Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Ungebadili heading.
Kuokoka au kusilim hakumfanyi mtu kufeli kimaisha Bali mapokeo mabaya ya neno ndio huumfelisha mtu.
Ukimshika Mungu na ukafanya kazi that's a very good combination.
Walokole tupo hapa tunapiga kazi na maombi tunapiga kama kawaida tumeshikilia mstari wa,"Nayaweza mambo yote katika yeye anitiae nguvu"
Yani nilitaka kusema hivi
 
Mkuu nitake radhi mimi sina dini. Kuniuliza mimi dini gani ni sawa na kunitukania shangazi yangu.

Anyways nimezaliwa katika familia ya kiislamu ila now nimekuwa engligntened.

Usishangae mimi kunukuu vifungu vya biblia KWA sababu waislamu huisoma biblia pia.

Mimi ni mfuasi wa Mwanga. I am a disciple of the Light.

I shall always follow the light no matter who bearers it.

Navutiwa na mafundisho ya Yesu KWA sababu yana appeal with my personal belief.

I believe I have the power of God in me and Jesus confirmed to me by actually saying we humans possess the power of God in us.

Siamini katika dhana ya kwenda kanisani au msikitini kwa ajili ya kumuomba Mungu kwa sababu Mungu hahitaji tumuombe chochote KWA sababu ametupa kila kitu.

Ndio maana King David anasema " The Lord is my shepherd I shall never want" .

I don't want anything because I have everything in me. All I need to do is to use it and never to ask.

Kanisani au msikitini ni sehemu za kwenda kwa ajili ya kusocialize na watu wako lakini sio kwenda kumuomba Mungu.

Mungu hayupo kanisani au msikitini. Mungu yupo ndani yetu
Asilimia 99 ya ukichoandika ndiyo mafundisho ya Yesu kristo.Kuwa mkristo (mfuasi/mwanafunzi wa Yesu) unapaswa uishi Kama ulivyoandika wewe.Tena Biblia imeandika dini iliyo Bora isiyo na mawaa mbele za Mungu Ni upendo..Pia japokuwa nanena ksa lugha na kuvishika vifungu vyote,natoa zaka Kama Sina upendo nakuwa Kama upatu uvumao. Yesu hakuja na mtazamo wa kidini,Bali kumjua Mungu aketiye ndani yetu ambaye ametupa mamlaka yote

Hata siku moja aliwaambia mafarisayo na waandishi (watu wa dini/washika dini). "ole wenu nyie waandishi na mafarisayo kwa kuwa mmefanana na makaburi, kwa nje yanameremeta na kuvutia kwa malumalu na chokaa ila kwa ndani kumejaa mifupa na uchafu".

Tulio wengi tunaabudu zaidi dini kuliko kumjua Mungu aishie ndani yetu!
 
Sijui huo uwezo wa kuzungumzia dini mbili tofauti kwenye jambo moja umeupata wapi, ni kama vile umewatisha watu wasiokoke bila kujua, au kwa kujua.

Kimsingi nakuona hauna huo uwezo, ulichojaribu kufanya hapa ni sawa na kusema Mungu huwatupa wale wanaookoka, au kubadili dini.

Kwangu nizungumzie upande wa kuokoka, maandiko yanatuambia malaika hushangilia mbinguni mtu mmoja anapookoka, hii maana yake anajiweka karibu zaidi na Mungu.

Kinachomkuta huyu mpaka aonekane kufeli maisha tofauti na mwanzo, ni majaribu kwake kuongezeka baada ya kuokoka, kwani shetani huangaika zaidi na wanaomtumikia Mungu zaidi ya wale wapenda anasa za dunia..

Anachotakiwa kufanya huyu, ni kusimama kwenye imani, akiyashinda majaribu ya shetani bila kuyumba, basi hakika atarudi katika hali yake ya zamani, au zaidi, kwani maandiko yanatuambia tumtafute kwanza yeye, na mengine tutazidishiwa.
 
Hapo kwenye maombi ndipo mnapo feli.

Mungu hahitaji umuombe chochote KWA sababu amekupa KILA kitu tayari. KILA kitu kipo ndani YAKO.

Ibada pekee inayo kubalika mbele za Mungu ni ibada ya shukurani.

Unamshukuru Mungu kwa kuku umba na kuweka nguvu zake ndani YAKO..
Jamaa yangu, haya majibu yako hayaendani na maandiko ya wakristu [kwenye biblia], labda upande wa pili.

Maandiko yanatuambia tumtumaini yeye, bila yeye hatuwezi, sasa wewe unatuaminisha hapa tunaweza wenyewe bila yeye!.
 
Mkuu,hivi wewe Ni dini gani, maana threads zako naona unahama hama sn.
**** muda unakuwaje na mtazamo wa kikristo alafu Kuna muda unakuwa na mtazamo wa kiislamu.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Huyu nahisi atakuwa muislamu, lakini anajaribu kugusa pande zote bila ya kuwa na ufahamu kuhusu upande wa pili, au ufahamu alionao ni mdogo.
 
