuupitia yeye kabla hajafika hapo alipo, hata akichaguliwa/bahatika kuwa katika nafasi Fulani ya uongozi, Aumize kichwa chake jinsi ya kuisaidia jamii masikini,
Kusaidia Jamii kama kiongozi, hauhitaji utoe pesa mfukoni mwako
Ni kuweka sera wezeshi ambazo zitaifanya jamii hii masikini kufikia uwalau maisha ya kufurahia uwepo wao hapa duniani
Jamii yetu bado masikini sana, bahati mbaya kabisa, Kuzaliwa kwetu katika jamii ambayo haikuwahi kuona shida, isitufanye kutotambua kwamba shida zipo
Kinacho kwenda kufanyika sasa kwenye sera ya makato ya miamala ya simu, ni kwenda kuzidisha ukali wa maisha kwa jamii kubwa ya watu wa maisha ya chini na kuathiri uchumi wao mdogo unaotegemea jasho jingi ili mtu apate mlo wa siku
Naishauri serikali, Kwa sababu tunajamii kubwa ambayo inaishi kwa kutegemea maisha ya kubangaiza, na kwa sababu tozo hiyo ya miamala na laini ya simu ni mpango wa serikari ipate kodi ili kuendeleza miradi na ujenzi wa barabara vijini
Badala ya kodi hiyo kuingizwa kwenye huduma hizi mhimu na kuifanya huduma hii iwe na makato makubwa kiasi cha kufanya wazee wetu kule vijini wakose msaada kutoka kwa vijana wao wanaowatumia vijisenti vya kujipatia mahitaji yao
Kodi hii ihamishiwe upande wa abiria wanaosafiri kwa mabasi kwenda mikoani, usafiri wa Treni, meli, na ndege, na kodi yake iwe ni kila abilia atakatwa kodi ya sh 1,000 tu kwa kila abiria anayetumia usafiri wa basi kwenda mkoani,
Serikali itafute namna ya kulipa hiyo kodi, ni au iunganishwe kwenye tiketi, msafiri badala ya kulipa 10,000 alie 11000,
Itawaokoa wengi ambao hata hawajui ni lini watapanda basi, ndege, meli wala treni kwa maana hawana huo uwezo, lakini wanasimu na hawapigi simu wao, zaidi husubiri wapigiwe tu na kutumiwa pesa kidogo
Umeweka hoja yako kwa umakini na weledi mkubwa sana, ili dhahabu ing'ae basi lazima ipite kwenye moto mkali ..kwa hiyo ili akili za hawa masikini wenzangu wanaojiona wanyonge wakipigwa na hili rungu basi kwa wakati mwingine akili zitakaa sawa. kongratis uliejibu hoja[emoji108]Hao watu wa chini unaowasema ndio chanzo cha Serikali kutowajibika kwa wananchi. Hawa ndiyo wanakuwa watu wa kwanza kuunga mkono Serikali kwa kila kiti, hata inapowaonea watu.
Hili rungu likae hapo hapo, limbonde kila mtu kichwani, ili akili iliyolala iamke. Wasipopata maumivu hao unaowaita watu wa chini, siku zote wataendelea kuwa kikwazo cha mabadiliko yanayohitajika ili kuwa na uongozi unaowajibika kwa umma.
Hata wakati marehemu, kwa udikteta tu, alipoamua kuwaonea wenye pesa, akawa anawabambikia kesi, anawateka, anawapoteza, kundi kubwa la waliokuwa wakifurahia, ni hilo kundi la watu maskini.
Ilianzia hapaDah! Mkuu Umeandika kwa hisia sana ila kiukweli tunaumia
Utetezi wenye nguvu ni ule wenye kuungwa mkono na umma. Utetezi mwingine wowote hauwezi kuwa na impact ya kuweza kuleta mabadiliko.Mkuu, Sio vema tuwaache wamezwe mdomoni mwa simba, hata kama kuna mahali wanamakosa, tuendelee kuwatetea mkuu
Wewe ni moja ya watu humu mliojifanya hamuoni umuhimu wa katiba mpya sasa hivi unajifanya kulalamika.unalalamika nini sasa?.Wacha ukamiliwe wakazitumie wenye nchi wewe endelea kukodoa macho hadi akili zitakapokujia.Ni taifa la kujitolea kwa kila khali, lakini kwa bahati mbaya kabisa utasikia, Fedha zimepotea, fedha bilioni ngapi zimeibiwa sjui na nani, sijui taasisi fulani inajilipa posho ngapi kwa siku
Hii ndio inayoliza walipa kodi
Mkuu, unaushahidi?Wewe ni moja ya watu humu mliojifanya hamuoni umuhimu wa katiba mpya sasa hivi unajifanya kulalamika.unalalamika nini sasa?.Wacha ukamiliwe wakazitumie wenye nchi wewe endelea kukodoa macho hadi akili zitakapokujia.
