Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Hawajasilimu wala kuokoka= wanaenda KWA waganga na wachawi.

So it is the same thing. Wanapo enda huko Wana enda kunajisi nguvu zao za asili. Wana direct energy zao KWA viumbe wasivyo vijua badala ya ku amini katika uwezo wao wenyewe.


Mwanadamu ni Mungu kabisa my brother. Nimezaliwa katika uislamu lakini Biblia inaposema " Mwanadamu ameumbwa KWA sura na mfano wa Mungu ni kweli kabisa mkuu"

Na hapo bado sijamuasha (nyoka /kundalini) anae ishi ndani ya KILA mwanadamu.
So mkuu just believe in urself and see how ur life take a u turn
Hakuna anaejua mungu ni nani maana yeye mwenyewe yupo sirini na anajifunua kwa watu wenye siri tu na siwengne wwote
 
Hapa kariakoo misikiti inajaa, Njoo usiku hao wenye maghorofa/Apartment ambao bilioni kadhaa haziwqsumbui utawakuta kibao misikitini, hakuna mahusiano yoyote baina ya Ibada na umasikini/Utajiri.
Afu kuna kitu inabid ukijue watu wengi wenye mafanikio wanaenda makanisan ama misikitin for a social gain and not kumlilia Mungu,ni sehem ambazo watakutana na watu wakujumuika nao hata ikitokea kafiwa ama ana ndoa asikose watu mana dunia ya sasa km husali utaonekana km shetani watu hawachelew kukutenga

Ko Tajir unayemuona Msikitin anajiwekea mazngira ili siku akiwahitaji nyie kwny shughuli zake iwe rahis
 
Wewe unaabudu matamanio ya nafsi yako as i said earlier!!

Mungu mwenyewe anatambua uwepo wa Dini, wewe ni nani useme huamini kuhusu dini?

Quran 3:19

Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu
Yaan kupitia uislam huwa naamini dini ni upuuzi kuna hoja mkiulizwa huwa hamjibu kabsa,yan mnaruka hamrud tena
 
Kwahiyo wewe una uhuru wa kushiriki mapenzi ya jinsia moja ukawa na mume wako ili tu ukidhi matamanio ya nafsi yako?
Kwamb unataka kumpangia kitu gan afanye, sometimes me huwa hata naamini hatuambiwa na Mungu bali binadam ni matokeo ya natural process ya kujamiiana, inakuaje Mungu anamuumba binadam mwny jinsi mbili ili iweje,au wanaume wanaozaliwa na hormonal imbalance mwisho wa siku wanaishia kuwa mashoga ili iweje?!!

Kwann uumbaji usiwe fair ili umpe kila mtu nafas sawa ktk kutafuta na kufanikiwa??

Kwann watoto wengne wanazaliwa na ukosefu wa akili then anakuwa tegemez maisha yake yote?!!

Au tukubaliane kuwa Mungu ni mbaguz wakuu?!!

Nyie mnaosema hasa ww uloandika huu uzi kwmb mungu katupatia kipawa cha kufanya kila kitu bila kumlilia yy,vip aliezaliwa hana miguu wala mikono?!! Vip wanaozaliwa na congenital anomalies zinazonyiwa uwezo wa kujishughulisha?!!
 
Hiv waslamu mnaenda Macca kufanyaje km sio ignorance, mnaenda kuongeza mapato kupitia utalii uarabuni,yan nguzo moja wapo ya dini inabagua kipato cha waumini wake,jengeni mecca yenu kigamboni kila mtu akafanye ibada,,

Na kuna hili la mabikra 70 na nyongeza asee nyie watu hiv mko serious
 
Hiv waslamu mnaenda Macca kufanyaje km sio ignorance, mnaenda kuongeza mapato kupitia utalii uarabuni,yan nguzo moja wapo ya dini inabagua kipato cha waumini wake,jengeni mecca yenu kigamboni kila mtu akafanye ibada,,

Na kuna hili la mabikra 70 na nyongeza asee nyie watu hiv mko serious
Kama unawaonea wivu wanawake wa peponi basi kuwa wewe ili tikugegede.
 
Afu kuna kitu inabid ukijue watu wengi wenye mafanikio wanaenda makanisan ama misikitin for a social gain and not kumlilia Mungu,ni sehem ambazo watakutana na watu wakujumuika nao hata ikitokea kafiwa ama ana ndoa asikose watu mana dunia ya sasa km husali utaonekana km shetani watu hawachelew kukutenga

Ko Tajir unayemuona Msikitin anajiwekea mazngira ili siku akiwahitaji nyie kwny shughuli zake iwe rahis
Pengine mkuu huijui misikiti ya kkoo, watu wanaswali kwenye ngazi, corridor, wengine wanafunga barabara, ghorofani na maeneo kibao. Unaweza swali na mtu mwaka mzima msionane.