Mkuu nitake radhi mimi sina dini. Kuniuliza mimi dini gani ni sawa na kunitukania shangazi yangu.

Anyways nimezaliwa katika familia ya kiislamu ila now nimekuwa engligntened.

Usishangae mimi kunukuu vifungu vya biblia KWA sababu waislamu huisoma biblia pia.

Mimi ni mfuasi wa Mwanga. I am a disciple of the Light.

I shall always follow the light no matter who bearers it.

Navutiwa na mafundisho ya Yesu KWA sababu yana appeal with my personal belief.

I believe I have the power of God in me and Jesus confirmed to me by actually saying we humans possess the power of God in us.

Siamini katika dhana ya kwenda kanisani au msikitini kwa ajili ya kumuomba Mungu kwa sababu Mungu hahitaji tumuombe chochote KWA sababu ametupa kila kitu.

Ndio maana King David anasema " The Lord is my shepherd I shall never want" .

I don't want anything because I have everything in me. All I need to do is to use it and never to ask.

Kanisani au msikitini ni sehemu za kwenda kwa ajili ya kusocialize na watu wako lakini sio kwenda kumuomba Mungu.

Mungu hayupo kanisani au msikitini. Mungu yupo ndani yetu
Hapa ndio umenimaliza kabisa, unaposema Mungu kwako sijui ni yupi, ila kwangu ni Yesu Kristu, na unapodai yupo ndani yetu [bila shaka ukimaanisha sisi sote], ndio unafeli kabisa...

Yesu Kristu hayupo ndani ya kila mtu my friend, yupo ndani ya wale wanaoyajua na kuyaishi mafundisho yake pekee, kuna wengine hawajui ndio maana licha ya siku ya mwisho kumuita Bwana, tulitoa majini kwa jina lako, atawaambia ondokeni kwangu siwafahamu.
 
Jamaa yangu, haya majibu yako hayaendani na maandiko ya wakristu [kwenye biblia], labda upande wa pili.

Maandiko yanatuambia tumtumaini yeye, bila yeye hatuwezi, sasa wewe unatuaminisha hapa tunaweza wenyewe bila yeye!.

Jesus !!! U don't seems to understand. Mungu hahitaji wewe umtumainie. Mungu hajakuumba umtumainie.

Mungu amekuumba huku ndani YAKO akiwa ameweka kila kitu ambacho una kihitaji katika maisha yako.

Huhitaji kumtumainia ila kinyume chake yeye ndio anakutumainia wewe.

Anatumaini kwamba kwa nguvu na mamlaka aliyo yaweka ndani YAKO utaweza kuishi maisha YAKO na kutawala viumbe wengine walio chini YAKO...
 
Hapa ndio umenimaliza kabisa, unaposema Mungu kwako sijui ni yupi, ila kwangu ni Yesu Kristu, na unapodai yupo ndani yetu [bila shaka ukimaanisha sisi sote], ndio unafeli kabisa...

Yesu Kristu hayupo ndani ya kila mtu my friend, yupo ndani ya wale wanaoyajua na kuyaishi mafundisho yake pekee, kuna wengine hawajui ndio maana licha ya siku ya mwisho kumuita Bwana, tulitoa majini kwa jina lako, atawaambia ondokeni kwangu siwafahamu.
Yesu hajawahi kusema mahali popote kwamba yeye ni Mungu wala mimi sijasema Yesu anaishi ndani yangu.


Nimesema nina pendezwa na baadhi ya mafundisho yake kwa sababu yana appeal with my logic.

Yesu alikuja kutufundisha kwamba kama mwanadamu ukiamini katika nguvu iliyomo ndani YAKO ( hii ni nguvu ya asili ambayo KILA mwanadamu amezaliwa nayo awe mkiristu muislamu mbudha mpagani etc ) BASI utakuwa na uwezo wa kufanya KILA kitu unacho kihitaji chini ya jua.

And this is what I am talking about. Believe in ur power

Don't get me wrong my brother
 
Asilimia 99 ya ukichoandika ndiyo mafundisho ya Yesu kristo.Kuwa mkristo (mfuasi/mwanafunzi wa Yesu) unapaswa uishi Kama ulivyoandika wewe.Tena Biblia imeandika dini iliyo Bora isiyo na mawaa mbele za Mungu Ni upendo..Pia japokuwa nanena ksa lugha na kuvishika vifungu vyote,natoa zaka Kama Sina upendo nakuwa Kama upatu uvumao. Yesu hakuja na mtazamo wa kidini,Bali kumjua Mungu akwtiye ndani yetu ambaye ametupa mamlaka yote

Hata siku moja aliwaambia mafarisayo na waandishi (watu wa dini/washika dini). "ole wenu nyie waandishi na mafarisayo kwa kuwa mmefanana na makaburi, kwa nje yanameremeta na kuvutia kwa malumalu na chokaa ila kwa ndani kumejaa mifupa na uchafu".

Tulio wengi tunaabudu zaidi dini kuliko kumjua Mungu aishie ndani yetu!
Mawaa👍
 
Back
Top Bottom