Na bahati mbaya sana sina akili ya kushikiwaWewe ni moja ya watu humu mliojifanya hamuoni umuhimu wa katiba mpya sasa hivi unajifanya kulalamika.unalalamika nini sasa?.Wacha ukamiliwe wakazitumie wenye nchi wewe endelea kukodoa macho hadi akili zitakapokujia.
Unapigwaaa mwingi kwel kwel..alisikika malisa godlisten, tindo, babati..n.k.Sijui ni kivipi mtu anapofika kwenye level fulani ya maisha hutaka kuilazimisha akili yake kuwa na wengine wote wako kama yeye
Badala ya kurudisha akili zake kule alikotoka ili ayapime maisha aliyopitia na hatimaye aone pia wale ambao bado wako huko wanapitia ugumu uleule aliowahi kuupitia yeye kabla hajafika hapo alipo, hata akichaguliwa/bahatika kuwa katika nafasi Fulani ya uongozi, Aumize kichwa chake jinsi ya kuisaidia jamii masikini,
Kusaidia Jamii kama kiongozi, hauhitaji utoe pesa mfukoni mwako
Ni kuweka sera wezeshi ambazo zitaifanya jamii hii masikini kufikia uwalau maisha ya kufurahia uwepo wao hapa duniani
Jamii yetu bado masikini sana, bahati mbaya kabisa, tunao baadhi ya viongozi ambao tangu kuzaliwa hawaijui shida, na ndiyo maana imekuwa ni rahisi kwa viongozi kama hao kupiga makofi kwenye mijadara mingine inayoumiza walala hoi, Lakini Kuzaliwa kwetu katika jamii ambayo haikuwahi kuona shida, isitufanye kutotambua kwamba masikini wa masikini wapo, na shida zipo
Kinacho kwenda kufanyika sasa kwenye sera ya makato ya miamala ya simu, ni kwenda kuzidisha ukali wa maisha kwa jamii kubwa ya watu wa maisha ya chini na kuathiri uchumi wao mdogo unaotegemea jasho jingi ili mtu apate mlo wa siku
Naishauri serikali, Kwa sababu tunajamii kubwa ambayo inaishi kwa kutegemea maisha ya kubangaiza, na kwa sababu tozo hiyo ya miamala na laini ya simu ni mpango wa serikari ipate kodi ili kuendeleza miradi na ujenzi wa barabara vijini
Badala ya kodi hiyo kuingizwa kwenye huduma hizi mhimu na kuifanya huduma hii iwe na makato makubwa kiasi cha kufanya wazee wetu kule vijini wakose msaada kutoka kwa vijana wao wanaowatumia vijisenti vya kujipatia mahitaji yao
Kodi hii ihamishiwe upande wa abiria wanaosafiri kwa mabasi kwenda mikoani, usafiri wa Treni, meli, na ndege, na kodi yake iwe ni kila abilia atakatwa kodi ya sh 1,000 tu kwa kila abiria anayetumia usafiri wa basi kwenda mkoani,
Serikali itafute namna ya kulipa hiyo kodi, ni au iunganishwe kwenye tiketi, msafiri badala ya kulipa 10,000 alie 11000,
Itawaokoa wengi ambao hata hawajui ni lini watapanda basi, ndege, meli wala treni kwa maana hawana huo uwezo, lakini wanasimu na hawapigi simu wao, zaidi husubiri wapigiwe tu na kutumiwa pesa kidogo
Eehh..kama walishindwaa kutumia kodi za nyuma kufanya hata mambo madogo tu mfano madawati kwa wanafunzi had jpm akaja na kuliondoa hilo tatizo kwa kiwango kikubwaa unazani hata wakikata elfu sana kwa kila raia wataweza kufanya jambo zaid ya kujilipa wao na familia zao..sahau hilo halipo..barabara zitabak kama zilivyo...na kila kitu kitakuwa business as usual..Mimi kwa mtazamo wangu wale watu ambao wanaona hii issue ni ngumu kwao warudi tu kwenye Yale maisha ya zamani kabla issue ya simu ama miamala kuja. Maana sidhani Kama Kuna ulazima wa kutumia simu kwenye Jambo lolote.
Ambao hawataki wafungie simu zao makabatini na wenye kutaka wakubaliane na hali halisi. Muhimu hapa ni hii Kodi tunayokatwa itumike Kama ilivyokusudiwa. Bunge na mamlaka husika ziifuatilie kwa ukaribu Sana. Sio tukatwe kodi halafu ziishie kufaidisha watu binafsi kwa kuzidokoa.
Magu aligusa mafisadi mkalalamika kwamba anabambika kesii..anaonea watu..sasa hv mama anawagusaa nyie wanyonge hohe hahee..sasa sijui mtafanyajeee..kaz iendeleeeeeeeeeeKweli nimeamini nchini Ina viongozi wahuni tu,nina hasira Sana basi tu.