Na Tajiri ni Tajiri tu awe anaswali ama haswali akikohoa tu maustadhi kibao wanakuja, hii nchi kuna masheikh ubwabwa wa kutosha tu huhitaji effort unaweza kusanya maelfu ya watu kama wewe ni tajiri na una shughuli.

Kuswali swala 5 kunahitaji imani ngumu kupretend, kuamka saa 11 asubuhi uache mke wako na umoto wa kitanda utoke ukaoge maji ya baridi uende msikitini inataka imani thabiti na sio kupretend.
 
Sijui huo uwezo wa kuzungumzia dini mbili tofauti kwenye jambo moja umeupata wapi, ni kama vile umewatisha watu wasiokoke bila kujua, au kwa kujua.

Kimsingi nakuona hauna huo uwezo, ulichojaribu kufanya hapa ni sawa na kusema Mungu huwatupa wale wanaookoka, au kubadili dini.

Kwangu nizungumzie upande wa kuokoka, maandiko yanatuambia malaika hushangilia mbinguni mtu mmoja anapookoka, hii maana yake anajiweka karibu zaidi na Mungu.

Kinachomkuta huyu mpaka aonekane kufeli maisha tofauti na mwanzo, ni majaribu kwake kuongezeka baada ya kuokoka, kwani shetani huangaika zaidi na wanaomtumikia Mungu zaidi ya wale wapenda anasa za dunia..

Anachotakiwa kufanya huyu, ni kusimama kwenye imani, akiyashinda majaribu ya shetani bila kuyumba, basi hakika atarudi katika hali yake ya zamani, au zaidi, kwani maandiko yanatuambia tumtafute kwanza yeye, na mengine tutazidishiwa.
Hujamuelewa hata alichoandika
 
You are the true son of your Father. Wewe ndio umejua naongea kuhusu nini.

denooJ soma alicho kiandika huyu mwamba kwa sababu ndicho nilicho kusudia kukileta hapa jukwaani. Siwezi kuwa na jibu lolote bora kwako kuliko alicho kiandika huyu mwamba.

Be blessed
Naongezea: hata ule mfano wa talanta alioutoa Yesu ulihusu maneno haya haya. Ulifanyia nini talanta uliyopewa, ulizalisha nini? Aisee lile Yesu aliliongea kama fumbo ila baada ya kupata hiki chakula ulicholeta nimeelewa
 
Naongezea: hata ule mfano wa talanta alioutoa Yesu ulihusu maneno haya haya. Ulifanyia nini talanta uliyopewa, ulizalisha nini? Aisee lile Yesu aliliongea kama fumbo ila baada ya kupata hiki chakula ulicholeta nimeelewa
Pamoja sana
 
Hapo kwenye maombi ndipo mnapo feli.

Mungu hahitaji umuombe chochote KWA sababu amekupa KILA kitu tayari. KILA kitu kipo ndani YAKO.

Ibada pekee inayo kubalika mbele za Mungu ni ibada ya shukurani.

Unamshukuru Mungu kwa kuku umba na kuweka nguvu zake ndani YAKO..
Hapana hapa umeharibu, amesema ombeni lolote mtapewa, kuomba Elia alisimamisha mvua lakini katika kuirudisha ilimlazimu aombe, yapo ya kuomba na yapo ya kupambana kama ulivyosema
 
Humu jf usipoangalia vizuri unaweza jikuta umepotoshwa vibaya Sana na watu,,, na Ndio maana wanasemaga akili za kuambiwa changanya na zako ili ufanye maamuzi yenye busara.

Mungu alimuumba mwanadamu ili amsifu na kumhusujudu yeye( Mungu)pekee yake, na Ndio maana Kwenye zile amri alizopewa Musa Kuna amri inasema WORSHIP NO OTHER GOD BUT ME.Pigia mstari neno WORSHIP.Ku- worship maana Yake Ni kumuabudu Mungu kwa kumpa sifa kwamba yeye Ni mkuu kuliko miungu mingine yote.

Ukiisoma Biblia vizuri utakutana na vifungu vingi Sana( Sina muda wa kukutajia hivyo vifungu maana unavijua na una Biblia Kwenye Simu yako unaweza ukajisomea mwenyewe) ambavyo vinasema sisi wanadamu tuna jukumu la kumuabudu Mungu pekee.
 
The power of nature, imezungumzwa vizuri sana na Napoleon Hill kaika kitabu chake cha The laws of Success. Kuna uhusianao Mkubwa sana wa nature na mafanikio na maporomoko ya mtu.

Watu wasome, waache kuchezewa na washika mistari.
Softcopy mkuu tusaidiee
 
Back
Top Bottom