Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Hakuna anaejua mungu ni nani maana yeye mwenyewe yupo sirini na anajifunua kwa watu wenye siri tu na siwengne wwote
 
Hapa kariakoo misikiti inajaa, Njoo usiku hao wenye maghorofa/Apartment ambao bilioni kadhaa haziwqsumbui utawakuta kibao misikitini, hakuna mahusiano yoyote baina ya Ibada na umasikini/Utajiri.
Afu kuna kitu inabid ukijue watu wengi wenye mafanikio wanaenda makanisan ama misikitin for a social gain and not kumlilia Mungu,ni sehem ambazo watakutana na watu wakujumuika nao hata ikitokea kafiwa ama ana ndoa asikose watu mana dunia ya sasa km husali utaonekana km shetani watu hawachelew kukutenga

Ko Tajir unayemuona Msikitin anajiwekea mazngira ili siku akiwahitaji nyie kwny shughuli zake iwe rahis
 
Yaan kupitia uislam huwa naamini dini ni upuuzi kuna hoja mkiulizwa huwa hamjibu kabsa,yan mnaruka hamrud tena
 
Kwahiyo wewe una uhuru wa kushiriki mapenzi ya jinsia moja ukawa na mume wako ili tu ukidhi matamanio ya nafsi yako?
Kwamb unataka kumpangia kitu gan afanye, sometimes me huwa hata naamini hatuambiwa na Mungu bali binadam ni matokeo ya natural process ya kujamiiana, inakuaje Mungu anamuumba binadam mwny jinsi mbili ili iweje,au wanaume wanaozaliwa na hormonal imbalance mwisho wa siku wanaishia kuwa mashoga ili iweje?!!

Kwann uumbaji usiwe fair ili umpe kila mtu nafas sawa ktk kutafuta na kufanikiwa??

Kwann watoto wengne wanazaliwa na ukosefu wa akili then anakuwa tegemez maisha yake yote?!!

Au tukubaliane kuwa Mungu ni mbaguz wakuu?!!

Nyie mnaosema hasa ww uloandika huu uzi kwmb mungu katupatia kipawa cha kufanya kila kitu bila kumlilia yy,vip aliezaliwa hana miguu wala mikono?!! Vip wanaozaliwa na congenital anomalies zinazonyiwa uwezo wa kujishughulisha?!!
 
Hiv waslamu mnaenda Macca kufanyaje km sio ignorance, mnaenda kuongeza mapato kupitia utalii uarabuni,yan nguzo moja wapo ya dini inabagua kipato cha waumini wake,jengeni mecca yenu kigamboni kila mtu akafanye ibada,,

Na kuna hili la mabikra 70 na nyongeza asee nyie watu hiv mko serious
 
Kama unawaonea wivu wanawake wa peponi basi kuwa wewe ili tikugegede.
 
Pengine mkuu huijui misikiti ya kkoo, watu wanaswali kwenye ngazi, corridor, wengine wanafunga barabara, ghorofani na maeneo kibao. Unaweza swali na mtu mwaka mzima msionane.

Na Tajiri ni Tajiri tu awe anaswali ama haswali akikohoa tu maustadhi kibao wanakuja, hii nchi kuna masheikh ubwabwa wa kutosha tu huhitaji effort unaweza kusanya maelfu ya watu kama wewe ni tajiri na una shughuli.

Kuswali swala 5 kunahitaji imani ngumu kupretend, kuamka saa 11 asubuhi uache mke wako na umoto wa kitanda utoke ukaoge maji ya baridi uende msikitini inataka imani thabiti na sio kupretend.
 
Hujamuelewa hata alichoandika
 
Naongezea: hata ule mfano wa talanta alioutoa Yesu ulihusu maneno haya haya. Ulifanyia nini talanta uliyopewa, ulizalisha nini? Aisee lile Yesu aliliongea kama fumbo ila baada ya kupata hiki chakula ulicholeta nimeelewa
 
Naongezea: hata ule mfano wa talanta alioutoa Yesu ulihusu maneno haya haya. Ulifanyia nini talanta uliyopewa, ulizalisha nini? Aisee lile Yesu aliliongea kama fumbo ila baada ya kupata hiki chakula ulicholeta nimeelewa
Pamoja sana
 
Hapana hapa umeharibu, amesema ombeni lolote mtapewa, kuomba Elia alisimamisha mvua lakini katika kuirudisha ilimlazimu aombe, yapo ya kuomba na yapo ya kupambana kama ulivyosema
 
Humu jf usipoangalia vizuri unaweza jikuta umepotoshwa vibaya Sana na watu,,, na Ndio maana wanasemaga akili za kuambiwa changanya na zako ili ufanye maamuzi yenye busara.

Mungu alimuumba mwanadamu ili amsifu na kumhusujudu yeye( Mungu)pekee yake, na Ndio maana Kwenye zile amri alizopewa Musa Kuna amri inasema WORSHIP NO OTHER GOD BUT ME.Pigia mstari neno WORSHIP.Ku- worship maana Yake Ni kumuabudu Mungu kwa kumpa sifa kwamba yeye Ni mkuu kuliko miungu mingine yote.

Ukiisoma Biblia vizuri utakutana na vifungu vingi Sana( Sina muda wa kukutajia hivyo vifungu maana unavijua na una Biblia Kwenye Simu yako unaweza ukajisomea mwenyewe) ambavyo vinasema sisi wanadamu tuna jukumu la kumuabudu Mungu pekee.
 
The power of nature, imezungumzwa vizuri sana na Napoleon Hill kaika kitabu chake cha The laws of Success. Kuna uhusianao Mkubwa sana wa nature na mafanikio na maporomoko ya mtu.

Watu wasome, waache kuchezewa na washika mistari.
Softcopy mkuu tusaidiee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…