Laki moja ukitumiwa, ukienda kutoa unakatwa jumla ya sh 6000 badala ya sh 3250, huu ni wizi kwa serikali kwa wananchi wakeUnapigwaaa mwingi kwel kwel..alisikika malisa godlisten, tindo, babati..n.k.
JPM mtamkumbukaaa tuu..iwe isiweee..
Hivi tunatambua ata mb zilizotumia humu. Ni matumizi yasiyo yalazima?Mkuu haya ndiyo matatizo nilosema kwenye bandiko hili, Ukibahatika kuwa na maisha fulani hivi, usisahau pia kuwa kuna mtu hajafikia hayo maisha, bahati mbaya hii kodi inaenda kukusanywa kwa kiwango kilekile cha mtu wa chiiini zaidi, wa kati na wa juu kwa kiwango kilekile,
Kwa nini kodi hizi zisielekezwe kwa wasafiri wa ndege, meli, mabasi ya mikoa n.k?
Kumtoza abiria hiyo Kodi Kuna tofauti gani na kutoza kwenye Simu.After all ukitoza kwenye nauli pesa haitafika yote serikaliniSijui ni kivipi mtu anapofika kwenye level fulani ya maisha hutaka kuilazimisha akili yake kuwa na wengine wote wako kama yeye
Badala ya kurudisha akili zake kule alikotoka ili ayapime maisha aliyopitia na hatimaye aone pia wale ambao bado wako huko wanapitia ugumu uleule aliowahi kuupitia yeye kabla hajafika hapo alipo, hata akichaguliwa/bahatika kuwa katika nafasi Fulani ya uongozi, Aumize kichwa chake jinsi ya kuisaidia jamii masikini,
Kusaidia Jamii kama kiongozi, hauhitaji utoe pesa mfukoni mwako
Ni kuweka sera wezeshi ambazo zitaifanya jamii hii masikini kufikia uwalau maisha ya kufurahia uwepo wao hapa duniani
Jamii yetu bado masikini sana, bahati mbaya kabisa, tunao baadhi ya viongozi ambao tangu kuzaliwa hawaijui shida, na ndiyo maana imekuwa ni rahisi kwa viongozi kama hao kupiga makofi kwenye mijadara mingine inayoumiza walala hoi, Lakini Kuzaliwa kwetu katika jamii ambayo haikuwahi kuona shida, isitufanye kutotambua kwamba masikini wa masikini wapo, na shida zipo
Kinacho kwenda kufanyika sasa kwenye sera ya makato ya miamala ya simu, ni kwenda kuzidisha ukali wa maisha kwa jamii kubwa ya watu wa maisha ya chini na kuathiri uchumi wao mdogo unaotegemea jasho jingi ili mtu apate mlo wa siku
Naishauri serikali, Kwa sababu tunajamii kubwa ambayo inaishi kwa kutegemea maisha ya kubangaiza, na kwa sababu tozo hiyo ya miamala na laini ya simu ni mpango wa serikari ipate kodi ili kuendeleza miradi na ujenzi wa barabara vijini
Badala ya kodi hiyo kuingizwa kwenye huduma hizi mhimu na kuifanya huduma hii iwe na makato makubwa kiasi cha kufanya wazee wetu kule vijini wakose msaada kutoka kwa vijana wao wanaowatumia vijisenti vya kujipatia mahitaji yao
Kodi hii ihamishiwe upande wa abiria wanaosafiri kwa mabasi kwenda mikoani, usafiri wa Treni, meli, na ndege, na kodi yake iwe ni kila abilia atakatwa kodi ya sh 1,000 tu kwa kila abiria anayetumia usafiri wa basi kwenda mkoani,
Serikali itafute namna ya kulipa hiyo kodi, ni au iunganishwe kwenye tiketi, msafiri badala ya kulipa 10,000 alie 11000,
Itawaokoa wengi ambao hata hawajui ni lini watapanda basi, ndege, meli wala treni kwa maana hawana huo uwezo, lakini wanasimu na hawapigi simu wao, zaidi husubiri wapigiwe tu na kutumiwa pesa kidogo
Acha kuweweseka wewe.sasa hivi baada ya hili kukugusa ndio unajifanya unatoa mawazo yako.Wale wengine waliokua wanatoa mawazo yao kuhusu katiba mbona hukuona nawao walikua wanatoa mawazo yao?.au ulidhani mambo ovyo nchi hii hayatakugusa.Na usijisahaulishe maana coment zako zakubeza ziko nyingi tu.Dunia duara.Mkuu, unaushahidi?
na hata kama unaushahidi, huwezi kunilazimisha nistoe maoni yangu kisa niko kinyume na mawazo yako